Kwa mpira huu nahamia Yanga

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.

Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.

Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
 
Unachezea shillingi chooni, ADT siyo timu sahihi ya kuipima Uto. Subiri hadi wacheze na Al merreik ndiyo utapata picha halisi.
 
Simba hatuna akili kama yako wewe ni utopolo tu wala usiitaje ovyo Simba
 


Papatu Papatu - umetubu, umepokelewa, ila mimi sijui nahamaje team.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…