kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.