Malizana kwanza na makolo wenzako. Wakutukane weee! Ndipo tukukaribishe baada ya hayo matusi yao kuisha.Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Karibu sana,Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Msimu huu Yanga sc kwa uchachee nusu final CL. Save hii post na niko paleee nimetuliaUnachezea shillingi chooni, ADT siyo timu sahihi ya kuipima Uto. Subiri hadi wacheze na Al merreik ndiyo utapata picha halisi.
Labda nusu fainal ya kombe la mbuziMsimu huu Yanga sc kwa uchachee nusu final CL. Save hii post na niko paleee nimetulia
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa tu,pole sanaHuu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Mwamba huyu hapa Al Merrikh! usitukimbie aisee
Hakuna shirikisho ujueHatumuogopi aje tuuu
KARIBU MKUU, KARIBU SANA, TUWE WOTE KWAMBA DAIMA MBELE NYUMA MWIKO...🤙💪✊👊🤟Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Sio msuka mkuu,, hii itakuwa micheweni au MjawiriUnacheza na wauza gongo kutoka msuka pemba
Duuh aisee kweli DAIMA MBELE NYUMA MWIKO.... Mechi na ASAS imewotoa akili kiasi hichi, hata hivyo hamjawahi kuwa na akili maana wenye akili ni wawili tu....Huu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Playing against a team from farmers league and praise your team's performance like it was playing against real MadridHuu mpira unatisha paid za hapa na pale na mikakati ya magoli. Mimi Kama shabiki wa wanalunyasi nahamia Yanga.
Nimechoshwa na masimango na maneno ya mo kutusimanga kuhusu hela zake huku tunacheza mpira papatu papatu.
Wanayanga mnipokee nilikuwa nimepotea njia.
Wewe ndoto za ujana bado zinakusumbua amkaaa wewe.... Namna Yanga anavyocheza usitajirie makubwa huko CAFCL rejea Mamelodi Sundowns kwa misimu mi 4 mfululizo Yanga ndo kwanza anaanza.Msimu huu Yanga sc kwa uchachee nusu final CL. Save hii post na niko paleee nimetulia
Nasemaje kwa uchachee ni nusu fainali, kama ni ndoto basi hii ndoto ni ya ukweli. Tukiingia group tu, safari hadi semi mkuu.Wewe ndoto za ujana bado zinakusumbua amkaaa wewe.... Namna Yanga anavyocheza usitajirie makubwa huko CAFCL rejea Mamelodi Sundowns kwa misimu mi 4 mfululizo Yanga ndo kwanza anaanza.
Yani kifupi style of play ya Sundowns na Yanga hazitofautiani sana, ila kwa Sundowns na umwamba wao misimu mi 4 mfululizo kama wanachukua lakini hola kwasababu mpira wa Africa hauitaji uchezaji wa namna hiyo kwasasa.
Simba ameucheza sana mpira huo ameshindwa kutoboa kwenda nusu ndomana anabadilisha namna ya uchezaji ilikuendana na soka la Africa linavyotaka.
Timu zinazooneka zinacheza objective football ndio zinafanikiwa zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, na mara nyingi objective football inabase kwenye matokeo (70%) na kuwavutia watazamaji (30%).
Muda ni Mwl. Mzuri sana...Nasemaje kwa uchachee ni nusu fainali, kama ni ndoto basi hii ndoto ni ya ukweli. Tukiingia group tu, safari hadi semi mkuu.
Punguza kuongea sana. Msimu uliopita Zalan alipigwa goli za kutosha.Wauza gongo wanatafuta nini CL? Kubali yaishe Yanga ni Taifa kubwa! Pole
Ngoja tuone.Msimu huu Yanga sc kwa uchachee nusu final CL. Save hii post na niko paleee nimetulia