Wewe ndoto za ujana bado zinakusumbua amkaaa wewe.... Namna Yanga anavyocheza usitajirie makubwa huko CAFCL rejea Mamelodi Sundowns kwa misimu mi 4 mfululizo Yanga ndo kwanza anaanza.
Yani kifupi style of play ya Sundowns na Yanga hazitofautiani sana, ila kwa Sundowns na umwamba wao misimu mi 4 mfululizo kama wanachukua lakini hola kwasababu mpira wa Africa hauitaji uchezaji wa namna hiyo kwasasa.
Simba ameucheza sana mpira huo ameshindwa kutoboa kwenda nusu ndomana anabadilisha namna ya uchezaji ilikuendana na soka la Africa linavyotaka.
Timu zinazooneka zinacheza objective football ndio zinafanikiwa zaidi kwenye Ligi ya Mabingwa Africa, na mara nyingi objective football inabase kwenye matokeo (70%) na kuwavutia watazamaji (30%).