SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Watopolo endeleeni tu kujipa matumaini, ila ligi ikianza hatutaki mayowe yenu.Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Wacha waendelee kupiga punieto tuKuna ka ugonjwa ka kuzilalamikia mechi za Simba popote pale inapo cheza.
Timu iko Morroco inacheza na Wamorroco, marefa ni Wamorroco.
Malalamiko yapo Jangwani.TZ
Maajabu ya Dunia.
Na kweli kwa hiyo mishikamoo jazz yenu ya kikongo mtateseka sana msimu huu, ndiyo mtajua kuwa Ghalib anawageuza geuza kama chapatiKama shabiki naamini tutakuwa na mpito ktk team yetu
Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo chama na konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?
Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?
Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?
Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?
Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?
Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?
Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Kuna ka ugonjwa ka kuzilalamikia mechi za Simba popote pale inapo cheza.
Timu iko Morroco inacheza na Wamorroco, marefa ni Wamorroco.
Malalamiko yapo Jangwani.TZ
Maajabu ya Dunia.
Mkuu unapigia mbuzi gitaa. hawa ni wajinga wachache wanaojua wanachokifanya. Usidhani hajui hicho unachosema,laah hasha. Ndio maana mimi nimechagua kuwapa shombo tu.Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo Chama na Konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?
Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?
Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?
Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?
Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?
Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?
Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Hili linaratibiwa na Azam Media wenyewe wakishirikiana na GSM. Wameweka waandishi na wachambuzi wote kwenye payrollNilichogundua waandishi wengi wanapambana ili Simba iwe chini Yanga iwe juu,ndio maana kakitu kadogo kanafanywa kuwa jambo kuuubwa as if Simba imeua.Kwa mfano manara aliacha kazi mwenyewe ila anapewa live coverage kwenye media ili awatukane viongozi wa Simba.
Hili linaratibiwa na Azam Media wenyewe wakishirikiana na GSM. Wameweka waandishi na wachambuzi wote kwenye payroll
GSM amewekeza kwenye propaganda ndiyo maana amenunua wachezaji wa bei poa hela yote anamalizia kuwanunua waandishi na wachambuzi uchwara kutetea uozo wake.Nilichogundua waandishi wengi wanapambana ili Simba iwe chini Yanga iwe juu,ndio maana kakitu kadogo kanafanywa kuwa jambo kuuubwa as if Simba imeua.Kwa mfano manara aliacha kazi mwenyewe ila anapewa live coverage kwenye media ili awatukane viongozi wa Simba.
Viongozi na technical bench wako tuli wanaweka mikakati. Juzi Mwanaspoti ilitoa tamko la kudai mashabiki wa Simba wanalalamika hawatoi habari za camp ya Simba Sc. Kilichotokea comments zote za fans wa Simba wanaunga mkono media kukatazwa kufika camp.Wasichojua wanafikiri wanapambana na viongozi wa Simba, kumbe wanapambana na mashabiki na wanachama ambao ndio wateja wao wakubwa.
Hii comment imetoa elimu ya kutosha kwa wote wasioelewa soka kama huyu mleta uzi.Ivi wabongo lini tutabadirika? Huyo Chama na Konde walikuwepo tokea Simba inaanzishwa na kubeba vikombe mbali mbali ,je hao wachezaj hawazeek unataka kusema wangecheza milele Simba ili iweze kuwa Bora zaidi?
Je unajua club ya Simba inaendeshwaje?
Je ni Nan aliwaleta hao wachezaji?
Je kabla hawajafika Simba ulikuwa unajua ubora wao kabla?
Je hao wachezaj wapya umeishawapima kwa kifaa gan kuprove kuwa hawana uwezo kuzid chama na konde?
Je huo mpira wa Jana uliangalizia kwenye channel ipi ambayo wengine hatukuiona?
Je clips ndio ikufanye utoe conclusion kuwa walicheza vibaya?
Je ni timu gan mbovu inaweza kufanya comeback huku ikiwa nyuma magoli 2 kipindi Cha kwanza na kusawazisha yote kipindi Cha pili?
Unapata wap ujasiri wa kukosoa timu mapema hivyo wakat ndio kwanza wachezaj walio wengi ni wapya hivyo wanahitaj kujuana zaidi na kwenda na mfumo wa mwalimu kwa pamoja?
Je nikisema wewe ni utopolo ntakuwa nakosea ?
Vipi unaweza kunitajia timu yoyote dunian ambayo haijawah kufungwa Wala kutoa draw?
Why Simba kila Mara?
Je wakukabidhi club ya Simba ikiwa na konde na chama alafu utuhakikishie kuwa timu itakuwa Bora milele yote na kubeba vikombe kinyume na hapo u sign mkataba kuwa timu isipofanya vizur nipigwe shaba ya matako.
Umeona game channel Gari?Jana simba imecheza mechi ya kirafiki na kutoa sare, kwa mpira ule kocha anakazi ya ziada kukijenga kikosi, tumefungwa magoli ya offside alafu mpira tumecheza kama chandimu, nimeamini itatuchukua muda kuyaziba mapengo ya chama na luis
Nb: kama hujaona clip za mchezo ule katizame kwanza ndo uchangie.
Wewe umeona wapi huo mpira? Au ulikuwa morroco?Timu haikua na utulivu, inshort walikua wanafika ruka tu, kwa sasa simba tunahitaji utulivu sana ili team yetu ipate muunganiko