Mkuu Simba Walijidanganya ETI wanafanya Biashara eti kuna watu wanaojiita Maarufu wakashauri wauzwe....
Sasa Unauza unaziba na Nani?
Una Mbadala?
Ndio Maana Kuna Kupindi Messi akikuwa hauzwi kwa gharama yeyote pale Barcelona Kwa miaka yote,Mpaka Juzi baada ya Barca kuwa wamejiridhisha wamechukua makombe ya Kutosha Malengo yanefikiwa na Mbadala yupo,
Wao eti Aanajidanganya Mpira Biashara
Kuna Tumubzinakuambia Kabisa Msimu huu hauzwi Mtu labda Msimu Ujao kama Hawajajiandaa!
Ukiuliza sana Wanakuambia Alikuwepo Samatta Kauzwa,Arsenal alikuwepo Henry Kauzwa.Strategies zinabadilika ndio Maana Kuna Kipindi Bayern huwagusi kwa Robert Lewandoski mwaka huu ndio jamaa ameomba kuondoka After 4-5years pale.
Sasa Wameuza mapengo tena Makubwa yameonekana wanabaki kujiumauma tuu!
Atleasr wangewauza Mwakani halafu Mwaka huu ikawa ni Kutafuta Mbadala tuu!
Ina sasa wameleta ugoro tuu!
Wanakuwa kama mwanamke mwenye shida ya Hela hawezi kataa Mwanaume mwenye hela