Kwanza jifunze kutumia kilichobaki baada ya kuweka akiba, ukipata pesa kwanza weka akiba inayobaki ndio utumie,,
Ili kuweka akiba kwanza uwe unakula nyumbani ikiwa hakuna umbali mkubwa , mfano unaweza toka nyumbani saa 1 mpaka saa1:45 unakuwa umefika kazini , kunywa chai yalo nyumbani kabisaaaa.
Nani yupo nyumbani na ana umri gani ? Ikiwa upo na mti mwenye miaka 20 na kuendelea hakikisha hawi tegemezi mtafutie shuguli ya kufanya ili aweze kukidhi mahitaji yake madogo madogo kama vocha nk,
Je una mke? Isome tabia ya mkeo ikiwi ni wale mama huruma acha kununua vitu ndani kuna wanawake ukinunua mchele wa mwezi mzima unga sembe ngano , sukali na bidhaa nyingine utakuta hata wiki 3 hazifiki amewapa majirani ndugu yaani ni hovy hovyo tu ukiwan amwanamke wa hivi tunasema mama huruma acha kununua vitu vingi, nunua vile vinavyohitajika tu, kam mkeo yipo vizuli, ninakushauli nunua frii kisha fanya hivi
Nunua nyama ka kilo 3 chemsha weka ktk contena tia ktk friza
Nunua maharage kilo 2 chemsha weka ktk contena nunua sukali hta kilo 5 nk ukimaliza hapa mpe mkeo 50 elfu yaani hapa unaweza kaa wiki 3 usiambiwe jambo lolote hii mm nimeitumia sana, ile 50 elfu atakuwa ananunua kama mboga za majani viungo akitaka kubadisha kam samaki nk
Lkn kabla haufanya haya hakikisha ww namkeo mnazungumza lugha mojaa
Sent using
Jamii Foru