Kwa mshahara huu, niwekee bajeti safi ya mwezi ilii niishi bila mikopo umiza

Kwa mshahara huu, niwekee bajeti safi ya mwezi ilii niishi bila mikopo umiza

Kwanza jifunze kutumia kilichobaki baada ya kuweka akiba, ukipata pesa kwanza weka akiba inayobaki ndio utumie,,

Ili kuweka akiba kwanza uwe unakula nyumbani ikiwa hakuna umbali mkubwa , mfano unaweza toka nyumbani saa 1 mpaka saa1:45 unakuwa umefika kazini , kunywa chai yalo nyumbani kabisaaaa.

Nani yupo nyumbani na ana umri gani ? Ikiwa upo na mti mwenye miaka 20 na kuendelea hakikisha hawi tegemezi mtafutie shuguli ya kufanya ili aweze kukidhi mahitaji yake madogo madogo kama vocha nk,

Je una mke? Isome tabia ya mkeo ikiwi ni wale mama huruma acha kununua vitu ndani kuna wanawake ukinunua mchele wa mwezi mzima unga sembe ngano , sukali na bidhaa nyingine utakuta hata wiki 3 hazifiki amewapa majirani ndugu yaani ni hovy hovyo tu ukiwan amwanamke wa hivi tunasema mama huruma acha kununua vitu vingi, nunua vile vinavyohitajika tu, kam mkeo yipo vizuli, ninakushauli nunua frii kisha fanya hivi

Nunua nyama ka kilo 3 chemsha weka ktk contena tia ktk friza

Nunua maharage kilo 2 chemsha weka ktk contena nunua sukali hta kilo 5 nk ukimaliza hapa mpe mkeo 50 elfu yaani hapa unaweza kaa wiki 3 usiambiwe jambo lolote hii mm nimeitumia sana, ile 50 elfu atakuwa ananunua kama mboga za majani viungo akitaka kubadisha kam samaki nk

Lkn kabla haufanya haya hakikisha ww namkeo mnazungumza lugha mojaa

Sent using Jamii Forums mobile app
nimeupokea huu ushauri, ahsante chief
 
noted chief, japo najua ndugu watanitolea laana .nikiwapa mikausho ya miaka mitano
Yaani mshahara laki saba wategemezi ndugu wanautolea macho

Hapo kunatakiwa mambo mawili yafanyike

Kwanza ukoo wako wote unabidi ucharazwe viboko Kwa kuzalisha maskini ambao kutwa kukodolea macho mshahara mdogo wa ndugu Yao

Pili ukoo mzima ukazimishwe kufanyishwa kazi za kuingiza kipato zozote kiwe kilimo nk Kwa nguvu ili wajitegemee waache utegemezi
 
Yaani mshahara laki saba wategemezi ndugu wanautolea macho

Hapo kunatakiwa mambo mawili yafanyika

Kwanza ukoo wako wote unabidinicharazwe viboko Kwa kuzalisha maskini ambao kutwa kukodolea macho mshahara mdogo wa ndugu Yao

Pili ukoo mzima ukazimishwe kufanyishwa kazi za kuingiza kipato zozote kiwe kilimo nk Kwa nguvu ili wajitegemee waache utegemezi
vp ndugu yangu haupo afrika?
hautujui waafrika tulivyo, hauja msikia mikel obi juzi huko uingereza ?
 
Kwanza jifunze kutumia kilichobaki baada ya kuweka akiba, ukipata pesa kwanza weka akiba inayobaki ndio utumie,,

Ili kuweka akiba kwanza uwe unakula nyumbani ikiwa hakuna umbali mkubwa , mfano unaweza toka nyumbani saa 1 mpaka saa1:45 unakuwa umefika kazini , kunywa chai yalo nyumbani kabisaaaa.

Nani yupo nyumbani na ana umri gani ? Ikiwa upo na mti mwenye miaka 20 na kuendelea hakikisha hawi tegemezi mtafutie shuguli ya kufanya ili aweze kukidhi mahitaji yake madogo madogo kama vocha nk,

Je una mke? Isome tabia ya mkeo ikiwi ni wale mama huruma acha kununua vitu ndani kuna wanawake ukinunua mchele wa mwezi mzima unga sembe ngano , sukali na bidhaa nyingine utakuta hata wiki 3 hazifiki amewapa majirani ndugu yaani ni hovy hovyo tu ukiwan amwanamke wa hivi tunasema mama huruma acha kununua vitu vingi, nunua vile vinavyohitajika tu, kam mkeo yipo vizuli, ninakushauli nunua frii kisha fanya hivi

Nunua nyama ka kilo 3 chemsha weka ktk contena tia ktk friza

Nunua maharage kilo 2 chemsha weka ktk contena nunua sukali hta kilo 5 nk ukimaliza hapa mpe mkeo 50 elfu yaani hapa unaweza kaa wiki 3 usiambiwe jambo lolote hii mm nimeitumia sana, ile 50 elfu atakuwa ananunua kama mboga za majani viungo akitaka kubadisha kam samaki nk

Lkn kabla haufanya haya hakikisha ww namkeo mnazungumza lugha mojaa

Sent using Jamii Foru

Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.

Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.

Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
Umepanga, unaishi kwako/kwenu?
Single & marriage?
Uko mwenyw au na tegemezi,
Mkoa?
 
Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.

Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.

Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
Watu wanaishi kwa 300k plus familia ya watu 8 na maisha yanasonga.Kuna mzee mmoja alinambia nyumban kwake kwa siku wanatumia 15k na idadi ya watu ni 16.


ISHI KWA UREFU WA KAMBA YAKO BRO
 
Fanya hivi ukitaka kuwa na PESA

Acha Ngo no
Acha pombe
Acha kubeti


Tafuta chumba kimoja kisafi na kizuri ishi umo kosizidi 100k

Usimsaidie MTU yeyote PESA kwa miaka 10 .

Mama na baba Kama wapo hai au una ndugu ambaye yupo chini ya 1-18 msapoti katika 5% ya kipato chako 25k kila mwezi.

Hakikisha unakuwa na ROHO ya kijahidina AMAS ndo utafika mbali.

Kila mwezi weka ratiba ya kununua chakula na kuweka ndani na mahitaji ya muhimu yote.

Save 400k kila mwezi tumia 300k na katika hiyo 300k ndo iwe inabeba kila kitu, kula , kodi, kusaidia au sadaka na kuweka akiba pia.

Hiyo 400k usiipigie hesabu acha ikae bank.
 
Fanya hivi ukitaka kuwa na PESA

Acha Ngo no
Acha pombe
Acha kubeti


Tafuta chumba kimoja kisafi na kizuri ishi umo kosizidi 100k

Usimsaidie MTU yeyote PESA kwa miaka 10 .

Mama na baba Kama wapo hai au una ndugu ambaye yupo chini ya 1-18 msapoti katika 5% ya kipato chako 25k kila mwezi.

Hakikisha unakuwa na ROHO ya kijahidina AMAS ndo utafika mbali.

Kila mwezi weka ratiba ya kununua chakula na kuweka ndani na mahitaji ya muhimu yote.

Save 400k kila mwezi tumia 300k na katika hiyo 300k ndo iwe inabeba kila kitu, kula , kodi, kusaidia au sadaka na kuweka akiba pia.

Hiyo 400k usiipigie hesabu acha ikae bank.
Mkuu
Ww unaweza kutimiza unavyomshauri mwenzio?
 
Back
Top Bottom