Kwa mshahara huu, niwekee bajeti safi ya mwezi ilii niishi bila mikopo umiza

Kwa mshahara huu, niwekee bajeti safi ya mwezi ilii niishi bila mikopo umiza

Inaumiza sana, sisi watoto wengi wa kiafrika hatujafundishwa kusimamia pesa.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaoteseka sana na kudhibiti matumizi ya pesa.

Haya mambo wazungu wanaweza sana!
 
Fanya hivi ukitaka kuwa na PESA

Acha Ngo no
Acha pombe
Acha kubeti


Tafuta chumba kimoja kisafi na kizuri ishi umo kosizidi 100k

Usimsaidie MTU yeyote PESA kwa miaka 10 .

Mama na baba Kama wapo hai au una ndugu ambaye yupo chini ya 1-18 msapoti katika 5% ya kipato chako 25k kila mwezi.

Hakikisha unakuwa na ROHO ya kijahidina AMAS ndo utafika mbali.

Kila mwezi weka ratiba ya kununua chakula na kuweka ndani na mahitaji ya muhimu yote.

Save 400k kila mwezi tumia 300k na katika hiyo 300k ndo iwe inabeba kila kitu, kula , kodi, kusaidia au sadaka na kuweka akiba pia.

Hiyo 400k usiipigie hesabu acha ikae bank.
thanks u boss
 
Inaumiza sana, sisi watoto wengi wa kiafrika hatujafundishwa kusimamia pesa.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaoteseka sana na kudhibiti matumizi ya pesa.

Haya mambo wazungu wanaweza sana!
sio kwamba kipato hakitoshi?
 
Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.

Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.

Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
Kunywa pombe,
Kula pombe,
Nakuambia kula pombe mnama!

Hiyo hela ndogo sana, huwezi fanyia chochote, we kula pombe
 
Inaumiza sana, sisi watoto wengi wa kiafrika hatujafundishwa kusimamia pesa.

Mimi ni miongoni mwa watu wanaoteseka sana na kudhibiti matumizi ya pesa.

Haya mambo wazungu wanaweza sana!
Hivi wewe na vibasic vyenu vya 500K na viposho 300K utatoboa kweli?
Karibu biasharani achana na utumwa
 
Back
Top Bottom