Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kaongea vitu simple.Unaweza tumia nguo 5 mwaka mzima wew...jeans mbili t shirt 3 😁 #FOCUSMkuu
Ww unaweza kutimiza unavyomshauri mwenzio?
naMkuu
Ww unaweza kutimiza unavyomshauri mwenzio?
Ndo tumetoka huko GAZA hajui tu 😁Mbona kaongea vitu simple.Unaweza tumia nguo 5 mwaka mzima wew...jeans mbili t shirt 3 😁 #FOCUS
Umenipata nini weweee?😡nimekupata chief
thanks u bossFanya hivi ukitaka kuwa na PESA
Acha Ngo no
Acha pombe
Acha kubeti
Tafuta chumba kimoja kisafi na kizuri ishi umo kosizidi 100k
Usimsaidie MTU yeyote PESA kwa miaka 10 .
Mama na baba Kama wapo hai au una ndugu ambaye yupo chini ya 1-18 msapoti katika 5% ya kipato chako 25k kila mwezi.
Hakikisha unakuwa na ROHO ya kijahidina AMAS ndo utafika mbali.
Kila mwezi weka ratiba ya kununua chakula na kuweka ndani na mahitaji ya muhimu yote.
Save 400k kila mwezi tumia 300k na katika hiyo 300k ndo iwe inabeba kila kitu, kula , kodi, kusaidia au sadaka na kuweka akiba pia.
Hiyo 400k usiipigie hesabu acha ikae bank.
sawa chiefHuwezi kupata ushauri wowote wa kiuchumi wa maana,kwa kuwa unaficha taarifa.kuna mdau amekuuuliza hapo juu unawategemezi wangapi? na unaishi wapi?Jijini,Mkoani au ??
sio kwamba kipato hakitoshi?Inaumiza sana, sisi watoto wengi wa kiafrika hatujafundishwa kusimamia pesa.
Mimi ni miongoni mwa watu wanaoteseka sana na kudhibiti matumizi ya pesa.
Haya mambo wazungu wanaweza sana!
Kunywa pombe,Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.
Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.
Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
Hivi wewe na vibasic vyenu vya 500K na viposho 300K utatoboa kweli?Inaumiza sana, sisi watoto wengi wa kiafrika hatujafundishwa kusimamia pesa.
Mimi ni miongoni mwa watu wanaoteseka sana na kudhibiti matumizi ya pesa.
Haya mambo wazungu wanaweza sana!