Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
nimeupokea huu ushauri, ahsante chiefKwanza jifunze kutumia kilichobaki baada ya kuweka akiba, ukipata pesa kwanza weka akiba inayobaki ndio utumie,,
Ili kuweka akiba kwanza uwe unakula nyumbani ikiwa hakuna umbali mkubwa , mfano unaweza toka nyumbani saa 1 mpaka saa1:45 unakuwa umefika kazini , kunywa chai yalo nyumbani kabisaaaa.
Nani yupo nyumbani na ana umri gani ? Ikiwa upo na mti mwenye miaka 20 na kuendelea hakikisha hawi tegemezi mtafutie shuguli ya kufanya ili aweze kukidhi mahitaji yake madogo madogo kama vocha nk,
Je una mke? Isome tabia ya mkeo ikiwi ni wale mama huruma acha kununua vitu ndani kuna wanawake ukinunua mchele wa mwezi mzima unga sembe ngano , sukali na bidhaa nyingine utakuta hata wiki 3 hazifiki amewapa majirani ndugu yaani ni hovy hovyo tu ukiwan amwanamke wa hivi tunasema mama huruma acha kununua vitu vingi, nunua vile vinavyohitajika tu, kam mkeo yipo vizuli, ninakushauli nunua frii kisha fanya hivi
Nunua nyama ka kilo 3 chemsha weka ktk contena tia ktk friza
Nunua maharage kilo 2 chemsha weka ktk contena nunua sukali hta kilo 5 nk ukimaliza hapa mpe mkeo 50 elfu yaani hapa unaweza kaa wiki 3 usiambiwe jambo lolote hii mm nimeitumia sana, ile 50 elfu atakuwa ananunua kama mboga za majani viungo akitaka kubadisha kam samaki nk
Lkn kabla haufanya haya hakikisha ww namkeo mnazungumza lugha mojaa
Sent using Jamii Forums mobile app
noted chief, japo najua ndugu watanitolea laana .nikiwapa mikausho ya miaka mitano1. Tumia 350k weka akiba 350k
2. Chukua chumba na sebule cha 100k
3. Futa wategemezi wote.
4. 250k ndio iwe matumizi.
5. Fanya hivi kwa miaka mitano.
noted chief, japo najua ndugu watanitolea laana .nikiwapa mikausho ya miaka mitano
sawa afsa TRAPole sana mwalimu,details hazijitoshelezi
Yaani mshahara laki saba wategemezi ndugu wanautolea machonoted chief, japo najua ndugu watanitolea laana .nikiwapa mikausho ya miaka mitano
vp ndugu yangu haupo afrika?Yaani mshahara laki saba wategemezi ndugu wanautolea macho
Hapo kunatakiwa mambo mawili yafanyika
Kwanza ukoo wako wote unabidinicharazwe viboko Kwa kuzalisha maskini ambao kutwa kukodolea macho mshahara mdogo wa ndugu Yao
Pili ukoo mzima ukazimishwe kufanyishwa kazi za kuingiza kipato zozote kiwe kilimo nk Kwa nguvu ili wajitegemee waache utegemezi
Kwanza jifunze kutumia kilichobaki baada ya kuweka akiba, ukipata pesa kwanza weka akiba inayobaki ndio utumie,,
Ili kuweka akiba kwanza uwe unakula nyumbani ikiwa hakuna umbali mkubwa , mfano unaweza toka nyumbani saa 1 mpaka saa1:45 unakuwa umefika kazini , kunywa chai yalo nyumbani kabisaaaa.
Nani yupo nyumbani na ana umri gani ? Ikiwa upo na mti mwenye miaka 20 na kuendelea hakikisha hawi tegemezi mtafutie shuguli ya kufanya ili aweze kukidhi mahitaji yake madogo madogo kama vocha nk,
Je una mke? Isome tabia ya mkeo ikiwi ni wale mama huruma acha kununua vitu ndani kuna wanawake ukinunua mchele wa mwezi mzima unga sembe ngano , sukali na bidhaa nyingine utakuta hata wiki 3 hazifiki amewapa majirani ndugu yaani ni hovy hovyo tu ukiwan amwanamke wa hivi tunasema mama huruma acha kununua vitu vingi, nunua vile vinavyohitajika tu, kam mkeo yipo vizuli, ninakushauli nunua frii kisha fanya hivi
Nunua nyama ka kilo 3 chemsha weka ktk contena tia ktk friza
Nunua maharage kilo 2 chemsha weka ktk contena nunua sukali hta kilo 5 nk ukimaliza hapa mpe mkeo 50 elfu yaani hapa unaweza kaa wiki 3 usiambiwe jambo lolote hii mm nimeitumia sana, ile 50 elfu atakuwa ananunua kama mboga za majani viungo akitaka kubadisha kam samaki nk
Lkn kabla haufanya haya hakikisha ww namkeo mnazungumza lugha mojaa
Sent using Jamii Foru
Umepanga, unaishi kwako/kwenu?Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.
Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.
Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
mkuu nimepangaUmepanga, unaishi kwako/kwenu?
Single & marriage?
Uko mwenyw au na tegemezi,
Mkoa?
hao ndio wabongoAjabu watu watasema ni mdogo sana, hautoshi kabisa na blah blah kibao. Mimi sijui kupanga bajeti, so sina ushauri...
hahaa sahihi chiefSina mchango wowote zaidi ya kukwambia mkarimani feki mani watoa maoni wengi hapo juu wanaoushangaa huo mshahara
Hawana huo mshahara wengine hata mishe maalum hawana town hapa
bora mimi dalali na wewe mkalimani
Watu wanaishi kwa 300k plus familia ya watu 8 na maisha yanasonga.Kuna mzee mmoja alinambia nyumban kwake kwa siku wanatumia 15k na idadi ya watu ni 16.Kwa takehome below 700k ,nifanyeje nisione dunia ni jehanamu wala kuwa ndugu, jamaa na marafiki kuhusu mikopo ama kuenda benki ambao riba zao ziko juu sana.
Wazoefu, wachumi na waatalamu niwekee mgawanyo wa bajeti safi ya mwezi ili niwe debt free.
Maana sukari iko juu, vyakula vikojuu, kodi nk
Kabisa mzee.wengine wanatamani wapate hata laki 2 kwa mwezi.Sina mchango wowote zaidi ya kukwambia mkarimani feki mani watoa maoni wengi hapo juu wanaoushangaa huo mshahara
Hawana huo mshahara wengine hata mishe maalum hawana town hapa
bora mimi dalali na wewe mkalimani
MkuuFanya hivi ukitaka kuwa na PESA
Acha Ngo no
Acha pombe
Acha kubeti
Tafuta chumba kimoja kisafi na kizuri ishi umo kosizidi 100k
Usimsaidie MTU yeyote PESA kwa miaka 10 .
Mama na baba Kama wapo hai au una ndugu ambaye yupo chini ya 1-18 msapoti katika 5% ya kipato chako 25k kila mwezi.
Hakikisha unakuwa na ROHO ya kijahidina AMAS ndo utafika mbali.
Kila mwezi weka ratiba ya kununua chakula na kuweka ndani na mahitaji ya muhimu yote.
Save 400k kila mwezi tumia 300k na katika hiyo 300k ndo iwe inabeba kila kitu, kula , kodi, kusaidia au sadaka na kuweka akiba pia.
Hiyo 400k usiipigie hesabu acha ikae bank.