Kwa msimamo wa sasa wa kundi la Yanga, kuna matumaini kiasi gani watafuzu robo fainali ?

Kwa msimamo wa sasa wa kundi la Yanga, kuna matumaini kiasi gani watafuzu robo fainali ?

Unajiita Bright ila mgumu kuelewa. Jamaa wanakwabia wanaagalia H2H kati ya yanga na belozidad. So Hata yanga apigwe goli 100 ameshafuzu

Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Jamaa kichwani mtupu kweli ndio uncle bright huyu kweli au labda hajui maana ya head to head tumfafanulie..
 
Hilo sikujua mkuu, kwa hio leo Yanga angemfunga Belouzdad goli 2 huku Belouzdad aliifunga goli 3 Yanga, inamaanisha kwamba hata Yanga angemfunga Al Ahly goli tano na Belouzdad afungwe na Medeama kisha Yanga na Belouzada wafanane point, Yanga asingefuzu ?

Ndio maaanake kwa maelezo yako belouizdad angekuwa na advantage ya kupita kwakuwa kampia goli nyingi kulingana na sheria ila ikitokea imefungana point na hakuna aliemzidi mwenzie walipokutana ndio wangeangalia goal difference
 
Nje ya mada. ningependa tu kuuliza kwan mara ya mwisho mwarabu kufungwa goli 4 ilikuwa mwaka gani?

Mwaka jana tarehe 22/4/2023 na mwaka 2021 tarehe 28/2/2021 belouizdad walifungwa 5-1 na mamelodi sundown hawa hawa belouizdad walifungwa na mamelodi sundown 4-1
 
EDIT: Asanteni kwa ufafanuzi, Nimepitwa na sheria za mpira, sikuhizi hawaangalii GD mkifanana point, wanaangalia nani kamfunga mwenzake nyingi

View attachment 2915213

1. AL AHLY - point 9 (goli +4)
2. YANGA - point 8 (goli +4)
3. CR BELOUZDAD point 5 - (goli -2)
4. MEDEAMA point 5 - (goli -4)

Mechi za kumalizia

Al Ahly vs Yanga - Misr
Belouzdad vs Medeama - Algeria

Medeama ni kibonde wa kundi si ajabu akapigwa hata nne, Yanga na Al Ahly washajipigia za kutosha wakiwa nyumbani

IKIWA YANGA ATAPIGWA TATU KAMA ALIZOPIGWA NA BELOUZDAD UGENINI, KISHA MEDEAME APIGWE NNE NA BELOUZDAD, SAFARI ITAENDELEA ?
Siyo kosa lako. Kosa lipo kwa Mwenyekiti wenu wa zamani Rage, kuwaita jina la mbumbumbu. Na matokeo yake ndiyo haya sasa.
 
EDIT: Asanteni kwa ufafanuzi, Nimepitwa na sheria za mpira, sikuhizi hawaangalii GD mkifanana point, wanaangalia nani kamfunga mwenzake nyingi

View attachment 2915213

1. AL AHLY - point 9 (goli +4)
2. YANGA - point 8 (goli +4)
3. CR BELOUZDAD point 5 - (goli -2)
4. MEDEAMA point 5 - (goli -4)

Mechi za kumalizia

Al Ahly vs Yanga - Misr
Belouzdad vs Medeama - Algeria

Medeama ni kibonde wa kundi si ajabu akapigwa hata nne, Yanga na Al Ahly washajipigia za kutosha wakiwa nyumbani

IKIWA YANGA ATAPIGWA TATU KAMA ALIZOPIGWA NA BELOUZDAD UGENINI, KISHA MEDEAME APIGWE NNE NA BELOUZDAD, SAFARI ITAENDELEA ?
Hata yanga ikifungwa 100 na Medeama nayop ikafungwa 100 bado Yanga anakwenda robo fainali. Case closed

Timu ambazo tiketi zake kwende robo fainali zimeshakamilika ni kama Ifuatavyo:

Group A:
Mamelodi Sundows
TP Mazembe

Group B
ASEC Mimosas

Group C
Petro de Luanda

Group D
Al Ahly
Young Africans

Ambao bado wanajitafuta wanasubiri matokeo ya raundi ya mwisho ni pamoja na

Group B:
Simba
Wydad

Group C:
ES Tunis
Al Hilal
 
Hawaangalii gd wanaangalia mlipokutana nani alikula goli nyingi,,,kwahio Yanga ameshapita
Ni the same simba akishinda na waydad naye ashinde. Simba anafuzu kwa faida ya head to head alimfunga waydad 2 bila wakati waydad alimfunga simba 1
 
Mwaka jana tarehe 22/4/2023 na mwaka 2021 tarehe 28/2/2021 belouizdad walifungwa 5-1 na mamelodi sundown hawa hawa belouizdad walifungwa na mamelodi sundown 4-1
Ahsante ! Ila nilikuwa nataka kwa hapa bongo
 
Back
Top Bottom