Kwa hiyo kumbe hawa wa China wa guangzhou ni watu wa kati? Basi mnielekeze niende Yiwu.Yi Wu ndio chimbo la dunia kule China ndio kuna kila kitu cha jumla, hata hao wachina wa guang-zhou wanachukua mali huko
daaaahhhDuwhhh
Asante kwa ushauri mkuu.Boss,kwa upande wangu naona hiyo idea ya 3 iko vizuri zaidi,na si nguo za wachanga tu,anzia za watoto wenye mwaka sifuri mpk miaka 10 za kike na kiume,
Watoto kila siku wanazaliwa na amini biashara itatola lkn pia unaweza ongezea na toy mbali mbali za watoto za,baiskel,bby walker,vitanda vya watoto,tablets za watoto,na viti kama hivyo.
All the best
Bora hyo idea namba 2 ya chupi,leso,boksaNi
Nimeelekezwa na wadau niende guanzhou, nasikia ndio sehemu kuna bidhaa nyingi zinazokubalika kwenye soko letu, Nina idea kama nne, ya kwanza ni elecronics vitu kama ear phone, memory card, charger, fm radio , saa na nk,,ya pili chupi za kike, leso, boxer na sox, ya tatu ni vinguo vya watoto wachanga, ya nne toys za kufundishia, nisaidie kwa hayo mdau.
ntaangalia pia wazo lipi litahitaji mtaji kidogoBora hyo idea namba 2 ya chupi,leso,boksa
Hako kajamaa ni kajuaji sana, yaan kanajifanyaga kila kitu kanajua! Hapo hata jamaa angesema anataka kwenda brunei akafunge mzigo nako kangedandia " napajua brunei, nimekaa sana""Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?
Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!
Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Kwa kiingereza hiki, aisee huna kitu kwenye medula ila unajifanyaga mjuaji kweli kwa kucopy na kupaste quotes, kumbe kichwani ni empty![emoji23][emoji23][emoji23]he thinks China is a big deal
We utapigwa huo mpunga wako wote! Kama anataka akuelekeze mwbie akuelekeze hapahapa ili akichemka watu wamrekebishe, huko pm jiandae kupigwa huo mpunga maana hata akikuongopea huwezi kujua!Kwa hiyo kumbe hawa wa China wa guangzhou ni watu wa kati? Basi mnielekeze niende Yiwu.
Kwa kiingereza hiki, aisee huna kitu kwenye medula ila unajifanyaga mjuaji kweli kwa kucopy na kupaste quotes, kumbe kichwani ni empty!
ntaangalia pia wazo lipi litahitaji mtaji kidogo
Yes, shukia guang-zhou kisha elekea Yi Wu kwa trainKwa hiyo kumbe hawa wa China wa guangzhou ni watu wa kati? Basi mnielekeze niende Yiwu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tuwavumilieHv kwanini madmini wasizuie mtu kucomment hadi angalau afikie miaka miwili..hii mitoto ya shule shida sana
Asante kwa ushauri mkuuPesa inatosha kununua air ticket na kununua mzigo. Tatizo litakuwa kwenye how to make profit. Sababu exchange rate in mbaya mno. Labda jaribu kuilizia namna ya kutumia visa card ili ukiwa China utoe pesa kwenye bank badala ya kuchange pesa from Tsh to USD kisha USD to Yuan.
Sure kabisa huyo jamaa ni mjuaji kinyamaDude nimekufuatilia toka kwenye ule uzi wa AY kumiliki nyumba USA!!!
Nikwambie kitu?yaani wewe jamaa una chuki sana,halafu chuki zenyewe za kishamba sana yani kila kitu unakijua wewe hupitwi na kitu watu dizain yako bongo tumeanza kuwasahau nashangaa wewe sijui umejificha wapi!
Watu humu tunatumiana million of shillings na watu ambao hatujawahi kuwaona hata kwa kuhisi ni yule au huyu na tunaletewa vitu vile vile kama tulivyokubaliana bila longo longo hakuna siku nimeachwa,tatizo lako wewe ni mjanja mjanja unaona usivyoaminika basi na wote hawaaminiki!
Pia kumbuka siyo kila mtu anajua kila kitu,kuna ambavyo wewe unavijua mie sivijui na kuna ambavyo mimi navijua wewe huvijui hivyo tujifunze kuheshimu mawazo ya wengine hata kama unahisi una ufahamu sana na jambo fulani ipe akili yako nafasi ya kukubali ufahamu wa mwenzako.
Huyo hata marekani hajafika yuko kwa mfugambwa hapo kwa shemeji yakeEh eh boss huogopi wasiojulikana...ila anyhow jamaa mnamuonea ni wale vijana wamekaa sana marekani kabeba box lakin hela haioni so anakua anahusda na yoyote aliyetoboa....
Hahaa kumekucha"Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?
Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!
Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Kabisa mkuuwakati nawaza napataje mtaji wa elf 50 leo kuna mtu ana ml 50 kweli maisha sio sawa
Wakati mwingine hata hiyo hela hamna ila basi tuAtakuwa ni mstaafu wa zamani huyu maana kwa hali ilivo sasa hivi wenye milioni hamsini wanasakwa sana