Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Yi Wu ndio chimbo la dunia kule China ndio kuna kila kitu cha jumla, hata hao wachina wa guang-zhou wanachukua mali huko
Kwa hiyo kumbe hawa wa China wa guangzhou ni watu wa kati? Basi mnielekeze niende Yiwu.
 
Boss,kwa upande wangu naona hiyo idea ya 3 iko vizuri zaidi,na si nguo za wachanga tu,anzia za watoto wenye mwaka sifuri mpk miaka 10 za kike na kiume,
Watoto kila siku wanazaliwa na amini biashara itatola lkn pia unaweza ongezea na toy mbali mbali za watoto za,baiskel,bby walker,vitanda vya watoto,tablets za watoto,na viti kama hivyo.
All the best
Asante kwa ushauri mkuu.
 
Ni

Nimeelekezwa na wadau niende guanzhou, nasikia ndio sehemu kuna bidhaa nyingi zinazokubalika kwenye soko letu, Nina idea kama nne, ya kwanza ni elecronics vitu kama ear phone, memory card, charger, fm radio , saa na nk,,ya pili chupi za kike, leso, boxer na sox, ya tatu ni vinguo vya watoto wachanga, ya nne toys za kufundishia, nisaidie kwa hayo mdau.
Bora hyo idea namba 2 ya chupi,leso,boksa
 
"Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?

Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!

Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Hako kajamaa ni kajuaji sana, yaan kanajifanyaga kila kitu kanajua! Hapo hata jamaa angesema anataka kwenda brunei akafunge mzigo nako kangedandia " napajua brunei, nimekaa sana"
 
[emoji23][emoji23][emoji23]he thinks China is a big deal
Kwa kiingereza hiki, aisee huna kitu kwenye medula ila unajifanyaga mjuaji kweli kwa kucopy na kupaste quotes, kumbe kichwani ni empty!
 
Kwa hiyo kumbe hawa wa China wa guangzhou ni watu wa kati? Basi mnielekeze niende Yiwu.
We utapigwa huo mpunga wako wote! Kama anataka akuelekeze mwbie akuelekeze hapahapa ili akichemka watu wamrekebishe, huko pm jiandae kupigwa huo mpunga maana hata akikuongopea huwezi kujua!
Alafu unaweza kuta hayupo china, yupo manzese argentina hapo na kasmartphone chake
 
Sema nn boss kuna ile kanuni ya kutoweka mayai yote kwenye chungu kimoja...mi ushauri wangu treat biashara kama mtoto ka ndo unaanza sio lazima uingize 50 yote mara moja.....test kiasi naipe biashara yako mda wa kukua na kupitia changamoto mbalimbali kabla hujasimama...usije leta mzigo wa m50 ukakuta magu anataka kodi faida yote...ushauri tu
ntaangalia pia wazo lipi litahitaji mtaji kidogo
 
Pesa inatosha kununua air ticket na kununua mzigo. Tatizo litakuwa kwenye how to make profit. Sababu exchange rate in mbaya mno. Labda jaribu kuilizia namna ya kutumia visa card ili ukiwa China utoe pesa kwenye bank badala ya kuchange pesa from Tsh to USD kisha USD to Yuan.
 
Pesa inatosha kununua air ticket na kununua mzigo. Tatizo litakuwa kwenye how to make profit. Sababu exchange rate in mbaya mno. Labda jaribu kuilizia namna ya kutumia visa card ili ukiwa China utoe pesa kwenye bank badala ya kuchange pesa from Tsh to USD kisha USD to Yuan.
Asante kwa ushauri mkuu
 
Kutosha kwake kunategemea na biashara unayotaka kuifanya"ila usisahau kuandaa hela nyingine kama hiyo kwaajili ya kukombolea mzigo wako kwa kaisari wa tz maana hapa hutapita mpka ulipe senti yako ya mwisho.
 
Dude nimekufuatilia toka kwenye ule uzi wa AY kumiliki nyumba USA!!!
Nikwambie kitu?yaani wewe jamaa una chuki sana,halafu chuki zenyewe za kishamba sana yani kila kitu unakijua wewe hupitwi na kitu watu dizain yako bongo tumeanza kuwasahau nashangaa wewe sijui umejificha wapi!

Watu humu tunatumiana million of shillings na watu ambao hatujawahi kuwaona hata kwa kuhisi ni yule au huyu na tunaletewa vitu vile vile kama tulivyokubaliana bila longo longo hakuna siku nimeachwa,tatizo lako wewe ni mjanja mjanja unaona usivyoaminika basi na wote hawaaminiki!

Pia kumbuka siyo kila mtu anajua kila kitu,kuna ambavyo wewe unavijua mie sivijui na kuna ambavyo mimi navijua wewe huvijui hivyo tujifunze kuheshimu mawazo ya wengine hata kama unahisi una ufahamu sana na jambo fulani ipe akili yako nafasi ya kukubali ufahamu wa mwenzako.
Sure kabisa huyo jamaa ni mjuaji kinyama

Yaani humu JF yeye ndio anajua kila kitu

Ana chuki balaa ni maskini was fikra .

Kiss anajua kuandika basi kushuka mgazeti sio iahu kwake.

Anadhani watu wote humu ndani ni vilaza kama yeye.

Watu wana experience za maisha tofauti tofauti humu sie yeye exeperimce za kugoogle data .

Yaani huyu mshamba sana
 
Eh eh boss huogopi wasiojulikana...ila anyhow jamaa mnamuonea ni wale vijana wamekaa sana marekani kabeba box lakin hela haioni so anakua anahusda na yoyote aliyetoboa....
Huyo hata marekani hajafika yuko kwa mfugambwa hapo kwa shemeji yake

Dizaini ya watu kama yeye huwa wazembe wazembe wa kitaa hawa mbele wala nyuma
 
"Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?

Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!

Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Hahaa kumekucha
 
Back
Top Bottom