Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

Kwa mtaji huu naweza kwenda China?

"Nimekaa sana China na Kufanya sana biashara" sentensi za mbwembwe namna hii ni hatari mno....halafu who are you for people to believe you?

Wapare bana,mbwembwe miingi,halafu mkikaa in real terms akawa shallow-tinatina!

Kwenye internet mtu akikwambia "mimi ni bora sana,najua sana China zaidi ya watu wote" inabidi uchanganye na zako vilevile!
Dude nimekufuatilia toka kwenye ule uzi wa AY kumiliki nyumba USA!!!
Nikwambie kitu?yaani wewe jamaa una chuki sana,halafu chuki zenyewe za kishamba yani kila kitu unakijua wewe hupitwi na kitu watu dizain yako bongo tumeanza kuwasahau nashangaa wewe sijui umejificha wapi!

Watu humu tunatumiana million of shillings na watu ambao hatujawahi kuwaona hata kwa kuhisi ni yule au huyu na tunaletewa vitu vile vile kama tulivyokubaliana bila longo longo hakuna siku nimeachwa,tatizo lako wewe ni mjanja mjanja unaona usivyoaminika basi na wote hawaaminiki!

Pia kumbuka siyo kila mtu anajua kila kitu,kuna ambavyo wewe unavijua mie sivijui na kuna ambavyo mimi navijua wewe huvijui hivyo tujifunze kuheshimu mawazo ya wengine hata kama unahisi una ufahamu sana na jambo fulani ipe akili yako nafasi ya kukubali ufahamu wa mwenzako.
 
Dude nimekufuatilia toka kwenye ule uzi wa AY kumiliki nyumba USA!!!
Nikwambie kitu?yaani wewe jamaa una chuki sana,halafu chuki zenyewe za kishamba sana yani kila kitu unakijua wewe hupitwi na kitu watu dizain yako bongo tumeanza kuwasahau nashangaa wewe sijui umejificha wapi!

Watu humu tunatumiana million of shillings na watu ambao hatujawahi kuwaona hata kwa kuhisi ni yule au huyu na tunaletewa vitu vile vile kama tulivyokubaliana bila longo longo hakuna siku nimeachwa,tatizo lako wewe ni mjanja mjanja unaona usivyoaminika basi na wote hawaaminiki!

Pia kumbuka siyo kila mtu anajua kila kitu,kuna ambavyo wewe unavijua mie sivijui na kuna ambavyo mimi navijua wewe huvijui hivyo tujifunze kuheshimu mawazo ya wengine hata kama unahisi una ufahamu sana na jambo fulani ipe akili yako nafasi ya kukubali ufahamu wa mwenzako.
Dah uko sahihi sana.... Nilitaka nimkaribishe nilipo anifahamu nje ya JF lakini nikaona nimpuuzie
 
Inatosha, ila ushauri wangu kwako, tafuta mtu muaminifu kwaajili ya kwenda huko (mtu mwenye uzoefu na biashara ya kuchukua mzigo). Kuna watanzania wengi tu wanaoishi china/japan ambao huwapokea wabongo wanao kwenda kwaajili ya biashara.

Pili kabla ya kwenda China kuendea biashara, anza kufanya RESEARCH ya biashara ambayo unayotaka kufanya na itakulipa hapa hapa tanzania. Usiende bila kujua unafuata nini huko.[emoji18]

Usikurupuke wala usidanganyike.
mtu mpaka kufikia hatua ya kutak kwenda china bado unampa ushaur wa kufkria biashara ya kufany
 
Ni
Unaenda china mji gani in particular? Shenzhen Guangzhou na heinan niulize chochote ntakusaidia.
Nimeelekezwa na wadau niende guanzhou, nasikia ndio sehemu kuna bidhaa nyingi zinazokubalika kwenye soko letu, Nina idea kama nne, ya kwanza ni elecronics vitu kama ear phone, memory card, charger, fm radio , saa na nk,,ya pili chupi za kike, leso, boxer na sox, ya tatu ni vinguo vya watoto wachanga, ya nne toys za kufundishia, nisaidie kwa hayo mdau.
 
Ni

Nimeelekezwa na wadau niende guanzhou, nasikia ndio sehemu kuna bidhaa nyingi zinazokubalika kwenye soko letu, Nina idea kama nne, ya kwanza ni elecronics vitu kama ear phone, memory card, charger, fm radio , saa na nk,,ya pili chupi za kike, leso, boxer na sox, ya tatu ni vinguo vya watoto wachanga, ya nne toys za kufundishia, nisaidie kwa hayo mdau.
Boss,kwa upande wangu naona hiyo idea ya 3 iko vizuri zaidi,na si nguo za wachanga tu,anzia za watoto wenye mwaka sifuri mpk miaka 10 za kike na kiume,
Watoto kila siku wanazaliwa na amini biashara itatola lkn pia unaweza ongezea na toy mbali mbali za watoto za,baiskel,bby walker,vitanda vya watoto,tablets za watoto,na viti kama hivyo.
All the best
 
Back
Top Bottom