Kwa mtazamo wangu naona Treni ya SGR haitachukua miaka 6 itakufa

Maneno yanaumba ila kusema kweli bora ingejengwa barabara ya njia 5 mpaka huko ilipoishia hiyo reli kuliko hiyo White elephant project ya Snake slide iron way.....
Anyway naunga mkono hoja!
#ilawabongokwauchawi!!!
😁😁
Huu mradi mzuri sana shida Sasa anayeusimamia ihiiiiiiii

ila nashukuru kwa kuniunga mkono mchawi mwenzangu
 
Roho za kichawi hizi na watu wachawi ni watu wasiopenda maendeleo ndio wana tabia hizi, treni itakuwepo sana tu hata miaka 60 ijayo
Kama mtanzania nitafurahi ikifika miaka 60 unayosemea ila kama mtu mkweli nitafurahi kuona nilichosema kilikuwa sahihi
 
Naelewa wasiwasi wako juu ya watanzania kuhusu matumizi mabaya ya miundombinu na kutokujali. Utabiri wako unaangukia kwenye hii reli iliyojengwa mpaka Makutupola au unaongelea pia reli ambayo inajengwa hivi sasa ya kwenda Mwanza na Kigoma?? ... kwamba nazo zitakufa hata kabla ya kuanza baada ya miaka sita?
 
Trc baada ya kutangaza viwango vya nauli wamiliki wa mabasi wameanza kulalamika yaani Tanzania bogus wapo kila mahali, wote hufikiria msosi wa leo tu hawana hata future

These people are pathetic pthooo!
 
Hiyo ya mwanza haitaanza kazi leo, naongelea hiki kipande cha Dodoma kwanza
 
Eti mkuu Kuna haja kuagua kujua haya yote?
Hizi si ndo kero za tangu uhuru!!!?
 
Ukiwaambia haya uvccm watakuita we mchawi na sio mzalendo
 
Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi chochote! Ni siasa za kipumbavu TU!
 
Binafsi naona kilichoandikwa sio chuki wala uchawi
Ni kama motisha kwa wahusika wa hiyo project kuhakikisha wana-prove wrong kilichoandikwa...kwasababu najua wapo humu,na uzi wata/wameshauona
Na Nina uhakika 99% hawawezi kuni prove wrong hili Nina ujasiri nalo
 
Tuko paleee tunawasubiri watuite mbwa πŸ•πŸ• baada ya miaka 6

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
unasema thabiti au kufa? ebu badilisha juu huko , miradi inaweza kusua sua haina maana imekufa, kilichokufa HAKIPO kabisaaaa
Kwanini isuesue??? Huko ndo kufa, kama kitu hakuna muendeleza uleule hakuwezi kuzingatia kama Kuna manufaa ni kama nguo chakavu unapoitumia kulimia unaitumia sawa lakini huwezi kusema Nina nguo ya kulimia
 
So, in regard to our context, our history and experience what you think it will happen? Mana hii nchi iko kwenye mikono ya watu wachache sana... kun muda italeta shida tu na huu mradi utabinfsishwa.

Hatari na kasoro/damage ya uendeshaj wa mrad huu unaitazamaje? Unajua hii nchi sio developed, asilimia kubwa ya watu ni wachov wa kufikiri. SGR kuna namna tu itaingia kwenye trap ili iwanufaishe wachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…