ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
kiswahili cha wapi kuwa kitu kinacho sua sua tayari kimekufa? kilicho kufa HAKIPO na kinacho sua sua KIPO,.usichanganye mambo mgonjwa na marehemu ni vitu tofautiKwanini isuesue??? Huko ndo kufa, kama kitu hakuna muendeleza uleule hakuwezi kuzingatia kama Kuna manufaa ni kama nguo chakavu unapoitumia kulimia unaitumia sawa lakini huwezi kusema Nina nguo ya kulimia
Hiyo ni tabia ya watu wapumbavu wasiopenda kuambiwa ukweli,Ukisema ukweli wanakuita mchawi
You have negative sided mindset kote sawa ila kusema mbongo ni mbongo tu umeharibu uzi mzima sina hamu nao tenaNiwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na naamini mtamsamehe magufuli kwa kutiwapandisha madaraja ili tunufaike tunu njema kama hii.
Lakini siku zote mbongo ni mbongo, Mimi siyo nabii ila ninaongea hili jambo kwa ujasiri na uhakika mkubwa mkubwa kuwa ndani ya miaka 6 chini ya serikali ya CCM hii reli inaenda KUFA kifo kibaya sana siyo cha mende ila cha vunjajungu dume. Vunjajungu dume akishampanda jike tu yeye anageuka chakula cha vunjajungu jike na hapo ndo umauti wake hufikia. Sasa hii SGR unaenda kuwa ni mradi wa hasara sana kw taifa hili sio kwa kuwa umetekelezwa kwa gharama! La! ila kwa kuwa utatalekezwa kwa gharama
Nawajua watanzania, hawajawahi kuwa dhahiri (serious) kila kitu kwao ni 10%
Naahidi kutoa sh 700k kwa yeyote atakayekuwa wa kwanza kuufufua huu uzi baada ya miaka 6 na kunionesha SGR ikifanya kazi
Nieleweke namaanisha ndani ya miaka 6 hii SGR haitakiwi kusitisha huduma zake ikitokea imesitisha huduma zake hata kwa wiki kadhaa au mwezi mmoja au miezi miwili au kadhaa tafsiri take utabiri wangu utakuwa umetimia, kwa maana ile integrity na durability iliyotegemewa si yenyewe
Nawasilisha
Nimechoka kusikia kuwa mwenyekiti wa bodi TRC naye alisafiri bure kwenda Moro na kurudi Dar! Na huenda na sekretari wake na waandishi walikuwemo.Niwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na naamini mtamsamehe magufuli kwa kutiwapandisha madaraja ili tunufaike tunu njema kama hii.
Lakini siku zote mbongo ni mbongo, Mimi siyo nabii ila ninaongea hili jambo kwa ujasiri na uhakika mkubwa mkubwa kuwa ndani ya miaka 6 chini ya serikali ya CCM hii reli inaenda KUFA kifo kibaya sana siyo cha mende ila cha vunjajungu dume. Vunjajungu dume akishampanda jike tu yeye anageuka chakula cha vunjajungu jike na hapo ndo umauti wake hufikia. Sasa hii SGR unaenda kuwa ni mradi wa hasara sana kw taifa hili sio kwa kuwa umetekelezwa kwa gharama! La! ila kwa kuwa utatalekezwa kwa gharama
Nawajua watanzania, hawajawahi kuwa dhahiri (serious) kila kitu kwao ni 10%
Naahidi kutoa sh 700k kwa yeyote atakayekuwa wa kwanza kuufufua huu uzi baada ya miaka 6 na kunionesha SGR ikifanya kazi
Nieleweke namaanisha ndani ya miaka 6 hii SGR haitakiwi kusitisha huduma zake ikitokea imesitisha huduma zake hata kwa wiki kadhaa au mwezi mmoja au miezi miwili au kadhaa tafsiri take utabiri wangu utakuwa umetimia, kwa maana ile integrity na durability iliyotegemewa si yenyewe
Nawasilisha
Mwendokasi ndio mfano sahihi,bongo sustainability ya miradi ni zero.Niwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na naamini mtamsamehe magufuli kwa kutiwapandisha madaraja ili tunufaike tunu njema kama hii.
Lakini siku zote mbongo ni mbongo, Mimi siyo nabii ila ninaongea hili jambo kwa ujasiri na uhakika mkubwa mkubwa kuwa ndani ya miaka 6 chini ya serikali ya CCM hii reli inaenda KUFA kifo kibaya sana siyo cha mende ila cha vunjajungu dume. Vunjajungu dume akishampanda jike tu yeye anageuka chakula cha vunjajungu jike na hapo ndo umauti wake hufikia. Sasa hii SGR unaenda kuwa ni mradi wa hasara sana kw taifa hili sio kwa kuwa umetekelezwa kwa gharama! La! ila kwa kuwa utatalekezwa kwa gharama
Nawajua watanzania, hawajawahi kuwa dhahiri (serious) kila kitu kwao ni 10%
Naahidi kutoa sh 700k kwa yeyote atakayekuwa wa kwanza kuufufua huu uzi baada ya miaka 6 na kunionesha SGR ikifanya kazi
Nieleweke namaanisha ndani ya miaka 6 hii SGR haitakiwi kusitisha huduma zake ikitokea imesitisha huduma zake hata kwa wiki kadhaa au mwezi mmoja au miezi miwili au kadhaa tafsiri take utabiri wangu utakuwa umetimia, kwa maana ile integrity na durability iliyotegemewa si yenyewe
Nawasilisha
Kumbe unaongelea nchi zilizoendelea. Ok! PoaMkuu, nchi zote zilizoendelea all means of transportation zinafanya kazi kwa ufanisi. Study shows ufanisi wa njia moja unavyoongezeka na njia zingine zinakua as well.
Kudhani reli itaua biashara ya malori is being short-sighted, realistically biashara ya malori itaongezeka zaidi. Wateja watakua na option na watu wengi wataitumia TZ maana usafiri utakua wa uhakika na ushindani wa nguvu.
Nchi kuendelea inahitaji reli bora, kilimo chenye tija na umeme wa kutosha na uhakika; the human capital goes without saying. That's it.
Nchi hii ina wajinga wengi sana kuanzia Bibi 🐸CCM na machawa wake hao
Niwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na naamini mtamsamehe magufuli kwa kutiwapandisha madaraja ili tunufaike tunu njema kama hii.
Lakini siku zote mbongo ni mbongo, Mimi siyo nabii ila ninaongea hili jambo kwa ujasiri na uhakika mkubwa mkubwa kuwa ndani ya miaka 6 chini ya serikali ya CCM hii reli inaenda KUFA kifo kibaya sana siyo cha mende ila cha vunjajungu dume. Vunjajungu dume akishampanda jike tu yeye anageuka chakula cha vunjajungu jike na hapo ndo umauti wake hufikia. Sasa hii SGR unaenda kuwa ni mradi wa hasara sana kw taifa hili sio kwa kuwa umetekelezwa kwa gharama! La! ila kwa kuwa utatalekezwa kwa gharama
Nawajua watanzania, hawajawahi kuwa dhahiri (serious) kila kitu kwao ni 10%
Naahidi kutoa sh 700k kwa yeyote atakayekuwa wa kwanza kuufufua huu uzi baada ya miaka 6 na kunionesha SGR ikifanya kazi
Nieleweke namaanisha ndani ya miaka 6 hii SGR haitakiwi kusitisha huduma zake ikitokea imesitisha huduma zake hata kwa wiki kadhaa au mwezi mmoja au miezi miwili au kadhaa tafsiri take utabiri wangu utakuwa umetimia, kwa maana ile integrity na durability iliyotegemewa si yenyewe
Nawasilisha
Reminder set.Niwapongeze watanzania (hususani watanganyika) kipekee zaidi watumishi wa umma kwa kufanikisha nchi yetu kuwa na moja ya miundombinu na usafiri wa kisasa nchini hakika pongezi ziende kwenu na naamini mtamsamehe magufuli kwa kutiwapandisha madaraja ili tunufaike tunu njema kama hii.
Lakini siku zote mbongo ni mbongo, Mimi siyo nabii ila ninaongea hili jambo kwa ujasiri na uhakika mkubwa mkubwa kuwa ndani ya miaka 6 chini ya serikali ya CCM hii reli inaenda KUFA kifo kibaya sana siyo cha mende ila cha vunjajungu dume. Vunjajungu dume akishampanda jike tu yeye anageuka chakula cha vunjajungu jike na hapo ndo umauti wake hufikia. Sasa hii SGR unaenda kuwa ni mradi wa hasara sana kw taifa hili sio kwa kuwa umetekelezwa kwa gharama! La! ila kwa kuwa utatalekezwa kwa gharama
Nawajua watanzania, hawajawahi kuwa dhahiri (serious) kila kitu kwao ni 10%
Naahidi kutoa sh 700k kwa yeyote atakayekuwa wa kwanza kuufufua huu uzi baada ya miaka 6 na kunionesha SGR ikifanya kazi
Nieleweke namaanisha ndani ya miaka 6 hii SGR haitakiwi kusitisha huduma zake ikitokea imesitisha huduma zake hata kwa wiki kadhaa au mwezi mmoja au miezi miwili au kadhaa tafsiri take utabiri wangu utakuwa umetimia, kwa maana ile integrity na durability iliyotegemewa si yenyewe
Nawasilisha
Sure lo time will tell