Kwa mtazamo wangu naona Treni ya SGR haitachukua miaka 6 itakufa

Nimechoka kusikia kuwa mwenyekiti wa bodi TRC naye alisafiri bure kwenda Moro na kurudi Dar! Na huenda na sekretari wake na waandishi walikuwemo.
Usikute hata walinzi wa terminus nao walisafiri
 
Ila kote mimi nakubali ila hako kamsemo nakachukia sana
Unajua mwanahiphop JCB?

Ndo mwanzilishi wa huu msemo
"Ukisikia paaah ujue imekukosa
Alolenga Hana shabaha amefanya makosa"


Labda uwe umezaliwa 2006 ndo usiujue
 
Unajua mwanahiphop JCB?

Ndo mwanzilishi wa huu msemo
"Ukisikia paaah ujue imekukosa
Alolenga Hana shabaha amefanya makosa"


Labda uwe umezaliwa 2006 ndo usiujue
Bravo unamakadilio mazuri 💯
 
Ongeza dau mana 2030 laki7 hela ya Kodi tu
 
YAANI HAPA BAADO
😂😂😂

Shirika la Reli Tanzania (TRC), limeomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa inasafiri kutoka Dar es Salaam kuelekea Dodoma kusimama kwa muda wa saa mbili usiku wa jana July 30, 2024 ambapo limesema taarifa za awali zinaonesha kuwa hitilafu za aina hiyo husababishwa na wanyama (ngedere) au ndege (bundi) wanapogusa nyaya za umeme zilizotandazwa juu ya reli (overhead catenary system).

Taarifa iliyotolewa leo July 31,2024 na Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano - TRC, Jamila Mbarouck imesema
“Hitilafu ilisababisha umeme kukatika kituo cha kupoozea umeme namba 7 (Godegode) ambayo kitaalamu hujulikana kama (Instanteneous Overcurrent Protection Trip) majira ya saa 4:20 usiku”

“Mafundi wa TRC walifanikiwa kutatua changamoto na kurejesha umeme saa 6:30 usiku na treni kuendelea na safari kuelekea Dodoma na kuwasili Dodoma majira ya saa 7:57 usiku, Shirika la Reli Tanzania linaomba radhi kwa usumbufu” #MillardAyoUPDATES
 
Itahujuliwa si muda mrefu, kuna mi fisi maji ina malori semi kibao - ikale wapi? Takukuru.
 
Uchawi upo,kwahiyo ushaanza kuroga tunguli kama zote,maendeleo haya yana faida
 
Huu mradi ukifa na hao viongozi wafe.....

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…