Kwa mtoko mmoja, Wema Sepetu anavaa vitu vyenye gharama ya zaidi ya milioni mbili

Kwa mtoko mmoja, Wema Sepetu anavaa vitu vyenye gharama ya zaidi ya milioni mbili

Ni watu wangapi wamekufa kwa kukosa huduma tena ya hela ndogo kabisa,we unaleta majigambo hapa,hayo ni ya duniani tu.
 
Zile jeans zako za $800 hio 2m si jeans moja tu na change kidogo ya t-shirt?

Au Versace polo kama hii....

versace-jeans-black-baroque-medallion-print-polo-product-1-720926267-normal.jpeg
 
Mmi sidhani kama 2000 ni pesa nyingi, ni takribani chini ya dola 1000 tu. Nadhani ni kwasababu ya umasikini mzito tulionao sisi Wtz ndio maana tunashangaa na kushabikia mambo hayo madogo kabisa. Kwa mfano nguo ya laki moja ni chinni ya dola 50, sasa hapo cha ajabu ni kitu gani. Mimi ni mtu wa kawaida tu na tunaishi very low profile lakini mke wangu bangili za gold anazovaa moja tu ni dola 2000 na anavaa tatu kwa panoja hapo ukiondoa chain, heleni na kikukuu cha gold bado mavazi, nakwakuwa hatuna ulimbukeni tunaona kitu cha kawaida. Tuzoee kuona hivi vitu ni vya kawaida tu.
Dola 2000 ni takriban 4.5milion, ni gram ngapi hiyo bangili moja mkuu?
 
wakora waituuu!!!!


khaaaaa wewe kaka hapana
sio kwa kujikweza huko...
hebu picha za mkeo tumuonee na hivo vito vya dola 2000
Yani anajipigilia bangili za dola 6000 ambayo ni kama 13.5millions hivi, hizo ni Bangili tuuu bado viatu, gauni, simu, Nywele, saa, hereni nk! Nadhani jumla huyu atakuwa anavaa kama 50 milioni hivi [emoji1]
 
Daa bora nguo ichanike utashona lakini sio akili. Hivi kama anauwezo huo si angekuwa kwake asingepanga? Huu upuuzi unawapendeza wenye akili kama zake.
 
Mmi sidhani kama 2000 ni pesa nyingi, ni takribani chini ya dola 1000 tu. Nadhani ni kwasababu ya umasikini mzito tulionao sisi Wtz ndio maana tunashangaa na kushabikia mambo hayo madogo kabisa. Kwa mfano nguo ya laki moja ni chinni ya dola 50, sasa hapo cha ajabu ni kitu gani. Mimi ni mtu wa kawaida tu na tunaishi very low profile lakini mke wangu bangili za gold anazovaa moja tu ni dola 2000 na anavaa tatu kwa panoja hapo ukiondoa chain, heleni na kikukuu cha gold bado mavazi, nakwakuwa hatuna ulimbukeni tunaona kitu cha kawaida. Tuzoee kuona hivi vitu ni vya kawaida tu.
Jamani Wahaya hamkui ???? Hivi kule Misenye mbona maisha yako ovyo vile vijumba vya nyasi hamvioni ??? Kuishi maisha kama hayo ilhali umezungukwa ma masikini wa kutupwa sio vizuri. Kwani mwanamke akivaa hivyo vitu anongezeka nini zaidi ya kuchagua maeneo ya kutembelea na aina ya usafiri, maana mengine yatakuwa hatari kwa maisha yake.
 
Moja ya kitu kinachomtofautisha mtu maarufu na wakawaida mara nyingi ni kujulikana kwake na mavazi anayovaa. Kwa mfano mzuri tu ni hapa Bongo watu wengi maarufu wamekua wakionekana nadhifu sana kwa kuvaa nguo za gharama.

Kwa mwananchi wa kawaida kununua nguo ya Laki moja ni jambo gumu sana ila kwa star kama Wema Sepetu ni jambo la kawaida sana. Akihojiwa katika EFM Radio Wema Sepetu alifunguka kua kwa kila siku anayotoka vitu anavyovaa gharama yake ni kama milioni 2 za kitanzania. Hebu mskie kwenye video hii hapa chini..

Atakayekuja mwingine utaskia mtoko mmoja milion 20 mwengine milion 200 wanaongeza 0 tu mbele
 
Mmi sidhani kama 2000 ni pesa nyingi, ni takribani chini ya dola 1000 tu. Nadhani ni kwasababu ya umasikini mzito tulionao sisi Wtz ndio maana tunashangaa na kushabikia mambo hayo madogo kabisa. Kwa mfano nguo ya laki moja ni chinni ya dola 50, sasa hapo cha ajabu ni kitu gani. Mimi ni mtu wa kawaida tu na tunaishi very low profile lakini mke wangu bangili za gold anazovaa moja tu ni dola 2000 na anavaa tatu kwa panoja hapo ukiondoa chain, heleni na kikukuu cha gold bado mavazi, nakwakuwa hatuna ulimbukeni tunaona kitu cha kawaida. Tuzoee kuona hivi vitu ni vya kawaida tu.
Weka picha tumwone usije ukawa kama wema na wewe! kujiongezea masifuri mbele laki iitwe million.
By the way hatushangai kuvaa ivyo kwan kuna watu wana uwezo hata izo mil 2 ni kabechi tuu, issue ni kuwa Je una uwezo wa kuvaa mil 2 kila out hlf umepanga huna hata kiwanja? Hizo akili matope?This is a naked lie!
 
wakora waituuu!!!!


khaaaaa wewe kaka hapana
sio kwa kujikweza huko...
hebu picha za mkeo tumuonee na hivo vito vya dola 2000
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mwenyewe nimebaki natoa macho kama naingizavocha na mkwezo huo!
 
Jamani Wahaya hamkui ???? Hivi kule Misenye mbona maisha yako ovyo vile vijumba vya nyasi hamvioni ??? Kuishi maisha kama hayo ilhali umezungukwa ma masikini wa kutupwa sio vizuri. Kwani mwanamke akivaa hivyo vitu anongezeka nini zaidi ya kuchagua maeneo ya kutembelea na aina ya usafiri, maana mengine yatakuwa hatari kwa maisha yake.
Hapana Mkuu, definition ya maisha inatofautiana sana baina ya watu. Sidhambi kama ukimfanyia haya mkeo wakati huohuo ukilipa kwa jamii iliyokuzunguka. Nakufanya hayo haimaanishi kuwa hufanyi mambo mengine ya muhimu kwenye maisha. Nimesoma kwa taabu sana na Mungu amenipa kwanini nisifanye lile linalopendeza nafsi yangu. Kama michango tu nimeshatoa sana na ninaendelea kutoa, kama tunatoa dhaka, sadaka, kusomesha watoto yatima na kusaidia watu wengine kwanini sehemu inayobaki nisifanye mambo yanayofurahisha moyo wangu na familia yangu? Nisiende hata hapo Dubai vacation kwa sababu ya kusaidia tu, kumbuka kuwa masikini hawaishi na wataendelea kuwepo hadi siku ya mwisho hivyo unapaswa ubalansi maisha kusaidia na kusihi vizuri na ndivyo ninavyofanya. Don't define life in a poverty perspective.
 
Mkuu lak moja nying nikiwa na efu 20 achana na kariakoo nikiingia karume inatosha KBS kuvaa
 
Dola 2000 ni takriban 4.5milion, ni gram ngapi hiyo bangili moja mkuu?
Bangili hizo tatu zinauzito unaotofautiana kidogo kwakuwa haziwezi kuwa sawa ila round figure ni gram 52.84 kwa moja ambapo kwa zote roughly ni gram 158.5. Labda hints hizi zitakusaidia kupiga hesabu vizuri: gram 1 Karat 21 is 139 AED = 37.844 USD.
 
Back
Top Bottom