Uchaguzi 2020 Kwa muelekeo wa hotuba ya Lissu CHADEMA hakiwajui Watanzania kinaweza kisipate hata nusu ya kura ilizopata 2015

Uchaguzi 2020 Kwa muelekeo wa hotuba ya Lissu CHADEMA hakiwajui Watanzania kinaweza kisipate hata nusu ya kura ilizopata 2015

Tukutane baada ya uchaguzi huyo Lissu wako hatapata kura za aibu hayo mambo ya ushoga aliulizwa yeye akatoa jibu yeye ila alisahau wapiga kura ni watanzania pia nu yeye alikuwa akisema tutashitakiwa lakini hatujashitakiwa
Tatizo ni tume kwani ni ya ccm. Wasingekuwa na hiyo tume yao ccm ingekuwa "Precious Memories".
 
Usingizi wa pono
Graph inapanda sana mwaka huu ni 10ml votes plus.
Usingizi wa pono na ndoto kuwa bilionea laiza huku ukiwa na jero mfukoni.
Mwaka.huu mkifikisha milioni.mbili ni bahati mtafanya sherehe
 
Nazani miaka ya 2013 nilisema humu CCM huendeshwa kisay ransi na kinajua namna ya kuendesha siasa kuliko Chadema Ila mashabiki wa siasa na so wachambuzi walikuja na kashfa na kejeli na wanazani mbinu ya kusaidia chama NI kukisifu tu mitandaoni na sio kukipa mbinu mbadala. Wajue hawaendi kufanya kampeni kwa watu wenye shahada za Oxford.

Sifa za kijinga huwabwetesha Viongozi na wanasiasa wengi na hapa wote husahau jukumu muhimu kuunda siasa Safi ya kuisaidia nchi kupiga hatua.

Kama ilivyo CCM watafuta maslahi wanavyohaha kutunga mashauri na mapambio kusifu Mwenyekiti wao na kumpa sifa nyingi na hata kujifanya wanataka atawale milele ili waonekane na wapate hisani ya vyeo au kulinda vyeo vyao ndivyo wanachadema wanavyohaha kwenye mitandao kumsifu na kumpa sifa tundu Lissu kuwa jembe wakati Tundu wakati wote huwasemea watu wa chama CHAKE ZAIDI sio kundi kubwa la watanzania ambao NI wakulima na wafanyakazi.


CCM wamekuwa mafundi wa kufanya kampeni kulingana na Hali, Akili na mawazo ya watanzania. Kuna vitu wakifanya kwenye kampeni Chadema hulalamika eti msiwafanye watanzania wajinga. Ivi Chadema wanaelewa siasa kweli!? Nani aliwaambia watanzania sio wajinga?!!.. nyerere alisema anapigana na maadui watatu na ujinga alimuweka namba moja. Chadema wanatakiwa wawajue kuwa wanaenda kufanya kampeni kwenye kundi la wajinga wengi Sana kuliko waelewa, na Sasa hao waelewa wachache wanaangalia sehemu salama wao kusimamia kwa Aina ya siasa za Sasa.

Haya maeneo ndio CCM inavyokwenda kufanya vizuri na kuipiku Chadema kwa mbali.

1.CCM wakati wote huanza kampeni wakiwa wamoja na huku wakiwaacha wapinzani na majeraha ya mpasuko na hoja nyingi za kujibu juu ya mipasuko yao na kuacha kuzungumzia Sera zao.

2.CCM hutumia kila nguvu kuwa na washabiki, viongozi wa dini, wanamziki wakubwa, wachekeshaji na wasanii mbalimbali. Hapa Chadema huanzisha ajenda dhidi ya hao Viongozi wa dini, wasanii na vitu vingine na kuacha ajenda ya kuwasemea watanzania.

3. CCM wakiwa wanaonesha mafanikio waliyoyapata ambayo sio haba Kama miladi ya hospital, maji na elimu japokuwa NI kwa uhisani wa nje lkn usimamizi makini miradi imekuwa na ubora mkubwa kipindi hiki. Bado watazungumzia Ndege, ukarabati wa meli kubwa ziwa Victoria na vivuko kibao, miladi ya treni na bwawa, Chadema hawatakuwa na hoja zenye nguvu kubalansi vitu hivyo kwa Chadema hii ya Tundu.

4. Wajue hawatakuwa na fursa sawa ya kuchukuliwa na vyombo kuelekea uchaguzi Unaweza kukuta kampeni mzima wanaishia kulalamika polosi, tume, mahakama na hata jeshi uko mbele Kama ilibidi na kusaahau kumsemea mkulima na mfanyakazi ambaye ndie mtanzania.

Mi NI mtanzania nisie na chama lkn NI mpenzi wa asili wa CCM hasili inayoamini kwenye siasa Safi na kusema ukweli tu na kuacha unafiki. Napenda Chadema kiimalike Sana ili kujenga CCM imara.

hivyo ushauri wangu kwa Chadema NI huu.

1. Kampeni mzima itumie kuelezea Sera zake huku ikilinganisha na madhaifu ya utawala wa CCM sio kukosoa tu bila kuonesha njia. Narudia Anza na Sera na madhaifu ya utawala yaje kwenye ulinganisho.
nilipenda hoja ya serikali kutokufanya biashara ya Tundu(hii ndio Sera ya Chadema) nadharia yake NI rahisi kmnalinganisha na biashara serikali inazofanya zinavyoigarimu na kugarimu wananchi mfano ATCL ilivyopandisha Bei za nauli (kwa mifano wazi kumbuka mnaenda kuongea na wajinga wengi) za Ndege na kuwaondoa fast jet. Jinsi Benki zinazosimamiwa na serikali zinavyofanya vibaya usipokuwa nmb ambayo management yake NI wasouth. Au ttcl ukilinganisha na voda. Au ununuzi wa mazao( korosho mtwala)

2. Lazima mjikite kwa ZAIDI ya asilimia tisini kuwasemea wakulima na wafanyakazi. MUIMBE NYIMBO ZAO. Mchukue uhusika wao wapo na vitu vingi moyoni na Kama hakuna anayeviona wote huishia kuimba na kusifu. Kweli binafsi namjua Alfonsi Mawazo na Saa nane. Nayafahamu magumu waliyopitia lakini je watanzania Hawa watapenda kusikia habari za mawazo kuliko uonevu wanaoupata kwenye viwanda!??? Walimu wa Private wanavyokopwa mishahara , kunyimwa mikataba na kufuzwa holela na kutokuwa na mikataba. Kutowekewa chochote kwenye mafao ya uzeeni na vingine vingi Watanzania Hawa walio kwenye wimbi la ujinga na masikini watavutiwa kweli na maelezo jinsi lisasi zilivyokuwa zinapigwa kwa tundu lissu kuliko kuhakikishiwa uhakika wa masoko huria na Bei nzuri za kahawa Kagera kuliko Uganda!? Sikatai mliumizwa au kuumizana Basi hayo maumivu yenu myafunge kwenye Sera ili ionekane mnaumizwa wote. Mnaweza kuwa wazuri kweli lkn sio rahisi kushinda. Ata mkishindwa muwe mmejenga hoja ambazo hazitasahaulika kwa watanzania mfano mnataka kutaja ilivyotokea kwa mawazo. Alfonsi mawazo asiwe hoja Ila awe NDANI ya hoja inayogusa mtanzania moja kwa moja mfano "Alifonsi Mawazo wakati wote alihimiza na kupigania wakulima, hakutaka wakulima wakopwe ata Senti. Wanunuzi NI matajili vipi wawakope masikini mazao. Katika soko huria wafanyabiasha tutawawekea mazingira mazuri mno ya kukopa kwenye mabenki na mkulima na mnunuzi wabadilishane fedha na mazao ya biashara mkono kwa mkono. Alipinga pia ushirika unavyokopa na hata kuzurumu baadhi ya wakulima lkn malipo yake yalikuwa kuchalazwa mapanga. Rip Mawazo."

Sio kuwa napenda Chadema iingie Madarakani hapana. Sipendi kwasababu kila nikiwasikilza wengi wao huzungunzia yao tu na naamini hawajui kero hasa za watanzania. Ila sipendi muelekeo wa siasa za Sasa za kushindana kusifu na kutukanana kwenye mitandao na kuacha nyufa kubwa kwa watanzania. Nataka tushindane kuwasemea watanzania na atakaeshinda moja kwa moja akashugulike na kero za watanzania. Tukishindana kuchafuana, kukashifiana au kutukanana atakae shinda ataanza kumshugulikia mwenzake na sio kushugulika na watanzania.

IKIWA WOTE LENGO LETU NI MOJA KUJENGA NCHI YETU TZ TUKUBALI KUWA WAMOJA HUKU TUKITOFAUTIANA MAWAZO.
Chadema haipo hapa kufuata ushauri wako..

Chadema ina miaka zaidi ya 22,haijawahi kufuata ushauri wako wala haina mpango wa kufuata ushauri wako....

Haijawahi fuata chochote unachosema na ipo mpaka leo,huu ujinga ulioandika hapa hawaufuati na hawapotezi chochote like the rest of the last 22years kabla ya kuandika huu upumbavu hapa!
 
Tume inaweza kuwa tatizo lakini tatizo kubwa chadema hawajajipanga kama chama kinachotaka kuchukua dola
Unataka wajipangeje, fafanua kuliko kuongea tu kiujumla hivyo. Hii ccm yenu inayojua kujipanga wameifanyia nini hii nchi cha maana sana.
 
Nakuhakikishia hutaeleweka humu na walio wenginamabao wanadhani mhemko ni ushindi.

Hata wakati najifunza Guji lu sensei alitufundisha kuwa calm kwa adui, usihemke. Ndipo uta attack kwa ufasaha .

Uzee bhana sasa hivi hata yoko geli sipigi
 
Umeandika kitaaluma zaidi mkuu. Binafsi nimekuelewa sana. Ninachosikitika ni kwamba wanasiasa wengi hawatatuliza kichwa ili kuelewa hoja zako.
Ni dhahiri wapiga kura wengi huchuja pumba na nafaka. Ilani za vyama hujaa malalamiko tuu bila kuleta DIRA ambayo inonesha uthabiti wa chama hicho kuliongoza taifa katika kuzifikia njozi za maendeleo.
Wanasiasa tujaribuni kuweka kando matusi na kashifa tujenge hoja safi ambazo ni rahisi kuzielewa. Tupate mawazo mbadala katika kila hoja.
Shida iko wapi? Kwenye ushindani mwananchi unatakiwa uone wapi panakufaa. Haitawezekana kwenye wengi watu wasikie ushauri wako. Kwenye kuchagua tumia 'scale of preference'.
 
Hii kauli ya "tunataka chadema imara ili kuifanya ccm iwe imara" ni kakichaka flani ivi mnajifichiaga na kushindwa kusema ccm ni chama chakavu... this is eating you from inside.... mnajijaza na kushupaza shingo.... huu ni ucheleweshaji wa maendeleo bila sababu za msingi.... kuwen wazi kiwekeni ccm pembeni wape nafasi watu wapya.
 
Graph inapanda sana mwaka huu ni 10ml votes plus.
Mkuu mbona uko kimya sana, nini kinakusibu. Tuanahitaji sana michango yako jukwaani hususani kwa wakati tulionao wa chama chako kunadi ilani ya chama inayowataka wananchi kuingia barabarani na kutengeneza tshirts nzuri za chama😀
 
Ushauri mzuri umewapa wautendee kazi, Ila kwa Sasa wako busy kuongeza beti kwa wimbo wa taifa na hawataki kukubali kuwa wamekosea
 
Ushauri mzuri sana huu. Hakuna kipindi ambacho upinzani watakuwa na hoja nyingi kama kipindi hiki swala la msingi ni kujua namna ya kuwasilisha hoja hizo.
Agree with you, kikubwa waache mihemko na conflicts na Dola zisizo na msingi
 
Mtoa post ww huwajui wa tanzania, wa tanzania wa sasa si wa mwaka 1947,mambo hubadilika usitegemee hivyo kadri miaka inavyozidi Kwenda na ndivyo ufahamu wa mambo unavyozidi kubadilka.
Chadema hamjamtendea haki Membe,Lissu katumia jukwaa la ACT kujinadi hakupata hata muda wa kuongelea umuhimu wa ujio wa Membe upinzani. Nadhani ACT hawakufurahia hilo.Same kwa wagombea wenzake huko CDM.Hakuonyesha kuwakybali.Nilichojifunza kwa Lissu ni kwamba haoni umuhimu wa wahamiaji toka ccm.Hapa muungano haupo mtasubiri sana
 
Nazani miaka ya 2013 nilisema humu CCM huendeshwa kisay ransi na kinajua namna ya kuendesha siasa kuliko Chadema Ila mashabiki wa siasa na so wachambuzi walikuja na kashfa na kejeli na wanazani mbinu ya kusaidia chama NI kukisifu tu mitandaoni na sio kukipa mbinu mbadala. Wajue hawaendi kufanya kampeni kwa watu wenye shahada za Oxford.

Sifa za kijinga huwabwetesha Viongozi na wanasiasa wengi na hapa wote husahau jukumu muhimu kuunda siasa Safi ya kuisaidia nchi kupiga hatua.

Kama ilivyo CCM watafuta maslahi wanavyohaha kutunga mashauri na mapambio kusifu Mwenyekiti wao na kumpa sifa nyingi na hata kujifanya wanataka atawale milele ili waonekane na wapate hisani ya vyeo au kulinda vyeo vyao ndivyo wanachadema wanavyohaha kwenye mitandao kumsifu na kumpa sifa tundu Lissu kuwa jembe wakati Tundu wakati wote huwasemea watu wa chama CHAKE ZAIDI sio kundi kubwa la watanzania ambao NI wakulima na wafanyakazi.


CCM wamekuwa mafundi wa kufanya kampeni kulingana na Hali, Akili na mawazo ya watanzania. Kuna vitu wakifanya kwenye kampeni Chadema hulalamika eti msiwafanye watanzania wajinga. Ivi Chadema wanaelewa siasa kweli!? Nani aliwaambia watanzania sio wajinga?!!.. nyerere alisema anapigana na maadui watatu na ujinga alimuweka namba moja. Chadema wanatakiwa wawajue kuwa wanaenda kufanya kampeni kwenye kundi la wajinga wengi Sana kuliko waelewa, na Sasa hao waelewa wachache wanaangalia sehemu salama wao kusimamia kwa Aina ya siasa za Sasa.

Haya maeneo ndio CCM inavyokwenda kufanya vizuri na kuipiku Chadema kwa mbali.

1.CCM wakati wote huanza kampeni wakiwa wamoja na huku wakiwaacha wapinzani na majeraha ya mpasuko na hoja nyingi za kujibu juu ya mipasuko yao na kuacha kuzungumzia Sera zao.

2.CCM hutumia kila nguvu kuwa na washabiki, viongozi wa dini, wanamziki wakubwa, wachekeshaji na wasanii mbalimbali. Hapa Chadema huanzisha ajenda dhidi ya hao Viongozi wa dini, wasanii na vitu vingine na kuacha ajenda ya kuwasemea watanzania.

3. CCM wakiwa wanaonesha mafanikio waliyoyapata ambayo sio haba Kama miladi ya hospital, maji na elimu japokuwa NI kwa uhisani wa nje lkn usimamizi makini miradi imekuwa na ubora mkubwa kipindi hiki. Bado watazungumzia Ndege, ukarabati wa meli kubwa ziwa Victoria na vivuko kibao, miladi ya treni na bwawa, Chadema hawatakuwa na hoja zenye nguvu kubalansi vitu hivyo kwa Chadema hii ya Tundu.

4. Wajue hawatakuwa na fursa sawa ya kuchukuliwa na vyombo kuelekea uchaguzi Unaweza kukuta kampeni mzima wanaishia kulalamika polosi, tume, mahakama na hata jeshi uko mbele Kama ilibidi na kusaahau kumsemea mkulima na mfanyakazi ambaye ndie mtanzania.

Mi NI mtanzania nisie na chama lkn NI mpenzi wa asili wa CCM hasili inayoamini kwenye siasa Safi na kusema ukweli tu na kuacha unafiki. Napenda Chadema kiimalike Sana ili kujenga CCM imara.

hivyo ushauri wangu kwa Chadema NI huu.

1. Kampeni mzima itumie kuelezea Sera zake huku ikilinganisha na madhaifu ya utawala wa CCM sio kukosoa tu bila kuonesha njia. Narudia Anza na Sera na madhaifu ya utawala yaje kwenye ulinganisho.
nilipenda hoja ya serikali kutokufanya biashara ya Tundu(hii ndio Sera ya Chadema) nadharia yake NI rahisi kmnalinganisha na biashara serikali inazofanya zinavyoigarimu na kugarimu wananchi mfano ATCL ilivyopandisha Bei za nauli (kwa mifano wazi kumbuka mnaenda kuongea na wajinga wengi) za Ndege na kuwaondoa fast jet. Jinsi Benki zinazosimamiwa na serikali zinavyofanya vibaya usipokuwa nmb ambayo management yake NI wasouth. Au ttcl ukilinganisha na voda. Au ununuzi wa mazao( korosho mtwala)

2. Lazima mjikite kwa ZAIDI ya asilimia tisini kuwasemea wakulima na wafanyakazi. MUIMBE NYIMBO ZAO. Mchukue uhusika wao wapo na vitu vingi moyoni na Kama hakuna anayeviona wote huishia kuimba na kusifu. Kweli binafsi namjua Alfonsi Mawazo na Saa nane. Nayafahamu magumu waliyopitia lakini je watanzania Hawa watapenda kusikia habari za mawazo kuliko uonevu wanaoupata kwenye viwanda!??? Walimu wa Private wanavyokopwa mishahara , kunyimwa mikataba na kufuzwa holela na kutokuwa na mikataba. Kutowekewa chochote kwenye mafao ya uzeeni na vingine vingi Watanzania Hawa walio kwenye wimbi la ujinga na masikini watavutiwa kweli na maelezo jinsi lisasi zilivyokuwa zinapigwa kwa tundu lissu kuliko kuhakikishiwa uhakika wa masoko huria na Bei nzuri za kahawa Kagera kuliko Uganda!? Sikatai mliumizwa au kuumizana Basi hayo maumivu yenu myafunge kwenye Sera ili ionekane mnaumizwa wote. Mnaweza kuwa wazuri kweli lkn sio rahisi kushinda. Ata mkishindwa muwe mmejenga hoja ambazo hazitasahaulika kwa watanzania mfano mnataka kutaja ilivyotokea kwa mawazo. Alfonsi mawazo asiwe hoja Ila awe NDANI ya hoja inayogusa mtanzania moja kwa moja mfano "Alifonsi Mawazo wakati wote alihimiza na kupigania wakulima, hakutaka wakulima wakopwe ata Senti. Wanunuzi NI matajili vipi wawakope masikini mazao. Katika soko huria wafanyabiasha tutawawekea mazingira mazuri mno ya kukopa kwenye mabenki na mkulima na mnunuzi wabadilishane fedha na mazao ya biashara mkono kwa mkono. Alipinga pia ushirika unavyokopa na hata kuzurumu baadhi ya wakulima lkn malipo yake yalikuwa kuchalazwa mapanga. Rip Mawazo."

Sio kuwa napenda Chadema iingie Madarakani hapana. Sipendi kwasababu kila nikiwasikilza wengi wao huzungunzia yao tu na naamini hawajui kero hasa za watanzania. Ila sipendi muelekeo wa siasa za Sasa za kushindana kusifu na kutukanana kwenye mitandao na kuacha nyufa kubwa kwa watanzania. Nataka tushindane kuwasemea watanzania na atakaeshinda moja kwa moja akashugulike na kero za watanzania. Tukishindana kuchafuana, kukashifiana au kutukanana atakae shinda ataanza kumshugulikia mwenzake na sio kushugulika na watanzania.

IKIWA WOTE LENGO LETU NI MOJA KUJENGA NCHI YETU TZ TUKUBALI KUWA WAMOJA HUKU TUKITOFAUTIANA MAWAZO.

Kupitia njaa na umasikini waliotuletea tayari wanakijua, maendeleo ya vitu sio maendeleo ya watu, kujenga majengo dar, dodoma na Chato kunawasaidia vipi maeneo mengine ya nchi Hadi nao washawishike kwamba wamenufaika na awamu hii.
Ameumiza watz wengi Sasa ni zamu ya mavuno.
Kwa kupigwa kwake risasi amini watz tumepona.Atulewi pombe tena,twende na mtanzania mwenzetu.
 
Back
Top Bottom