Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Sawa hawana vyama,haya kawaengue kwenye orodha ya kugombea kwakuwa si wanachama
Katiba huwa inarekebishwa tu wala uskonde
Mkuu, Hakuna namna ya kuwanasua!! Wamevunja katiba.Umeambiwa swala la ushirikiano lilijadiliwa katika vikao vya chama na si kuwa mwanachama mmoja kajiamulia mwenyewe kumuunga mgombea wa chama kingine. Kwa hiyo hili swala lilikuwa maalum na kifungu hicho hakija kiukwa
Shehe Ponda atapondwa kwenye chungu kimoja na Lissu wake hapo tarehe 28Shekhe Ponda amawaapisha Wananchi wa Lushoto kuwa Kawe wasimpe kura Magufuli
Daah! Wananchi Wamefurahi sana
Ni watumwa wewe na ukoo wako ila siyo watanzania.People of Tanzania we should know that we are slaves in our own country, so the only opportunity we have now is to change the whole system by having our own powers.
amalgamateNi watumwa wewe na ukoo wako ila siyo watanzania.
Who are you ?
Shekhe Ponda amawaapisha Wananchi wa Lushoto kuwa Kawe wasimpe kura Magufuli
Daah! Wananchi Wamefurahi sana