LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Katiba za vyama ingekua zinatafsiriwa kama unavyowaza wewe, hata JPM asingekuwa mwana CCM now.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unauza utu wako na Nchi yako kwa Buku kadhaa wala huwa huangalii You TubeShehe Ponda atapondwa kwenye chungu kimoja na Lisu wake hapo tarehe 28
Hata kwa mbeleko ameshindwa kubebekaCCM mnahaha kumwokoa mgombea wenu, habebeki huyo maovu lukuki...
Sawa haya mpeni Membe hela aanze kampeni ...
Mataga wanatafutana mkuu, hapatoshi yaaniWapi Zitto amemuunga mkono Tundu Lissu?Zitto kusema atampigia Tundu Lissu kura ni kuunga mkono?Unaelewa maana ya kuunga mkono?
Youtube ndio ina piga kura?Wewe unauza utu wako na Nchi yako kwa Buku kadhaa wala huwa huangalii You Tube
Freedom is Coming[emoji111]
Kwa.kuwa wewe umezoea kupondwa pondwa na marugu ya vidume basi mawazo yako unadhani kila.mtu yuko kama weweYoutube ndio ina piga kura?
Mwambie Ponda asubiri kupondwa pondwa
Katiba ndiyo sheria kuu hivyo haipaswi kukiukwa.Umeambiwa swala la ushirikiano lilijadiliwa katika vikao vya chama na si kuwa mwanachama mmoja kajiamulia mwenyewe kumuunga mgombea wa chama kingine. Kwa hiyo hili swala lilikuwa maalum na kifungu hicho hakija kiukwa
Ndiyo tatizo lenu simamieni sheriaAchana na upuuzi kama huu deal na vitu muhimu
Katiba iliyopo sasa hairuhusuKatiba huwa inarekebishwa tu wala uskonde
vyama vingine pelekeni pingamizi la kuwaondoa ugombea Zitto Kabwe na Maalim seif sababu sio wanachama tena wa ACT WAZALENDOTusimamie sheria tuliyoitunga .
Katiba ya Mwenzio wewe inakuwashia nini?mnataka tufukunyue na nyinyi mnavyoichambia Katiba nini?Katiba iliyopo sasa hairuhusu
Wanachama pelekeni nakala haraka kwa msajili mkieleza kujivua uanacha Zitto KABWE NA MAALIM SIF NA KUILEZA TUME NA MSAJILI KUWA HAO SIO WAGOMBEA TENA WA ACT WAZALENDO .Zito kabwe sio mgombea ubunge nba MAALIM SEIF SIO MGOMBEA URAISI WA ZANZIBAR TENA SABABU WAMEJIVUA UANACHAMA
Hii inamuumiza sana Magufuli. Lissu ameichanga vizuri kete yakeShekhe Ponda amawaapisha Wananchi wa Lushoto kuwa Kamwe wasimpe kura Magufuli
Daah! Wananchi Wamefurahi sana
People of Tanzania we should know that we are slaves in our own country, so the only opportunity we have now is to change the whole system by having our own powers.
Kwani mimi ni mzee wa faragha?Kwa.kuwa wewe umezoea kupondwa pondwa na marugu ya vidume basi mawazo yako unadhani kila.mtu yuko kama wewe
Kampepee mgombea wenu kwanza maana bila.feni pumzi hana,Kwani mimi ni mzee wa faragha?
Si ninyi ndio mgombea wenu anawatetea kila siku kwamba mchagueni atawalinda muwe mnafanyiana faragha kwa uhuru?
Katiba za vyama ingekua zinatafsiriwa kama unavyowaza wewe, hata jpm asingekuwa mwanaccm now