Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na Maalim Seif siyo Wanachama tena

Kwa mujibu wa Katiba ya ACT Wazalendo, Zitto Kabwe na Maalim Seif siyo Wanachama tena

Usishangae Seif na Zitto wakavuliwa uanachama alafu kwishney huko Zanzibar, CCM itatawala sana aisee ....
 
Hahahahahahahaha

Kidumu chama cha Mapinduzi

Baada ya Rais Mteule Hussein Mwinyi kutangazwa watakuwa busy kumfukuza Uanachama Membe kama walivyokuwa busy 2015 baada ya matokeo kumfukuza Lipumba badala ya kupigania Urais wao kwa Dr Shein
Kuishinda CCM si hiki kizazi chetu cha kinafiki. Tuwe wapole tu
 
Urais wake.unakoma.next week, anza kufungasha virago mkuu, katafute kazi ya ubaa medi ndio inayokufaa wewe na wafuasi wenzio wa lumumba
Tatizo lako una coment kiushabiki kama uko kwenye group lenu la whatsapp la wanafunzi wenzio.

Muulize hata Lissu atakwambia pale alipo anachangamsha uchaguzi tu ila Rais anajulikana ni Magufuli.
 
Usishangae Seif na Zitto wakavuliwa uanachama alafu kwishney huko Zanzibar, CCM itatawala sana aisee ....
Wameshajivua uanachama tayari kinachosubiriwa ni wao kuvuliwa ugombea sababu sio wanachama wa chama chao
 
Shekhe Ponda amawaapisha Wananchi wa Lushoto kuwa Kamwe wasimpe kura Magufuli

Daah! Wananchi Wamefurahi sana
Kwa sasa Ponda sio shehe,sema hivi"mzee Ponda"
Ponda sio shehe tena.
 
ACT kitakuwa chama cha hovyo sana kama wasipomdhibiti Maalim Seif majini.
 
Nasema tena mkiziiba ndio mtawajua ACTwazalendo Figisu za ZEC halafu yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana kura za kuibwa! Hata wangekuwa nazo zikaibiwa hawana la kufanya
 
Back
Top Bottom