Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuishinda CCM si hiki kizazi chetu cha kinafiki. Tuwe wapole tuHahahahahahahaha
Kidumu chama cha Mapinduzi
Baada ya Rais Mteule Hussein Mwinyi kutangazwa watakuwa busy kumfukuza Uanachama Membe kama walivyokuwa busy 2015 baada ya matokeo kumfukuza Lipumba badala ya kupigania Urais wao kwa Dr Shein
Nasema tena mkiziiba ndio mtawajua ACTwazalendo Figisu za ZEC halafu yetuWataunguzia nyumba za familia zao wenyewe
Tatizo lako una coment kiushabiki kama uko kwenye group lenu la whatsapp la wanafunzi wenzio.Urais wake.unakoma.next week, anza kufungasha virago mkuu, katafute kazi ya ubaa medi ndio inayokufaa wewe na wafuasi wenzio wa lumumba
Wameshajivua uanachama tayari kinachosubiriwa ni wao kuvuliwa ugombea sababu sio wanachama wa chama chaoUsishangae Seif na Zitto wakavuliwa uanachama alafu kwishney huko Zanzibar, CCM itatawala sana aisee ....
Labda ndio goli la dk ya 89 [emoji848][emoji848]Wameshajivua uanachama tayari kinachosubiriwa ni wao kuvuliwa ugombea .Sababu sio wanachama wa chama chao
Kimbieni kwa Mahera na Mutungi wa maji fasta wawasaidie.Ndugu zangu,
Katiba ya ACT Wazalendo inapinga mwanachama kumuunga mkono mgombea asiye mwanachama wa ACT.
Fuatilia mwenyewe hapa chini,Bernard Membe akitumia vema turufu anaweza kuwavua uanachama hawa "wavamizi" ndani ya ACT.View attachment 1606498
Lakini Zitto na Seif wamesema wanamuunga mkono Lissu na si Chadema! Hiko kipengele kimetaja chama ..Inawezekana ndio lile goli la dakika ya 89.
Jihad ziliswihi enzi za Mtume Muhammad SAW.Mkiziiba kura kidumu cha Petroli kimeshaandaliwa na Wafuasi wa ActWazalendo
Kifungu kinasema chama au mgombea, hivyo hiyo ni loophole ya kupigwa knockout namuunga mkono Membe afunge goli lake mapema tu.Lakini Zitto na Seif wamesema wanamuunga mkono Lissu na si Chadema! Hiko kipengele kimetaja chama ..
Kwa sasa Ponda sio shehe,sema hivi"mzee Ponda"Shekhe Ponda amawaapisha Wananchi wa Lushoto kuwa Kamwe wasimpe kura Magufuli
Daah! Wananchi Wamefurahi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana kura za kuibwa! Hata wangekuwa nazo zikaibiwa hawana la kufanyaNasema tena mkiziiba ndio mtawajua ACTwazalendo Figisu za ZEC halafu yetu
Ni Shekhe Ulamaa halafu ni Alhaji vilevile Mpigania Uhuru HAKI na Maendeleo ya WATU.Kwa sasa Ponds sio shehe,sema hivi"mzee Ponda"
Ponda sio shehe tena.
Kimetaja na mgombea rudia kusomaLakini Zitto na Seif wamesema wanamuunga mkono Lissu na si Chadema! Hiko kipengele kimetaja chama ..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hawana kura za kuibwa! Hata wangekuwa nazo zikaibiwa hawana la kufanya
Labda ndio goli la dk ya 89 [emoji848][emoji848]