Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
rudisheni katiba halali ya warioba iliyotaka serikali 3So solution ya sqsa ni ipi kama wazanzibar hawakubaliano na ampemdekezo..kwanini waponzanonwanasema twende na katiba ya walioba wakati uenyeww siyo alfa na omega
Wakisikia neno katiba mpya wanakuwa kama wameambiwa wanywe sumu.rudisheni katiba halali ya warioba iliyotaka serikali 3
Ipo siku hata kama siyo kizazi chetu wataidai kwa hali yoyote ile na itapatikana tu.Machogo jaribuni kutumia akili. Hao watawala mnaowaongelea kamwe hawatakubali katiba mpya kwa sababu katiba iliyopo imewapa nguvu na imewanufaisha. Mnawaulumu Wazanzibari bure tuu.
Mapendekezo yao yalichakachachuliwa na maccm kwenye Bunge maalum la Katiba ambalo lilisheheni maccm ili kupitisha agenda zao na ndiyo ilipelekea kuvunjika kwa mchakato huo na kupeleka kuanzishwa kwa UkawaKwani wazanzibar hawa kutoa maoni kuhusu katiba mpya kupitia tume ya jaji Warioba Kama walitoa kivipi ndo wawe kikwazo?
Kama taifa basi tuna safari ndefu sana kufikia matamanio makubwa ya mabadiliko ya kimfumoMapendekezo yao yalichakachachuliwa na maccm kwenye Bunge maalum la Katiba ambalo lilisheheni maccm ili kupitisha agenda zao na ndiyo ilipelekea kuvunjika kwa mchakato huo na kupeleka kuanzishwa kwa Ukawa
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Warioba hakuwa na katiba . Yeye alikuwa ni mwenyekiti tu wa kukusanya maoni. Maoni yalikuwa mchanganyiko yakachambuliwa tukapata katiba iliyopendekezwa. Bado kura ya maoni STOPrudisheni katiba halali ya warioba iliyotaka serikali 3
Muungano uvunjwe harakaSo solution ya sqsa ni ipi kama wazanzibar hawakubaliano na ampemdekezo..kwanini waponzanonwanasema twende na katiba ya walioba wakati uenyeww siyo alfa na omega
Ipo siku hata kama siyo kizazi chetu wataidai kwa hali yoyote ile na itapatikana tu.