Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ushahidi upo mkubwa tu kuna njia nyingi za kuupata ikiwemo simu ,wahusika waliotumwa ,etc afande imemkalia vibaya na sababu ya kubaka pia inamuweka vibaya afande kwenye ushiriki wake wa tukio,Tatizo ni ushahidi usio na shaka kuwa afande aliwaagiza kufanya hayo. It's all about what you can prove mahakamani.
Ukiagizwa na afande wako jambo la kipumbavu na wewe ukalifanya basi kuna uwezekano mkubwa utaubeba huo mslaba peke yako.
BTW, kama wewe ni askari ukiona afande wako anakuagiza mambo ya kijingajinga basi jitafakari. Ni wazi huyo mtu hakuheshimu hata kidogo na very likely ni kwa sababu ya mwenendo wako.
Unawatamanisha ambao hawajaona. Kuleni chuma hicho:Wana onekana ni wavuta bangi afu walikua wame lewa na condom zao za MSD
InboxUnawatamanisha ambao hawajaona. Kuleni chuma hicho:
View: https://twitter.com/uchibongo/status/1820378369910820898
Naomben clip hyo
Nshakutumia pm
rais kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kulikoni?Polisi Ndio walinzi wetu 🐼
Wewe inaonesha huijui sheria na wala hutaki kuijuaTatizo ni ushahidi usio na shaka kuwa afande aliwaagiza kufanya hayo. It's all about what you can prove mahakamani.
Ukiagizwa na afande wako jambo la kipumbavu na wewe ukalifanya basi kuna uwezekano mkubwa utaubeba huo mslaba peke yako.
BTW, kama wewe ni askari ukiona afande wako anakuagiza mambo ya kijingajinga basi jitafakari. Ni wazi huyo mtu hakuheshimu hata kidogo na very likely ni kwa sababu ya mwenendo wako.
Fanya kitu naihitaji pmNshakutumia pm