Kwa Mujibu wa Sheria, Aliyewatuma Wahuni kubaka naye amehusika na Ubakaji

Kwa Mujibu wa Sheria, Aliyewatuma Wahuni kubaka naye amehusika na Ubakaji

Hayo uliyoeleza yanawezekana kwa hao wabakaji, isipokuwa kumtia hatiani aliyewachombeza ama kukodi hilo genge, kunahitajika ushahidi wa kisayansi sana kumtia hatiani.

Ninamaanisha yeye hakuwepo kwenye tukio, sasa kuunganisha :ear say' kwenda kwenye ushahidi wa kweli usiotia shaka ni hatua inayohitaji weledi mkubwa sana.

Ingawa sijaiona hiyo video, nabaki najiuliza ni nano aliyepata wasaa kurekodi tukio zima namna hiyo?
 
Alie watuma
Wabakaji
Aliefanikisha jambo hilo kwa namna yeyote
Hao wote ni wahalifu.
 
Mpaka sasa wanatafutwa hawajapatikana popote...
hawana dhamira hao washenzi. wanataka kuleta janjajanja.
ilikua simple mtu binti ahojiwe amtaje huyo mume anayedaiwa kua alikua na mahusiano naye. kisha kupitia huyo mume anakamatwa mke wake (kapteni jwtz) kisha chain nzima.
 
View attachment 3062429
Huyo afande wa kike si anaweza akaponea hapo panaposema "he"
Pia ana nafasi kubwa ya kukataa kuwa hakuwatuma; mara nyingi anayetenda (field) ndio ataingia hatiani.
Nb: Si kila unachotumwa na bosi na hakina uthibitisho wa kimaandishi ni kutekeleza; ndio maana wanasema, unachoambiwa changanya na akili zako.​
 
hawana dhamira hao washenzi. wanataka kuleta janjajanja.
ilikua simple mtu binti ahojiwe amtaje huyo mume anayedaiwa kua alikua na mahusiano naye. kisha kupitia huyo mume anakamatwa mke wake (kapteni jwtz) kisha chain nzima.
Yeah. Hivi mtu anaweza kujiuliza: "Ya nini kuhangaika kiasi hicho ilhali binti kayataka mwenyewe? Kwanini alijipeleka tena kwa hiari yake bila shuruti kudandia mume wa mtu? Amevuna alichokipanda."
Wadau, esp. wale "She" wenye kupenda hako kamchezo kwa madai eti " mbona alinifata yy mwenyewe" waione hiyo vid. na wajifunze Mume wa mtu jihadhari naye - huo ni wizi mbaya sana.
Ni kweli kwamba Polisi wanajukumu la kuwasaka na kuwakamata wahalifu lakini wadau tusisahau kwamba Polisi nao ni watu/binadamu kama binadamu wengine na wanayo mawazo, mtizamo na maoni binafsi.
Hebu pretend ww ni polisi, halafu fikiria na ujiulize na useme hivi "waliotekeleza agizo la Afande wametekeleza kwa weledi na wameshapokea mshiko wao. Je, mtu amekufa? Hapana. Sasa binti kwa UJINGA wake huo anatusumbua Polisi".
Nani alimtuma kwenda kuiba waume za watu? Hakuona wanaume wengine huko mtaani? "Mdomo umeiponza shingo"
 
Erythrocyte unaelewa tofauti ya ushahidi na sheria?

Nikitarajia uweke vielelezo kama nguo za ndani za mwathirika, vitu mbalimbali vya watuhumiwa, alama walizoacha n.k badala yake umeweka kifungu cha sheria.
Nakazia hoja. Ikiwezekana, pia ni pamoja na mtu/watu waliokuwepo kwenye eneo la tukio na kuona/kushuhudia kilichoendelea na hata wakalirekodi tukio hilo kwa uthibitisho zaidi.
 
Wanajeshi watano walipambana na mtoto mdogo ambaye ana misuli dhaifu na hawezi kujitetea. Mtoto hadi akaomba maji .Inasikitisha.

Hao wanajeshi kama wana nguvu sana na hawana pa kuzitumia waombe vita ya majaribio wazichape na wanajeshi wa Israeli sio kuonea wenye misuli dhaifu.
 
Wanajeshi watano walipambana na mtoto mdogo ambaye ana misuli dhaifu na hawezi kujitetea. Inasikitisha.

Hao wanajeshi kama wana nguvu sana na hawana pa kuzitumia waombe vita ya majaribio wazichape na wanajeshi wa Israeli sio kuonea wenye misuli dhaifu.
Hawakupambana bali walikuwa wanasaidia kukiondolea Usongo kiungo chenye misuli dhaifu.
 
Back
Top Bottom