Kwa Mujibu wa Sheria, Aliyewatuma Wahuni kubaka naye amehusika na Ubakaji

Kwa Mujibu wa Sheria, Aliyewatuma Wahuni kubaka naye amehusika na Ubakaji

Mpaka sasa wanatafutwa hawajapatikana popote...
Hata huyo mwanajeshi Clinton Nyundo ni wakutafuta?
Hata huyo mama aliyefanikisha huo uharamia ni wakutafuta?
Tusifike mahali ionekane Sheria Ni kwa baadhi ya watu tu. Hata Kama huyo binti alifanya kosa, polisi ipo, mahakama zipo, iweje adhalilishwe yeye na familia yake na jamii inayomzunguka halafu wahalifu wapo wapo tu.
 
Yeah. Hivi mtu anaweza kujiuliza: "Ya nini kuhangaika kiasi hicho ilhali binti kayataka mwenyewe? Kwanini alijipeleka tena kwa hiari yake bila shuruti kudandia mume wa mtu? Amevuna alichokipanda."
Wadau, esp. wale "She" wenye kupenda hako kamchezo kwa madai eti " mbona alinifata yy mwenyewe" waione hiyo vid. na wajifunze Mume wa mtu jihadhari naye - huo ni wizi mbaya sana.
Ni kweli kwamba Polisi wanajukumu la kuwasaka na kuwakamata wahalifu lakini wadau tusisahau kwamba Polisi nao ni watu/binadamu kama binadamu wengine na wanayo mawazo, mtizamo na maoni binafsi.
Hebu pretend ww ni polisi, halafu fikiria na ujiulize na useme hivi "waliotekeleza agizo la Afande wametekeleza kwa weledi na wameshapokea mshiko wao. Je, mtu amekufa? Hapana. Sasa binti kwa UJINGA wake huo anatusumbua Polisi".
Nani alimtuma kwenda kuiba waume za watu? Hakuona wanaume wengine huko mtaani? "Mdomo umeiponza shingo"
siku mama yako akilawitiwa uje hapa utueleze kama hivi. we ni mse** chipukizi
 
Hata huyo mwanajeshi Clinton Nyundo ni wakutafuta?
Hata huyo mama aliyefanikisha huo uharamia ni wakutafuta?
Tusifike mahali ionekane Sheria Ni kwa baadhi ya watu tu. Hata Kama huyo binti alifanya kosa, polisi ipo, mahakama zipo, iweje adhalilishwe yeye na familia yake na jamii inayomzunguka halafu wahalifu wapo wapo tu.
ukisoma michango ya baadhi ya watu unapata taswira aina ya watu wa jamii ya tz.
 
Ndio mnasema mna jeshi lenye uadilifu? Mnachekesha nyie watanzania. Siku mkijichanganya Rwanda tutakuchapeni na kuikamata Tanzania kama sio kurudisha mikoa yetu Kigoma, Mara mpaka Kagera.
 
Je huyo captain akikataa kuhusika kuwatuma hao wajeda, je itakuajee?

Nahitaji kujuzwa zaidii.
 
Dem alifikaje geto.....?
Dem mbona alikua anakata viuno kwa utam mwanzo...?
Kwa nini aombee maji ya kunywa kama hawajui wabakaji...?
Iyoo ni sex video ya ngono walikua location wanshoot...?
Dem hana baya nyie wa tz ndo mnabaya cos ndo mishe zake town.....?
Video inaonyesha anayebakwa ananyonyo koni kwa ustad kabisa huku anapelekewa moto...?
 
Dem alifikaje geto.....?
Dem mbona alikua anakata viuno kwa utam mwanzo...?
Kwa nini aombee maji ya kunywa kama hawajui wabakaji...?
Iyoo ni sex video ya ngono walikua location wanshoot...?
Dem hana baya nyie wa tz ndo mnabaya cos ndo mishe zake town.....?
Video inaonyesha anayebakwa ananyonyo koni kwa ustad kabisa huku anapelekewa moto...?
Dem aliomba maji...
 
Je huyo captain akikataa kuhusika kuwatuma hao wajeda, je itakuajee?

Nahitaji kujuzwa zaidii.
Kuna mawasiliano ya simu lazima waliwasiliana,lakini pia video hiyo lazima walimtumia kuonesha kuwa kazi imefanyika,white huo ni ishahidi
 
Dem alifikaje geto.....?
Dem mbona alikua anakata viuno kwa utam mwanzo...?
Kwa nini aombee maji ya kunywa kama hawajui wabakaji...?
Iyoo ni sex video ya ngono walikua location wanshoot...?
Dem hana baya nyie wa tz ndo mnabaya cos ndo mishe zake town.....?
Video inaonyesha anayebakwa ananyonyo koni kwa ustad kabisa huku anapelekewa moto...?
Kukosa elimu au kutoelimika nu umasikini mkubwa sana.
 
Dem alifikaje geto.....?
Dem mbona alikua anakata viuno kwa utam mwanzo...?
Kwa nini aombee maji ya kunywa kama hawajui wabakaji...?
Iyoo ni sex video ya ngono walikua location wanshoot...?
Dem hana baya nyie wa tz ndo mnabaya cos ndo mishe zake town.....?
Video inaonyesha anayebakwa ananyonyo koni kwa ustad kabisa huku anapelekewa moto...?
Ile video wanamlazimisha akubali kosa lake ?? Ile ndio imemaliza kesi
 
Tatizo ni ushahidi usio na shaka kuwa afande aliwaagiza kufanya hayo. It's all about what you can prove mahakamani.

Ukiagizwa na afande wako jambo la kipumbavu na wewe ukalifanya basi kuna uwezekano mkubwa utaubeba huo mslaba peke yako.

BTW, kama wewe ni askari ukiona afande wako anakuagiza mambo ya kijingajinga basi jitafakari. Ni wazi huyo mtu hakuheshimu hata kidogo na very likely ni kwa sababu ya mwenendo wako.
Kamanda-comand
Sijui ndiyo hivyo

Mambo yangekuwa unavyosema sidhani kama kungekuwa na matukio ya utekaji na mauwaji ya holela kuna baadhi ya askari wana msongo wa mawazo kwa sababu ya matukio wanayofanya na wanafanya kwa amri ya wakubwa kukataa amri ni kwenda kinyume na inahesabika kama utovu wa nidhamu
 
Tatizo ni ushahidi usio na shaka kuwa afande aliwaagiza kufanya hayo. It's all about what you can prove mahakamani.

Ukiagizwa na afande wako jambo la kipumbavu na wewe ukalifanya basi kuna uwezekano mkubwa utaubeba huo mslaba peke yako.

BTW, kama wewe ni askari ukiona afande wako anakuagiza mambo ya kijingajinga basi jitafakari. Ni wazi huyo mtu hakuheshimu hata kidogo na very likely ni kwa sababu ya mwenendo wako.
Je, ina maana timu hiyo nzima ni maafande?
 
Back
Top Bottom