TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Huyo ni wa kunyonga kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni wa kunyonga kabisa
Wanawake wakiwa na vyeo wanakuwa watu wa ajabu. Hiyo yoote ni jeuri kwamba yeye ni mjeda.Afande wa kike bora akimbie tu
Unadhani kuorganize watu zaisi ya wawili wakufanyie kazi ngumu namna hiyo ni kazi rahisi itakayokosa ushahidi?Tatizo ni ushahidi usio na shaka kuwa afande aliwaagiza kufanya hayo. It's all about what you can prove mahakamani.
Ukiagizwa na afande wako jambo la kipumbavu na wewe ukalifanya basi kuna uwezekano mkubwa utaubeba huo mslaba peke yako.
BTW, kama wewe ni askari ukiona afande wako anakuagiza mambo ya kijingajinga basi jitafakari. Ni wazi huyo mtu hakuheshimu hata kidogo na very likely ni kwa sababu ya mwenendo wako.
Unawatamanisha ambao hawajaona. Kuleni chuma hicho:
View: https://twitter.com/uchibongo/status/1820378369910820898
Are you okey ?Ile video wanamlazimisha akubali kosa lake ?? Ile ndio imemaliza kesi
who can make a rape? can a woman rape? Can she assist one to make a rape?View attachment 3062429
Huyo afande wa kike si anaweza akaponea hapo panaposema "he"
Thankswho can make a rape? can a woman rape? Can she assist one to make a rape?
In legal writing, masculine language has traditionally been used to refer to people regardless of their gender. Examples include the use of masculine pronouns (he/him) and nouns such as chairman.
una pata wapi nguvu ya kuangalia huo upumbavu?
Mimi hata kusimuliaa tu jinsi ilivyokuwa nafsi yangu inachafuka.SIWE
Haya matukio ya kufanyiana ubaya ubwela huwa sipendi huwa kutoa recommendation kwa kuangalia matokeo huwa napenda kwanza nielewe background yote mpaka likatokea ilo tukio.Natafuta Ajira una lipi la kusema kuhusu ubakaji wa binti wa yombo?
Inasemekana alitembea na mume wa mwanajeshi mwenye nyota begani(afisa), ndo afisa akamtumia Vijana watano inasemekana nao ni wanajeshi, wakambaka na kumlawiti, wakarekodi video wakaituma mitandaoni, watu wamekasirika sana kwasababu wanaona kuna dalili za kuwalinda wanajeshi hao bila kuwachukulia hatua.Haya matukio ya kufanyiana ubaya ubwela huwa sipendi huwa kutoa recommendation kwa kuangalia matokeo huwa napenda kwanza nielewe background yote mpaka likatokea ilo tukio.
Wanawake wana maovu mengi sana nyuma ya pazia ila mambo yakiwa wazi kwenye jamii wanaonekana ni victims.
Huyu binti alicheza rafu gani mpaka akapigwa mtungo?
Najua huo mtililiko ila sasa ndio "inasemekana" lakini bado pande zote hazijasikilizwaInasemekana alitembea na mume wa mwanajeshi mwenye nyota begani(afisa), ndo afisa akamtumia Vijana watano inasemekana nao ni wanajeshi, wakambaka na kumlawiti, wakarekodi video wakaituma mitandaoni, watu wamekasirika sana kwasababu wanaona kuna dalili za kuwalinda wanajeshi hao bila kuwachukulia hatua.
Jeshi la polisi linasema limewakamata, tunasubiri taarifa baada ya uchunguzi, zote hizo ni tuhuma..
Hapo hakuna cha kusikilizwa awe alichukua mume hakuchukua hakuna lolote wanaloweza kusema kujustify walichofanya kama sheria ikichukua mkondo wake.Najua huo mtililiko ila sasa ndio "inasemekana" lakini bado pande zote hazijasikilizwa
najua sheria inasemaje kuhusu hicho kitendo, lakini kumbuka pia sheria ina mianya ya kumlinda ambae alikua chanzo cha tatizo ndio maana wengine wanaona bora wamalizane kihuni tu mtaani.Hapo hakuna cha kusikilizwa awe alichukua mume hakuchukua hakuna lolote wanaloweza kusema kujustify walichofanya kama sheria ikichukua mkondo wake.
Hao madogo wala ganja mmoja akakulia mtoni kijichi ganja ganja hadi huko jeshini
Hii ndio fikiri kabla ya kutenda hao madogo si ajabu wakala mvua za kutosha. Huyo aliyewatuma analindwa so anaweza ponea chupuchupu.najua sheria inasemaje kuhusu hicho kitendo, lakini kumbuka pia sheria ina mianya ya kumlinda ambae alikua chanzo cha tatizo ndio maana wengine wanaona bora wamalizane kihuni tu mtaani.