Uchaguzi 2020 Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi, aliewekewa pingamizi atajibu hoja mbele ya mweka pingamizi, Lissu na Magufuli uso kwa uso

Hakuna sheria hiyo mzee; nadhani unaiota iwepo tu. Sheria zenyewe ni hizi hapa
Uchaguzi 2020 - Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

Sema ni kifungu gani cha sheria kinasema hayo unayotangaza? Usambazji wa mambo ya uongo kama haya kwa lengo kusensitize watu wakati mwingine ni kinyume cha sheria za sedition.
 
Mambo mengine ya kijinga.unamuengua mtu eti hakuleta passport? this is stupid mambo mengine tunahitaji kutumia busara na siyo kukomoana!! Kama NEC hawawezi wajiuzulu mara moja.
Passport ta rais ileeeee na makamu wake
 
Hahaaa...... Bashiru aliweka ile picha ya rais anakula mahindi..... Tumewasamehe bure....

Twende na Lissu October 28
 
kwani Rais yuko juu ya sheria? sheria ndio inataka hivyo. wakati mwingine usiwe unakurupuka kujibu kitu usichojua

Mimi na jua uko muhimili ambao mizizi yake imejichimbia zaidi kwa maana na namna hiyo hiyo na Mkuu wake. Na bahati mbaya ni invisible kwa baadhi ya vilatha.
 
Tume ishtakiwe... Kwa upendeleo..
Hatuna TUME huru na mahakama zetu siku hizi pia zinapangiwa cha kufanya..vitisho ni vingi..jana nilipoleta Uzi huu watu wa TUME wakalamika kuwa natumia jina la Afisa Uchaguzi so ikabidi nibadilishe kirohoooo safi nisije kumtakia ndugu yangu Max Mello matatizo...
 
Utaratibu huu unaongelea labda ni wakilingine kwenu. Si wataifa huru ka Tanzania, leo ikihitajika kutangazwa hali ya hatari nchini lazima Rais na amiri heshi Mkuu, JPM angurume.

Mkuu kumbuka pana kipindi cha Uchaguzi na baada ya Uchaguzi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…