Unaona wazi kwamba sheria haisemi kuwa aliyewekewa pingamizi atakutana na kuongea na aliyemwekea pingamizi, bali inasema kuwa aliyewekewa pingamizi ataarifiwa na tume, na kupewa nafasi ya kujieleza kabla tume haitaoa uamuzi juu ya pingamizi hilo.
Huyu mwanzisha mada unawezakuta naye ni mhitimu wa hivi vyuo vyetu vya leo!Unaona wazi kwamba sheria haisemi kuwa aliyewekewa pingamizi atakutana na kuongea na aliyemwekea pingamizi, bali inasema kuwa aliyewekewa pingamizi ataarifiwa na tume, na kupewa nafasi ya kujieleza kabla tume haitaoa uamuzi juu ya pingamizi hilo.
Ili iweje, hakuna mtu yeyote atamfanya Lisu chochote maana Ni Mtanzania halisi, siyo hawa Wahutu wenye roho za Ibilisi wanaovalishwa kofia ya Utanzania na CCM.Hata wasafisha mitaro mabarabarani na viatu ikibidi. Walinzi wa mipaka yetu wahakikishe baada ya Oktoba Lissu hatoroki nchini. Atasingizia kurudi Ubeligiji kwa maangalizi ya kitabibu na afya.
Ili iweje, hakuna mtu yeyote atamfanya Lisu chochote maana Ni Mtanzania halisi, siyo hawa Wahutu wenye roho za Ibilisi wanaovalishwa kofia ya Utanzania na CCM.