Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

Basi ni hatari sheikh wangu manake rais anaweza kulala akaamka na kumtangaza rafiki yake kuwa jaji mtu ambaye hana utaalamu wa sheria huoni kwamba hiyo ni hatari? Tufuate miongozo jamani kuendesha nchi kwa akili zako tutakuja kujuta.haya

Hiyo ndiyo katiba inayokuongoza!! "Katiba inaweza kumfanya rais wa Tanzania dikteta" - hiyo kauli hukuwahi kuisikia? Busara za Kiongozi aliyeko madarakani ndo zinahitajika. Hali iko hivyo toka tupate uhuru!!
 
Mmeumia sana kwa Mtela kupewa nafasi ya UDAS. Nikuulize swali mleta mada. Kwani Mkuu wa Wilaya ni Mtumishi wa Umma ama siyo?
Mkuu,soma hoja uilewe ndiyo ujibu na siyo kukurupuka kujibu hoja ilhal haujaielewe.
 
Huwezi kumuelewa huyu kwa vile hajui hata alichoandika. Hasira zote ni kwa vile Mtela Mwampamba kapewa UDAS
Sidhani kama umemuelewa mleta Mada,mleta mada ana hoja ya msingi na amefanunua vizuri il tumuelewe,labda ni kusaidie kutofautisha,UDAS unaupata kama U-mtumishi na Ukuu wa Wilaya unateuliwa bila kujal ulikuwa Mtumishi ilimradi tu ulikuwa mfia Chama cha Mapinduzi,kwa hiyo mleta Mada anahoji inakuwaje? DAS ateuliwe.
 
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.

Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina kwa mujibu wa vigezo hufanyika na hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........

Sasa kati ya watumishi hao wa umma kulingana na sifa huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni Makatibu Tawala wa Wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.

Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma

Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA

KWA MUJIBU WA MUONGOZO-JOB DESCRIPTIONS FOR THE REGIONAL ADMINISTRATION YA 2011/2012 ILIYOTOLEWA NA TAMISEMI

EXPERIENCE

Preferably 10 years of working experience

PURPOSE OF THE JOB
The purpose is to coordinate and provide overall administration of District Commissioner’s Office necessary for assisting the District Commissioner in performing all administrative support services to LGAs and other institutions within the District.

MAIN ACTIVITIES

1. To advise the DC in performing statutory, delegated and other official functions.
2. To head the district administration and act as the warrant holder and collector of revenue in the District Commissioner’s office.
3. To supervise the implementation of administration and human resources management policy and other Acts pertaining to administration and human resources management in the District Commissioner’s office.
4. To facilitate the actual provision of employee benefits and welfare services.
5. To prepare expenditure and revenue estimates for the District Commissioner’s office.
6. To serve as assistant registrar for birth and death.
7. To assist the DC in conduct marriage ceremonies.
8. To coordinate implementation of ethics and value promotion activities including corruption prevention education.
9. To coordinate implementation of open performance review and appraisal system (OPRAS) in the District Commissioner’s office.
10. To coordinate disciplinary matters in the District Commissioner’s office.
11. To coordinate and actually assist in administering relief and disaster management activities including but not limited to rescue services, restoration and keeping of relevant records.
12. To oversee complaints and grievance handling; to assist the DC in disputes arbitration.
13. Responsible for matters pertaining to protocol affairs.
14. Any other relevant duty assigned to him or her from higher authorities.

QUALIFICATION
Preferably Degree of Masters or equivalent qualification from a recognized academic institution

KNOWLEDGE

The incumbent must have proficient knowledge in the doctrine of rule of law, good governance and principles of natural justice; human resources management; performance review methods and techniques; staff training, development and recognition; delegation; mentoring and coaching; and an understanding of relevant legislations, policies and procedures.

SKILLS

The incumbent must demonstrate the leadership and supervisory skills; team building skills; problem solving skills; basic counseling skills; negotiations skills; computer skills including the ability to operate spreadsheets and word processing programs; effective verbal, listening and written communications skills including the ability to prepare reports, proposals, policies and procedures; effective public relations and public speaking skills; research and program development skills; stress management skills; interviewing skills and; time management skills.
Kuna hoja za msingi sana katika bandiko lako lakini ni bahati mbaya unapoanza kuegemea mara kukomoa ukawa ndipo hapo unapoanza kupoteza njia. Kumbe angeteuliwa yeyote ambaye unahisi hana madhara kwa ukawa wala usingesema kitu. La msingi hapa ni kuangalia kama teuzi hizi zinafuata sheria, miongozo na kanuni za utumishi wa umma. Vinginevyo mteuzi atateua anaoona yeye wanafaa.
 
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.

Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina kwa mujibu wa vigezo hufanyika na hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........

Sasa kati ya watumishi hao wa umma kulingana na sifa huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni Makatibu Tawala wa Wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.

Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma

Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA

KWA MUJIBU WA MUONGOZO-JOB DESCRIPTIONS FOR THE REGIONAL ADMINISTRATION YA 2011/2012 ILIYOTOLEWA NA TAMISEMI

EXPERIENCE

Preferably 10 years of working experience

PURPOSE OF THE JOB
The purpose is to coordinate and provide overall administration of District Commissioner’s Office necessary for assisting the District Commissioner in performing all administrative support services to LGAs and other institutions within the District.

MAIN ACTIVITIES

1. To advise the DC in performing statutory, delegated and other official functions.
2. To head the district administration and act as the warrant holder and collector of revenue in the District Commissioner’s office.
3. To supervise the implementation of administration and human resources management policy and other Acts pertaining to administration and human resources management in the District Commissioner’s office.
4. To facilitate the actual provision of employee benefits and welfare services.
5. To prepare expenditure and revenue estimates for the District Commissioner’s office.
6. To serve as assistant registrar for birth and death.
7. To assist the DC in conduct marriage ceremonies.
8. To coordinate implementation of ethics and value promotion activities including corruption prevention education.
9. To coordinate implementation of open performance review and appraisal system (OPRAS) in the District Commissioner’s office.
10. To coordinate disciplinary matters in the District Commissioner’s office.
11. To coordinate and actually assist in administering relief and disaster management activities including but not limited to rescue services, restoration and keeping of relevant records.
12. To oversee complaints and grievance handling; to assist the DC in disputes arbitration.
13. Responsible for matters pertaining to protocol affairs.
14. Any other relevant duty assigned to him or her from higher authorities.

QUALIFICATION
Preferably Degree of Masters or equivalent qualification from a recognized academic institution

KNOWLEDGE

The incumbent must have proficient knowledge in the doctrine of rule of law, good governance and principles of natural justice; human resources management; performance review methods and techniques; staff training, development and recognition; delegation; mentoring and coaching; and an understanding of relevant legislations, policies and procedures.

SKILLS

The incumbent must demonstrate the leadership and supervisory skills; team building skills; problem solving skills; basic counseling skills; negotiations skills; computer skills including the ability to operate spreadsheets and word processing programs; effective verbal, listening and written communications skills including the ability to prepare reports, proposals, policies and procedures; effective public relations and public speaking skills; research and program development skills; stress management skills; interviewing skills and; time management skills.

Haya ni maelezo mazuri kwa kilichotokea....Nadhani wahusika watasikia ...teuzi hizi za ma-DAS hazina budi kutenguliwa...JPM asikilize kilio hiki...Waliopendekeza uteuzi huu wanamhujumu RAIS...this is a very serious matter....Patronage, clientelistic tendencies and spoil systems katika teuzi za ma-DAS zisiruhusiwe kamwe...Hayo yafanyike kwenye teuzi za ma-DC na ma_RC lakini siyo katika ngazi za ma-DAS na ma-RAS....HAPANA, HAPANA, HAPANA...msaidieni Rais msimwangushe makusudi....
 
We kijana tulia sasa ulitaka makada wa ccm waliopigania chama kuingia madarakani watoswe? Na bado ofisi zote za serikali mpaka hapo kwenye ofisi yako ya CAG Ma Auditors watakuwa makada wa CCM... We endelea kuzungurusha tu mikono
kaka naweza pata wapi kadi ya ccm
 
Hivi Amon Mpanju amewahi kuwa mtumishi wa umma!? Mbona uteuzi wake kuwa naibu katibu mkuu wa wizara ya sheria na katiba haukupigiwa kelele namna hii!? Ni nani asiyejua kuwa Mpanju ni mwanaCCM mtiifu na alishiriki kwenye mchakato wa kura za maoni katika kuusaka ubunge jimbo la Kawe kupitia tiketi ya CCM. Tuache double standards.
Ulipigiwa kelele sana , labda kama unajifanya punguani kama kawaida yako.
 
Hv ni nani hata hivyo anaweza kuthibitisha kuwa huyo mteule hakuwa mtumishi wa umma?Mtu aweza kuutumikia umma kwa namna nyingi.Unaweza kumwona n mvuvı, mkulima,mchuuzı,mzururuji n.k lakn akawa bado n mtumishi wa umma.
Bado hujaelewa maana ya mtumishi wa umma au mtumishi wa Serikali
 
Una maanisha huyu ni yule jamaa aliyeangushwa na Lameck Airo?
We kijana tulia sasa ulitaka makada wa ccm waliopigania chama kuingia madarakani watoswe? Na bado ofisi zote za serikali mpaka hapo kwenye ofisi yako ya CAG Ma Auditors watakuwa makada wa CCM... We endelea kuzungurusha tu mikono
 
Watu wa nchi hii hawaeleweki hata kidogo, wanachojua ni siasa za kijinga, nasema za kijinga kwasababu zipo siasa nzuri. Mfumo wetu wa ajira upo vibaya na ushawahi kupigiwa kelele na vijana wengi humu kwakuwa ulikuwa hauwapi nafasi nyeti za kulitumikia taifa lao, tatizo kubwa lilikuwa neno ''experience'' hivyo kutoa mwanya baadhi ya watu kuwa na vyeo vingi, ilikuwa marufuku kwa kijana graduate kushika nafasi nzuri hata kama ni kipanga vipi. Hebu tujiulize leo yule kijana aliyotoka Mzumbe UDSM etc akiwa na GPA ya 4.7 ya P.A na ameweza ku demonstrate leadership skills kuliko jitu lililokaa kazini miaka 20 likiendekeza upendeleo, rushwa na uvivu kazini nani anastahili kupewa nafasi? Vijana mnajirudisha nyuma wenyewe kwa kuunga mkono mliyokuwa mnayapigia kelele.
Tumeshudia Rais mstaafu akichekwa na kulaumiwa kwa teuzi zake za kuwajazia vyeo watu wachache na kuminya fursa kwa wengine kupata ajira. Neno promotion limekuwa kichaka kibaya sana cha kuweka watu wenye uwezo mdogo sana, nimeshuhudia miaka ya 2005 mpaka 2009 watu wenye elimu ya UPE wakipewa nafasi nyeti zinazohitaji elimu ya juu na kuwaacha vijana na mi degree yao mtaani wakihangaika.
Fanya utafiti mdogo sana, angalia maafisa elimu wa ngazi zote nchi nzima, ukipata nusu yao wanastahili kuitwa maafisa elimu nahama nchi, nina uhakika wengi wao ni elimu ya hapa na pale.
Tatizo la leo ni Msaliti kuteuliwa ila sio dhamira ya dhati kuelezea utaratibu.
 
Kwa uteuzi huu wa makada hakutakuwa na tofauti kati ya DC na DAS,wote mbiombio na matamko
 
Kwa namna wanavyobadili ovyo makatibu wakuu wa wizara Tanzania wala huku chini sishangai. Sisi tunaamini yeyote anaweza fanya chochote muhimu cheti sahihi kwa nafasi utakayo zawadia either hiyo shahada yako inakupa knowledge or not.

Hakuna maendeleo kesho wala leo ndio kwanza watu wanajifungulia kwenye makorido ya hospital raia wanasaidia huku manesi wanaangalia (wote ovyo kuanzia mawaziri mpaka mfanyakazi wa front line) sioni sababu ya kulaumu mmoja wakati serikari kwa upande mkubwa inaviongozi wa aina moja most of whom are unqualified.

Poor tanzania
 
Mkuu maofisini watu wamehuzunika sana, watu walishaanza kujenga imani na Rais walau ukilinganisha na waliopita. Lakini kwa uteuzi huu, ni dhahiri maslahi ya Taifa na watumishi ambao miaka nenda miaka rudi wanajituma kwa ajili ya nchi yao yamesahaulika. Hizi zilitakiwa ziwe promotion kwa watumishi waledi na waliojitolea kwa ajili ya nchi yao, lakini sasa zinatumika kama asante na takrima. Hili linaweza kujenga chuki na mawazo ya upendeleo wa kundi flani katika tasnia ya utumishi.
Kweli kabisa.
 
Ofisi ya mtumishi mkuu wa nchi (Rais), ina CCMISHA Utumishi wa Umma. Naona anajifunza kutoka China (One party policy). Kwamba tusubiri kidogo hata afisa elimu wa wilaya atatoka CCMUNI. Nadhani kuna kosa mahali.
 
Back
Top Bottom