Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Mtu kama huyo unadhani anafahamu hata Standing Orders ni kitu gani! !!!hapo hakuna cha ukawa wala uccm bali ni maslahi mapana ya taifa letu. rais kateleza.
sio kila uteuzi anapaswa kuweka yeyote. tafuta standing Order ujielimishe.