Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

Kwa mujibu wa Standing Orders, DAS ni mtumishi wa Umma

Halafu mtu anaomba tumuombee, haombi tumshauri.
 
nyumbu wanajua kukosoa tu..

ukiwauliza utaratibu wa kumpitisha lowassa kuwa mgombea wao wanakuwa wakali hao..

au utaratibu wa mbowe kuwa mwenyekiti milele wanakasirika

Ndio tayari ni maDAS , hivi wakati mnamchagua Lowasa kuwa mgombea alitimiza vigezo vya kuwa Mgombea vilivyopo kwenye katiba yenu?, au kulikuwa na vimamruki vyenu nini mliviweka stand by?, acheni watu wafanye kazi
 
ila bado asingeteuliwa au kupewa hiyo nafasi, MNGEKUJA HAPA NA KUMSHUSHUA MWAMPAMBA KUWA KAKOSA HATA U-DAS

mnakula maneno yenu, hawa jamaa mnawapa promo nyie wenyewe

hayo uliyoandika hapa, yanaishia humu, hakuna mtu yeyote wa kubadili hilo

pole
 
najua nakufundisha vitu hapa ukawaeleze na wenzio. Katibu Tawala wa Wilaya anateuliwa lakini miongoni mwa watumishi wa umma
Mkuu Okw, kwa namna ulivyowaumbua si ajabu wakaibuka wakadai mteuliwa huyo alikuwa mtumishi wa umma idara ya usalama wa taifa!
 
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.

Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina hufanyika hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........

Sasa kati ya watumishi hao wa umma bila kujali ni kada gani huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni makatibu tawala wa wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.

Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma

Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA
Tafadhali sana Mods msiunge uzi huu. Kuna hoja nzito sana hapa,nawaombeni sana wakuu


Baadhi yetu tumekuelewa sana...pongezi kwa ufafanuzi uliotoa hapa...Hapa mimi nimeshangazwa mno...lakini mimi naishia kushangaa tu...kilichotokea ni HATARI...Nadhani wamedhamiria kumhujumu Rais...Ni kitu cha ajabu kimefanyika...
 
Nani kakudanganya? Msiishi kwa mazoea. Katika awamu hii, mtu sahihi huwekwa mahala sahihi.
Toa pumba zako hapa! Watu wanajadili jambo nyeti kwa mustakabali wa nchi wewe unaleta upuuzi hapa? Namna hiyo ndio nchi inavyoongozwa au kwa sababu unasaka buku mbili?
 
Sijui kama JPM hata anaelewa nini anafanya! Ana washauri kweli huyu??
jpm kajizungusha wanafiki wasioweza kumshauri zaidi ya kumwabudu, japo naye haashauriki kama walivo viongozi wa aina yake
 
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.

Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina hufanyika hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........

Sasa kati ya watumishi hao wa umma bila kujali ni kada gani huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni makatibu tawala wa wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.

Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma

Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA
Tafadhali sana Mods msiunge uzi huu. Kuna hoja nzito sana hapa,nawaombeni sana wakuu


Hoja yako kweli ni nzito....ipo haja ya kupitia upya UTEUZI wa ma-DAS...lipo tatizo kubwa...Uteuzi huu ni hujuma kwa JPM...
 
asante mkuu nimeweka sifa za majukumu yao kwa kina hapo juu
DAS ni mtumishi Wa umma na huwa ni nafasi ya uteuzi inayopatikana kwa njia ya promotion kwa maafisa tawala wasaidizi mkoani, au maafisa tawala Wa wilaya au maafisa tarafa hawa wote wanaweza kuwa promoted kupewa UDAS, na Mara nyingi elimu yao huwa haitakiwa kupungua shahada ya pili. Ila kwa mtu freshi from mtaani kuteuliwa kuwa DAS mshangao kidogo na pia itawadimorolize watumishi wengine Wa ofisi za wakuu Wa mikoa, na wilaya. Kuna nafasi zingine Kama hii zinahitaji experience ya kutosha Sana. siasa zikiingilia utawala tumekwisha.
 
Huwezi kumuelewa huyu kwa vile hajui hata alichoandika. Hasira zote ni kwa vile Mtela Mwampamba kapewa UDAS
Mkuu Lizaboni wakati mwingine hizi siasa za "UKAWA NA CCM" tuziweke kando kidogo hata kwa saa moja...Kwanini tusijifunze hata kwa wenzetu kule wanakopigana siku kama ya leo ya Idd watu wanaweka silaha chini na kula "Pilau na harua" then ndio wanarudi "vitani"....Tuwe na break kwenye mambo ya pamoja mkuu wangu


Mkuu labda uwe hujafanya kazi kwenye utumishi wa Umma,lakini DAS na RAS ni watu muhimu sana kwenye utumishi wa umma sanaa tuu!!Hiki cheo hakiitaji siasa!Tutashangaa kesi zinajaa Mhakama ya Kazi au CMA(Commision for Mediation and Arbitration)

Cheo hiki si cha mwanaisiasa bali cha mtumishi ambaye ni Parmanent and Pensionable...anatakiwa mtu aliyekulia ndani ya utumishi wa umma hata kwa miaka kumi,mwenye uelewa wa "Organizational Culture" ya ofisi za umma hasa kwa upande wa utumishi,ni cheo kinachotokana na mtu aliye ndani ya utumishi anayepandishwa akiwa ndani ya utumishi wa umma

Hawa vijana wengi walioteuliwa hawajawahi kuajiliwa na serikali,hawa wote walikuwa Lumumba na CCM Makao Makuu Dodoma.Hawajafanyiwa usaili wa aina yoyote kuingia katika nafasi hizo,ndio maana unaona hata Utumishi hawana CV zao ndio maana wameambiwa waende nazo.Wanaenda kuongoza watu waliodumu kwenye utumishi wa umma kwa muda mrefu na weledi wa kutosha katika kanuni,taratibu na sheria za utumishi

Kifupi ni kuwa DAS au RAS ni sawa na Katibu Mkuu katika Wizara,na sio Waziri...Waziri anaweza kuja leo na kesho akashindwa uchaguzi akakosa hiyo nafasi,lkn Katibu Mkuu yupo pale pale,yeye ndio mwenye kujua haswaa Wizara na mahitaji yake,hatokani na siasa au vyama bali mfumo ndani ya utumishi wa umma.Sasa DAS ni kama Katibu Msaidizi na DC kama Naibu Waziri,Wakati RAS ni kama Katibu Mkuu na RC kama Waziri.DC na RC wanaweza hamishwa hamishwa sbb za kisiasa lakini si RAS na DAS

Hawa vijana wanaenda kukutana na watu wengine ndani ya ofisi ya DAS wenye uweledi kuwazidi,hawa wamedumu utumishi na wameingia kwa usaili na si kubebwa.Angeteuwa basi wale walio na weledi,uzoefu na ufahamu wa hii kazi na si hii "shukrani ya kisiasa"

Kwa hili sipo na JPM...hii ni upotofu,hii si sawa!!Fanyia siasa koooooote lakini si kwenye "Muundo wa Utumishi" wa umma unaoongozwa na Sheria,Kanuni na Taratibu!!Sasa nini Maana ya kuwa na "Government Standing Order?"
 
ila bado asingeteuliwa au kupewa hiyo nafasi, MNGEKUJA HAPA NA KUMSHUSHUA MWAMPAMBA KUWA KAKOSA HATA U-DAS

mnakula maneno yenu, hawa jamaa mnawapa promo nyie wenyewe

hayo uliyoandika hapa, yanaishia humu, hakuna mtu yeyote wa kubadili hilo

pole
Haaaaah haaaaa ukisimama nchale, ukikaa nchale, ukikimbia ndio kabisaaaaa
 
Kwani Makatibu Tawala wa Wilaya wanateuliwa ama wanaajiriwa? Ukifanikiwa kujibu hilo nafunga mjadala
wanateuliwa kutoka watumishi wa umma au nafasi inatangazwa na usaili ufanyika...
 
Naomba kunukuu Para A1 (21) ya Standing Orders ya 2009 kama kanuni za kudumu za Utumishi wa Umma........inasema "District Administrative Secretary" means a public servant in-charge of administration in a district; Ikimaanisha kuwa ni mtumishi wa umma atakayewajibika na shughuli za kiutawala ofisi ya Mkuu wa Wilaya.....Kwa kifupi kabisa huyu ni mtumishi wa umma ambaye upatikanaji wa upo wazi kabisa.

Mtumishi wa umma hateuliwi, mtumishi wa umma anapatikana katika namna ya ushindani ambapo mamlaka ya serikali iwe ni utumishi au mamlaka nyingine, hutangaza nafasi na zifa za mwombaji huanishwa. Usaili hufanyika na uchambuzi wa majina kwa mujibu wa vigezo hufanyika na hatimaye washindi huitwa kazini na kuwa watumishi wa umma ajira ya kudumu ''Permanent and Pensionable''.........

Sasa kati ya watumishi hao wa umma kulingana na sifa huteuliwa kuwa ma-DAS ambao ni Makatibu Tawala wa Wilaya ambao kimsingi majukumu yake ni kufanya shughuli za kiutawala katika ofisi ya mkuu wa wilaya.DAS huwa chini ya ofisi ya RAS-Katibu Tawala wa Mkoa.
Hivyo basi uteuzi wa DAS ni kama ulivyo uteuzi wa DED/MD/TEC Mkurugenzi wa Halmashauri, ni lazima awe mtumishi wa umma kwanza. Hii sio nafasi ya kisiasa.
Nimeonelea nitoe ufafanuzi huu baaada ya kuona jambo la ajabu sana kutokea jioni ya leo. Hatimae siasa zinanajisi utumishi wa umma. Tunaona Mwanasiasa Mtela Mwambamba na wenzake ghafla wameteuliwa kuwa ma-DAS. Sina hakika sana na wengine lakini ni dhahiri shahiri Mtela Mwampamba sio mtumishi wa umma.
Tunajua haja yenu ya kulipa fadhila makada, tunajua mnawarundika pale Ubungo ili kuikomoa UKAWA na Saidi Kubenea lakini kwa namna mnayofanya ni wazi mnaleta aibu kubwa sana. Tafadhalini fuateni utaratibu.

Naitaka mamlaka iliyomteua Mtela na wengine ambao hawakuwa watumishi wa umma itengue mara moja au itoe ufafanuzi ni kwa mazingira gani uteuzi umezingatia taratibu za kupatikana kwa watumishi wa umma

Nachosisitiza hapa ni kwamba KATIBU TAWALA WA WILAYA HUTEULIWA LAKINI NI LAZIMA AWE MIONGONI MWA WATUMISHI WA UMMA

KWA MUJIBU WA MUONGOZO-JOB DESCRIPTIONS FOR THE REGIONAL ADMINISTRATION YA 2011/2012 ILIYOTOLEWA NA TAMISEMI

EXPERIENCE

Preferably 10 years of working experience

PURPOSE OF THE JOB
The purpose is to coordinate and provide overall administration of District Commissioner’s Office necessary for assisting the District Commissioner in performing all administrative support services to LGAs and other institutions within the District.

MAIN ACTIVITIES

1. To advise the DC in performing statutory, delegated and other official functions.
2. To head the district administration and act as the warrant holder and collector of revenue in the District Commissioner’s office.
3. To supervise the implementation of administration and human resources management policy and other Acts pertaining to administration and human resources management in the District Commissioner’s office.
4. To facilitate the actual provision of employee benefits and welfare services.
5. To prepare expenditure and revenue estimates for the District Commissioner’s office.
6. To serve as assistant registrar for birth and death.
7. To assist the DC in conduct marriage ceremonies.
8. To coordinate implementation of ethics and value promotion activities including corruption prevention education.
9. To coordinate implementation of open performance review and appraisal system (OPRAS) in the District Commissioner’s office.
10. To coordinate disciplinary matters in the District Commissioner’s office.
11. To coordinate and actually assist in administering relief and disaster management activities including but not limited to rescue services, restoration and keeping of relevant records.
12. To oversee complaints and grievance handling; to assist the DC in disputes arbitration.
13. Responsible for matters pertaining to protocol affairs.
14. Any other relevant duty assigned to him or her from higher authorities.

QUALIFICATION
Preferably Degree of Masters or equivalent qualification from a recognized academic institution

KNOWLEDGE

The incumbent must have proficient knowledge in the doctrine of rule of law, good governance and principles of natural justice; human resources management; performance review methods and techniques; staff training, development and recognition; delegation; mentoring and coaching; and an understanding of relevant legislations, policies and procedures.

SKILLS

The incumbent must demonstrate the leadership and supervisory skills; team building skills; problem solving skills; basic counseling skills; negotiations skills; computer skills including the ability to operate spreadsheets and word processing programs; effective verbal, listening and written communications skills including the ability to prepare reports, proposals, policies and procedures; effective public relations and public speaking skills; research and program development skills; stress management skills; interviewing skills and; time management skills.
Uongozi uchwara
 
We kijana tulia sasa ulitaka makada wa ccm waliopigania chama kuingia madarakani watoswe? Na bado ofisi zote za serikali mpaka hapo kwenye ofisi yako ya CAG Ma Auditors watakuwa makada wa CCM... We endelea kuzungurusha tu mikono
We are patiently waiting for viwandas !
 
Jamani!! Hii nchi kwa sasa haina utawala wa sheria bali kuna utawala wa utashi. Niombeeni. Lakini wakati tunaomba kura tukiahidi kuwatumimkia kwa utumishi ukiotukuka, tukadiriki hata kuapa kwa kutumia jina la Mungu . Sasa hatutaki kukosolewa wala kusemwa . Ila sisi tunaruhusiwa kuwakosoa watu.
Mhhhh. Utawala mzuri japo uongozi hatutaki.
Tuombeeni tutafanya tutakalo sio mtakali nyie mlio tuchagua.
Hasa ole wenu nyie milioni sita ambao mliwapa UKAWA kura hameni nchi.

kweli itafika mahali tutachagua moja kati ya haya...either tuhame nchi au tupambane kuwaondoa hawa makaburu weusi......
 
Back
Top Bottom