Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira zote naona zitafutwa ili makada tu ndiyo wajiriwe. Kitakachofata watendaji wa kata na kijiji nao watateuliwa kutoka juu. Kisha mabalozi wa nyumba kumi. Kama kada utakosa ajira mwaka huu, hutapatatena.Ccm ni ile ile,wametuona wananchi ni mazoba kiasi kwamba wanaamua wanavyottuu na tupo kimya tuu.DAS,RAS imekua cheo cha kichama sasa wakati ilipaswa waliosoma chuo cha mipango na utawala mzumbe au Dodoma ndiyo wapewe promosheni waliopo makazini
We kijana tulia sasa ulitaka makada wa ccm waliopigania chama kuingia madarakani watoswe? Na bado ofisi zote za serikali mpaka hapo kwenye ofisi yako ya CAG Ma Auditors watakuwa makada wa CCM... We endelea kuzungurusha tu mikono
Kwani ccm si ina ofisi kila wilaya na mikoa kwa nini wasiajiliwe huko,jamani ccm inatualibia nchi yani toka nilipoona makonda ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa nikajua fika hapa nchi haina viongoziWe kijana tulia sasa ulitaka makada wa ccm waliopigania chama kuingia madarakani watoswe? Na bado ofisi zote za serikali mpaka hapo kwenye ofisi yako ya CAG Ma Auditors watakuwa makada wa CCM... We endelea kuzungurusha tu mikono
HV ww unajielewa kweli emu lete maana ya neno ajira?????Ajira zote zimesimamishwa huu uteuzi sio ajira???
wanaweza kuwa wamestaafu au kurudishwa kwenye kada zao za awali, kuna watu ni walimu kuna watu ni maafisa utumishi nk, ilimradi tu ni watumishi wa ummaSasa waliokuwepo wamekwenda wapi? Kama ni watumishi wa kawaida serikalini?
Sijakuelewa pleasewanaweza kuwa wamestaafu au kurudishwa kwenye kada zao za awali, kuna watu ni walimu kuna watu ni maafisa utumishi nk, ilimradi tu ni watumishi wa umma
Huwezi kumuelewa huyu kwa vile hajui hata alichoandika. Hasira zote ni kwa vile Mtela Mwampamba kapewa UDASSijakuelewa please
concur with me ''all-where''Inaonekana una hoja ya msingi. And i concur with you somehow. But I just hope kwamba nayo hiyo sio hoja ya mwendokasi iliyokuwa motivated na uteuzi wa Mtela Mwampamba!!! Tanzania imeendelea kuwa nchi ya matukio sasa!!!
Dah! Yaani inaelekea unajibu kwa hisia zako tu. huna ujualo hata kidogowanaweza kuwa wamestaafu au kurudishwa kwenye kada zao za awali, kuna watu ni walimu kuna watu ni maafisa utumishi nk, ilimradi tu ni watumishi wa umma
Ukitazama kwa jicho la kikada utaona nimeumia sana, ila ukitazama kwa weledi utanielewa.halafu mimi sio joblessMmeumia sana kwa Mtela kupewa nafasi ya UDAS. Nikuulize swali mleta mada. Kwani Mkuu wa Wilaya ni Mtumishi wa Umma ama siyo?
hujaelewa kipi hapo.umeuliza waliokuwa ma-DAS wameenda wapi, nimekujibu kuwa inawezekana wamestaafu, kufariki au wamerejeshwa kwenda kada zao awali.nimekuelewesha kuwa kabla mtumishi wa umma hajateuliwa kuwa DAS anakuwa mwalimu, muhasibu, afisa utumishi etc ect,Sijakuelewa please
Kwani Makatibu Tawala wa Wilaya wanateuliwa ama wanaajiriwa? Ukifanikiwa kujibu hilo nafunga mjadalaUkitazama kwa jicho la kikada utaona nimeumia sana, ila ukitazama kwa weledi utanielewa.halafu mimi sio jobless
Mkuu, hawa jamaa wanaumia sana. Mtela Mwampamba alikimbia kwenye lichama lao akaja CCM pamoja na Juliana Shonza. Juli amefanikiwa kuwa mbunge wakawa wanamsema sana Mtela. Leo kateuliwa wanajifanya kuokoteza hoja dhaifu kabisaLabda ungeweka CV ya huyo mtela na kusema hafai au anafaa. Hizo nyingine ni mbwembwe tu
Tangazo limejieleza mkuu. Wapo waliostaafu,waliofariki na waliokosa sifahujaelewa kipi hapo.umeuliza waliokuwa ma-DAS wameenda wapi, nimekujibu kuwa inawezekana wamestaafu au wamerejeshwa kwenda kada zao awali.nimekuelewesha kuwa kabla mtumishi wa umma hajateuliwa kuwa DAS anakuwa mwalimu, muhasibu, afisa utumishi etc ect,
Bora umemjibu huyo kada MwenzakoTangazo limejieleza mkuu. Wapo waliostaafu,waliofariki na waliokosa sifa
Mzee Tupatupa
najua nakufundisha vitu hapa ukawaeleze na wenzio. Katibu Tawala wa Wilaya anateuliwa lakini miongoni mwa watumishi wa ummaKwani Makatibu Tawala wa Wilaya wanateuliwa ama wanaajiriwa? Ukifanikiwa kujibu hilo nafunga mjadala