- Thread starter
- #21
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!
Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.
Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.
Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini
Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.
Nane nane iko wapi? Mbio za mwenge umezisikia ziliko? Hujasikia mochwari kufurika? Mitungi ya oksijeni inayoongelewa unadhani ni kwa ajili ya kuchomelea?
Hadi zikikurejea kichwani ndipo utaelewa kwa hivi sasa yatulize tu.