#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

#COVID19 Kwa mujibu wa Zitto Kabwe, Tunapoteza watu kwa kiwango kikubwa kutokana na Corona

Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.

Nane nane iko wapi? Mbio za mwenge umezisikia ziliko? Hujasikia mochwari kufurika? Mitungi ya oksijeni inayoongelewa unadhani ni kwa ajili ya kuchomelea?

IMG_20210721_112817_344.jpg


Hadi zikikurejea kichwani ndipo utaelewa kwa hivi sasa yatulize tu.
 
Wewe kama siyo kipofu, utakuwa mnafiki; kama mnafiki, utakuwa na ulemavu wa akili. Ni wapi ambako misiba haijaongezeka zaidi ya ilivyozoeleka?

Kesho, huku anazikwa Waziri wa ulinzi, jioni hii kuna misiba mingine mitatu. Wewe unaona hii ni kawaida. Na mwenyeji hapa anasema kuwa leo ni afadhali maana siku hizi, karibia kila siku ni 6 kwenda juu.

Kama vile haitoshi:

IMG_20210805_083950_902.jpg
 
Jambo la kheri kuwa sherehe za nane nane zimefutwa kimya kimya.

Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya.

View attachment 1885518

Mambo ya mbuni yametufikisha hapa.

View attachment 1885424

---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe.

Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho.

Wanaokufa katika hali hizi zinazoweza kuzuilika ni watu kama wewe na miye.

Kwamba hajawajibika mtu hadi leo kwa hali hii, kwa hakika haikubaliki.

Wewe nafikiri unalipwa! Naona haipiti siku lazima ulete utopolo wa corona hapa.
 
Wewe kama siyo kipofu, utakuwa mnafiki; kama mnafiki, utakuwa na ulemavu wa akili. Ni wapi ambako misiba haijaongezeka zaidi ya ilivyozoeleka?

Kesho, huku anazikwa Waziri wa ulinzi, jioni hii kuna misiba mingine mitatu. Wewe unaona hii ni kawaida. Na mwenyeji hapa anasema kuwa leo ni afadhali maana siku hizi, karibia kila siku ni 6 kwenda juu.
Nmekuja hapa chuoni kuchkua cheti na nmekua hapa kwa wiki moja, nmeshuhudia vifo vya maprofesa watatu ndani ya wiki moja, na mmoja kafariki leo asubui. Anasema data za kupika asubir siku wakidondoka ndugu zake ndo ataamini. Ofkoz hali sio nzuri.
Watu wanatamani kukimbia mikataba yao waache kufnya kaz za kuhudumia public,
 
Nmekuja hapa chuoni kuchkua cheti na nmekua hapa kwa wiki moja, nmeshuhudia vifo vya maprofesa watatu ndani ya wiki moja, na mmoja kafariki leo asubui. Anasema data za kupika asubir siku wakidondoka ndugu zake ndo ataamini. Ofkoz hali sio nzuri.
Watu wanatamani kukimbia mikataba yao waache kufnya kaz za kuhudumia public,

Tunapoteza watu wengi sasa hivi kuliko hata india:

IMG_20210808_181807_546.jpg
 
Acha uongo wewe.

Kwa mawazo yako haya ni mapambio:


Ni upumbavu uliopitiliza kudhani kuwa watu hawafi kwa sababu tu wewe hujafiwa.
 
Takwimu za kupika ambazo hazi relate na mtaani!!!!

Tunapita makaburini hatuoni hao watu wakizikwa.Kama mmekula hela za watu rudisheni.

Hao ndugu zenu mnajua kabisa wengine wana ma Tb,cancer lakini wakifa mnataka kusema Corona ndo primary source.

Haya pikeni pikeni data zenu huko,wazungu wafurahi mkiona watu hawalewi somo pandeni ndege mkaulize nchi jirani wanawezaje kupika data na kuwatia uoga wananchi wakati huo huo wanakula hela za waZungu kiulaini

Mfuateni mseveni awafundishe kuzika matambala/migomba ili mle hela za wazungu vizuri msisumbue wananchi.

Nyie mnaongea vitu msivyovijua ,hadi Zitto ametoa hizo takwimu inamaana amepata taarifa kutoka kwenye hizo sources ,ukienda RITA unapewa hizo taarifa acha ubweha.

Misiba ni mingi sana ,kila sehemu ukipita unakutana na vibao vya kuelekeza msiba ulipo ,mara kwa Eng flani mara kwa MUGANYIZI etc

Facebook taarifa za vifo zimeongezeka! Kwenye whatsapp group ndiyo hatari unastukia tu umeunganishwa kwenye group la michango ya msiba.

Hakuna mtu anayelipwa kwa kupromote chanjo ,kama chanjo wewe unaona haifai ni matzamo wako na kwa wengine wanaoona inafaa nao i mitizamo yao!
 
Kwa mawazo yako haya ni mapambio:


Ni upumbavu uliopitiliza kudhani kuwa watu hawafi kwa sababu tu wewe hujafiwa.

Yaani ndio akili za wana lumumba ,ukiwaambia watu wanapukutika kwa corona wao wanajibu mbona wewe hujafa?
 
Kwa mawazo yako haya ni mapambio:


Ni upumbavu uliopitiliza kudhani kuwa watu hawafi kwa sababu tu wewe hujafiwa.
Hii inahusu mtaa wa Missuna, au?
 
Back
Top Bottom