Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

download.jpeg
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221209-145942.png
    Screenshot_20221209-145942.png
    139.7 KB · Views: 6
  • Screenshot_20221209-150102.png
    Screenshot_20221209-150102.png
    123.8 KB · Views: 5
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇
mapato yaliyoonekana ya 2T ni ya mwezi October, sio wastani wa mapato kwa kila mwezi.

Ni deni gani hilo lililolipwa? Deni linalipwa halafu liongezeke?
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇

Pamoja na hayo deni halijawahi kupungua. Tujiulize kwanini Deni halipungui linapanda kila siku.
 
Pamoja na hayo deni halijawahi kupungua. Tujiulize kwanini Deni halipungui linapanda kila siku.
Ni kwa sababu mikopo mingi umechukuliwa kwa mda mfupi ikiwemo Ile ambayo ilizuiliwa enzi za Jiwe imekuwa disbursed awamu hii so imekuza Deni kwa haraka..

But natarajia kuanzia next year Deni litaanza kupungua kidogo kidogo kwa Serikali kukopa kidogo na kulipa kingi.
 
mapato yaliyoonekana ya 2T ni ya mwezi October, sio wastani wa mapato kwa kila mwezi.

Ni deni gani hilo lililolipwa? Deni linalipwa halafu liongezeke?
Chukua makusanyo ya robo ya kwanza afu gawanya kwa 3 utakuta Ni wastani wa 2T..

Pia Kama October yamefikia 2T Ni wazi disemba yatafikia 2.5T hivyo kuja kufidia miezi mingine..

Mwisho hata makusanyo ya Halmashauri yanakua zaidi kuliko hapo awali na kupunguza mzigo kwa Serikali kuu.
 
Ni kwa sababu mikopo mingi umechukuliwa kwa mda mfupi ikiwemo Ile ambayo ilizuiliwa enzi za Jiwe imekuwa disbursed awamu hii so imekuza Deni kwa haraka..

But natarajia kuanzia next year Deni litaanza kupungua kidogo kidogo kwa Serikali kukopa kidogo na kulipa kingi.
Mkuu huo uchumi wako ulisoma wapi? Hivi hata unajua nini maana ya mikopo?

Kwamba kuna mikopo ilizuiliwa kipindi cha jiwe ndio imekua kuachiwa sasa hivi? Okay tukubali unachokisema, kama ilizuiliwa, hiyo aliyokopa jiwe ilitoka wapi Trilioni 36?

Kwa maelezo yako ni kwamba kuna mikopo iliacha kutolewa enzi za Magufuli halafu Magufuli alipotoka tu ikaachiwa automatiki, sio?

Aisee.
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇
Hivi ilikuwaje kipindi cha Jiwe TRA ikitoaga report kuwa makusanyo ni Tril 1.3, 1.4, au 1.6 watu wakawa wanabisha kuwa jamaa anapika Data! ila sasahv wanasema wamepiga zaidi hatusikii zile story za ZItto kuwa wanaendelea kupika Data!!
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa 👇
Nani kakwambia hizo hela Ni za kulipa deni? Hizo ndo za safari zao na kununua lc300
 
Kwamba JK kwa miaka 10 Tril 29,
Aliyefuatia 36
Huyu wa sasa anaendeleza miradi ya aliyepita hadi sasa 20Tril
Maana yake kuna uwezekano mkubwa toka 2015-2025 mkopo ukawa ni tril 80 kwa hizo awamu 2 pekee
Jumla ya deni hadi 2025 litakuwa 120Tril

Tukifikia huko tukaze mikanda haswa
 
Back
Top Bottom