ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Watanzia million 61 wanadaiwa trillion 91 hapa tutauzwa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waweza tuwekea mfano wa hiyo mikopo iliyozuiwa Tofauti na wa WB?Ni kwa sababu mikopo mingi umechukuliwa kwa mda mfupi ikiwemo Ile ambayo ilizuiliwa enzi za Jiwe imekuwa disbursed awamu hii so imekuza Deni kwa haraka..
But natarajia kuanzia next year Deni litaanza kupungua kidogo kidogo kwa Serikali kukopa kidogo na kulipa kingi.
Bajeti ya Tanzania ni 41 TrilChukua makusanyo ya robo ya kwanza afu gawanya kwa 3 utakuta Ni wastani wa 2T..
Pia Kama October yamefikia 2T Ni wazi disemba yatafikia 2.5T hivyo kuja kufidia miezi mingine..
Mwisho hata makusanyo ya Halmashauri yanakua zaidi kuliko hapo awali na kupunguza mzigo kwa Serikali kuu.
Yeye ma wafuasi wake ni tatizo.Mhh kumbe marehemu alikuwa anakopa mbona alisema hakopi Bali anatumia fedha za ndani? Ule uongo ulikuwa ni kwa faida ya Nani?
🤣🤣🤣SGR Mkopo
JN Mkopo
Msalato Mkopo
Ring road Dodoma Mkopo
Mishahara Mikopo
Sikiliza wewe, Serikali unakusanya Pesa kutoka taasisi kadhaa sio TRA peke yake..Bajeti ya Tanzania ni 41 Tril
Makusanyo yake tukiweka 2T kwa mwezi inakuwa ni 24
Hiyo Deficit ya 17 inatoka wapi?
Iko mingi Sana mfano Dola milWaweza tuwekea mfano wa hiyo mikopo iliyozuiwa Tofauti na wa WB?
Huku tuendako tutaingia kwenye madeni mazito maana viongozi wameshaona watanzania wanadanganyika na miradi ya ujenzi tu ndio inaonekana ni maendeleo na vinginevyo hivyo kiongozi akiingia ni kukopa na kujenga na kuzindua miradi bila kujali kama hiyo miradi ni bubu , (white elephant) ama la maana inaonekana ili uonekane wewe ni kiongozi bora basi jenga, hivyo wanashinndana kukopa hela za kujengaYeye ma wafuasi wake ni tatizo.
Pia yeye ndo sababu deni letu linakuwa sababu alianzisha miradi mikubwa mingi ambayo huwezi izuia kwani itabidi umlipe mkandarasi, hivyo hawa nao wameona wakope wamalize tu
Kwa Nini nipate tabu mkuu wakati kila kitu kinajieleza?The Sunk Cost Fallacy 2 utapata tabu Sana kutetea hiyo mikopo ya trilioni 20 hadi watu waelewe, labda kama na wewe umejiandaa kwa TRAB and TRAT