The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Hakuna mtu atakukopesha kama hukipi Deni,elewa Hilo.Nani kakwambia hizo hela Ni za kulipa deni? Hizo ndo za safari zao na kununua lc300
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mtu atakukopesha kama hukipi Deni,elewa Hilo.Nani kakwambia hizo hela Ni za kulipa deni? Hizo ndo za safari zao na kununua lc300
Mimi mwenyewe nimeshindwa kuelewa matumizi ya hiyo trilioni 20 za Mkopo.Kwa Nini nipate tabu mkuu wakati kila kitu kinajieleza?
Shida ya Jiwe Ni kwamba alikuwa anataka kulazimisha makusanyo ya kila mwezi yafanane kiasi kwamba kupika.data kulikuwepo..Hivi ilikuwaje kipindi cha Jiwe TRA ikitoaga report kuwa makusanyo ni Tril 1.3, 1.4, au 1.6 watu wakawa wanabisha kuwa jamaa anapika Data! ila sasahv wanasema wamepiga zaidi hatusikii zile story za ZItto kuwa wanaendelea kupika Data!!
Hilo sio swala la Uchumi Ni suala la uhalisia na ukweli.Mkuu huo uchumi wako ulisoma wapi? Hivi hata unajua nini maana ya mikopo?
Kwamba kuna mikopo ilizuiliwa kipindi cha jiwe ndio imekua kuachiwa sasa hivi? Okay tukubali unachokisema, kama ilizuiliwa, hiyo aliyokopa jiwe ilitoka wapi Trilioni 36?
Kwa maelezo yako ni kwamba kuna mikopo iliacha kutolewa enzi za Magufuli halafu Magufuli alipotoka tu ikaachiwa automatiki, sio?
Aisee.
Acha siasa, serikali yetu haiwezi na hakuna iliyowahi weza timiza bajeti kama ilivyopangaSikiliza wewe, Serikali unakusanya Pesa kutoka taasisi kadhaa sio TRA peke yake..
Unakusanya Pesa kutoka TRA, Halmashauri, Kampuni zake za Biashara na Mamlaka zingine zinazojiendesha au kujitegemea mfano Bandari na Mamlaka za Maji..
Baada ya hayo makusanyo yote deficit hufidiwa na mikopo na misaada ya wahisani.[emoji116]
Duu una balaa,uwe unafuatilia Bajeti za Serikali ndio utajua zinachofanya.Mimi mwenyewe nimeshindwa kuelewa matumizi ya hiyo trilioni 20 za Mkopo.
Kwani makusanyo yetu hizo trilioni 2/mwezi zinatumika kufanya Nini?
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
Usikariri na kulinganisha failures wako.kina Mwendazake na Samia..Acha siasa, serikali yetu haiwezi na hakuna iliyowahi weza timiza bajeti kama ilivyopanga
Ni dalili mbaya, tazama November 2022 walishindwa hata kulipa mishahara kwa wakati na walipolipa walilipa kwa vipandevipandeHii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni
Hiyo miradi aliyoacha jpm aliacha na hela!? 500b ni mishahara tu kwa mwezi na hiyo ni zaidi ya miaka mi5 iliyopita,kuendesha serikali siyo mishahara tu,bajeti 41b makusanyo hardly 24b,17b inatoka wapi!?Ukisoma mwenendo wa makusanyo yetu ni wastani wa shilingi trilioni 2 kwa Mwezi Kwa mujibu wa Taarifa ya Wizara ya Fedha.
Wastani wa matumizi kwa mwezi ni bilioni 570 Mishahara na matumizi mengineyo ya uendeshaji wa ofisi za Umma (OC). Na Fedha zinazobaki wastani wa 500bilioni zinaenda kwenye miradi ya Maendeleo na nyingine ni akiba pamoja na kulipa madeni yaliyo iva.
Sasa tujiulize hizo Fedha zinakopwa zaidi ya 20trilioni kwa miezi 21 zimetumika kwenye miradi ipi?
Ndiyo hivyo vyoo pamoja na vyumba vya madarasa vinavyojengwa? Isije kuwa tunakopa Fedha nyingi hizo kumbe zinaingia kwenye mifuko binafsi ya watawala.
Vinginevyo tuoneshwe matumizi ya hizo hela, it doesn't make any sense mahela yote hayo alafu hakuna miradi tangible ya kuonekana zaidi ya Miradi iliyoachwa na JPM
Uhalisia upi?Hilo sio swala la Uchumi Ni suala la uhalisia na ukweli.
Mkopo wa WB,
Mkopo dola.mil.500 za India,
Dola mil.460 za mradi wa HEET nk nk
Ni wapi yanakotoka maji hivi leo, huyo waziri wa maji ni mtu hatari sana, hizo pesa zinapelekwa kwenye miradi anazunguka nyuma kwenda kuzichukua tenaMwaka wa fedha ulioisha wa 2021/22 Serikali ya awamu 6 imetekeleza bajeti kwa 95% na kuna wizara Kama ya Maji ilipewa mgao kwa 100%.
Walilipa tarehe ngapi na wanatakiwa walipe lini!?Ni dalili mbaya, tazama November 2022 walishindwa hata kulipa mishahara kwa wakati na walipolipa walilipa kwa vipandevipande
Bajeti 41tr,makusanyo 20tr...unauliza zimeenda wapi na kwa nini tumekopa?..unapoambiwa bwawa la umeme limefika 70+% na sgr inaenda nk unadhani pesa zinatoka wapi!?Mimi mwenyewe nimeshindwa kuelewa matumizi ya hiyo trilioni 20 za Mkopo.
Kwani makusanyo yetu hizo trilioni 2/mwezi zinatumika kufanya Nini?
Maeneo karibu yote maji yanatoka ,kwani hukuona miradi wanayozindua Viongozi?Ni wapi yanakotoka maji hivi leo, huyo waziri wa maji ni mtu hatari sana, hizo pesa zinapelekwa kwenye miradi anazunguka nyuma kwenda kuzichukua tena
Kama hata hujui hayo Mambo Wala sitojisumbui kukujibu napoteza nguvu buleUhalisia upi?
Mkopo upi kutoka WB, amount ipi na iliombwa lini na imetolewa lini?
Dola milioni 500 za India bank gani, ziliombwa lini na zimetolewa lini?
Leta basi ushahidi, sio hadithi.
Unaweza kutusadia ni taasisi gani ama kampuni gani ya serikali ambayo inapata faida na kupeleka hela ama gawio serikalini?Sikiliza wewe, Serikali unakusanya Pesa kutoka taasisi kadhaa sio TRA peke yake..
Unakusanya Pesa kutoka TRA, Halmashauri, Kampuni zake za Biashara na Mamlaka zingine zinazojiendesha au kujitegemea mfano Bandari na Mamlaka za Maji..
Baada ya hayo makusanyo yote deficit hufidiwa na mikopo na misaada ya wahisani.👇
Wewe unaleta hadithi, mimi niko jikoni ndio maana nakuuliza ulete ushahidi najua huna.Kama hata hujui hayo Mambo Wala sijosumbui kukujibu napoteza nguvu bule