Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miradi ya maigizoMaeneo karibu yote maji yanatoka ,kwani hukuona miradi wanayozindua Viongozi?
We kumah una bahati uko Ludewa tu ila ungekuwa kwenye radius ilikuwa ni kuhakikisha unaolewa haraka sana. Wacenge kama nyie ndio mnastahili kuwa eliminated maana ni sumu kwa ustawi wa nchi. Unatetea mambo ambayo hayana mashiko.stupid muthafuckaHarafu mikopo mingine unaweza kuwa iliidhinishwa Miaka ya nyuma ikaja kutolewa kipindi hiki ndio maana unakuta mikopo mingi kuliko kilochopangwa kwenye bajeti..
Nchi lazima ikope bila kukopa mtakamuliwa Hadi mkome na ambavyo wabongo wengi hamtaki kulipa kodi..
Mkitaka Serikali isikope lipeni Kodi na tozo
Kumar Ni mama yako na mkopo lazima utalipa utukane au ushangilie utalipa tuu.We kumah una bahati uko Ludewa tu ila ungekuwa kwenye radius ilikuwa ni kuhakikisha unaolewa haraka sana. Wacenge kama nyie ndio mnastahili kuwa eliminated maana ni sumu kwa ustawi wa nchi. Unatetea mambo ambayo hayana mashiko.stupid muthafucka
Kama Ni ya maigizo kwa hiyo wewe ndio una supply maji kwenye Miji yetu au siyo bwana mbumbumbuMiradi ya maigizo
Huyu jamaa anapenda kutumia assumption kwenye mambo serious kama haya ....Harafu mikopo mingine unaweza kuwa iliidhinishwa Miaka ya nyuma ikaja kutolewa kipindi hiki ndio maana unakuta mikopo mingi kuliko kilochopangwa kwenye bajeti..
Nchi lazima ikope bila kukopa mtakamuliwa Hadi mkome na ambavyo wabongo wengi hamtaki kulipa kodi..
Mkitaka Serikali isikope lipeni Kodi na tozo
Kavae pampasKama Ni ya maigizo kwa hiyo wewe ndio una supply maji kwenye Miji yetu au siyo bwana mbumbumbu
Huelewi hata unachoongea zaidi ya kuropoka tuu..Huyu jamaa anapenda kutumia assumption kwenye mambo serious kama haya ....
Mkopo aliochukua mwigulu Korea kusini wa dolar bilioni 1. sawa na trilion 3 uliidhinishwa na nani ......licha ya kuweka tozo Kila sehemu bado mikopo isiyo na njia inaongezeka ..tunakubali kukopa sawa ,lakini lazima kufanyike analysis ya kutosha ya namna ya kusource funds Kwa ajili ya kulipa hayo madeni .
Umesahu umbea uliouandika mwenyewe?Ushahidi wa Nini? Maana sikuelewi unataka Nini nikupe?
RubbishUmesahu umbea uliouandika mwenyewe?
Nimekwambia leta ushahidi wa umbea wako umekosa, sasa unaandika uharo tu.Rubbish
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
RubbishNimekwambia leta ushahidi wa umbea wako umekosa, sasa unaandika uharo tu.
Mambo ya umbea kama haya kawaandikie mataahira wenzio ndio watakuelewa.
..mkuu Gov inaweza isikope sana kwa kubana sana matumizi yake na ndivyo wanavyofanya nchi nyingi kwa sasa...unakusanya lakini unabana matumizi..futa safari/tumia balozi kwenda vikaoni nje ya nchi, vikao vya ndani fanya online, etc etc...then wekeza kwenye rasilimali ulizonazo na kubana mianya ya ukwepaji kodi hasa kodi kubwa..mh mkapa nadhani alifanya haya tukakaribia kumaliza madeni yote.Harafu mikopo mingine unaweza kuwa iliidhinishwa Miaka ya nyuma ikaja kutolewa kipindi hiki ndio maana unakuta mikopo mingi kuliko kilochopangwa kwenye bajeti..
Nchi lazima ikope bila kukopa mtakamuliwa Hadi mkome na ambavyo wabongo wengi hamtaki kulipa kodi..
Mkitaka Serikali isikope lipeni Kodi na tozo
Ndio mpaka iamue kubana hayo matumizi Sasa maana kwenye OC Kuna Til.5 nzima...mkuu Gov inaweza isikope sana kwa kubana sana matumizi yake na ndivyo wanavyofanya nchi nyingi kwa sasa...unakusanya lakini unabana matumizi..futa safari/tumia balozi kwenda vikaoni nje ya nchi, vikao vya ndani fanya online, etc etc...then wekeza kwenye rasilimali ulizonazo na kubana mianya ya ukwepaji kodi hasa kodi kubwa..mh mkapa nadhani alifanya haya tukakaribia kumaliza madeni yote.
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
Asilimia 32 ya bajeti ni mikopo.[emoji106][emoji106]
Kumbuka huo mkopo haujawekwa kwenye hizi hesabu za leo.Huyu jamaa anapenda kutumia assumption kwenye mambo serious kama haya ....
Mkopo aliochukua mwigulu Korea kusini wa dolar bilioni 1. sawa na trilion 3 uliidhinishwa na nani ......licha ya kuweka tozo Kila sehemu bado mikopo isiyo na njia inaongezeka ..tunakubali kukopa sawa ,lakini lazima kufanyike analysis ya kutosha ya namna ya kusource funds Kwa ajili ya kulipa hayo madeni .