Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891


Muhimu ni kuwa ikipigwa mnada mgao uwe sawa. Siyo wale walamba asali na vibuyu vyao ndoyo wapewe mgao mkubwa.
 
Hivi ilikuwaje kipindi cha Jiwe TRA ikitoaga report kuwa makusanyo ni Tril 1.3, 1.4, au 1.6 watu wakawa wanabisha kuwa jamaa anapika Data! ila sasahv wanasema wamepiga zaidi hatusikii zile story za ZItto kuwa wanaendelea kupika Data!!
Huyo nae ana mimba yake ya chuki ya Mwendazake isiyotaka kukomaa.Sasa nae ana buyu lake la asali analamba tu.
 
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122[emoji848][emoji3064][emoji2827]
Wakati huo kutakutakuwa na vituo vya mafuta kila baada ya hatua tatu na yard za magari hadi sebuleni maana ndipo hizi pesa zinakotakatishwa.
 
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891


Wait akitoka madarakani ndio utashangaaa

Utayasikia kama haya ya magufuli

Kwa sasa wimbo wa sifa upo kwake tu
 
Ni hatari sana nchi maskini yenye rasilimali nyingi kuwa na deni kubwa la Taifa.
 
Vp yule iblis dhwaalimu aliwahi kukwambia pesa anapeleka wap we bi. Mdogo??
Utapanic sana!

Nasikia huyu mvaa kobaz mwenzio akisikia kuna mtu atachukua form 2025 stress zinapanda kwa mujibu wa jk
 
Acha umbea ww huoni kuwa mama anaupiga mwingi unataka asikope tulia hivyo hivyo
 
Ni kwa sababu mikopo mingi umechukuliwa kwa mda mfupi ikiwemo Ile ambayo ilizuiliwa enzi za Jiwe imekuwa disbursed awamu hii so imekuza Deni kwa haraka..

But natarajia kuanzia next year Deni litaanza kupungua kidogo kidogo kwa Serikali kukopa kidogo na kulipa kingi.
Mwigulu mramba asali alie bebwa na mwenyekit NEC acha ujinga www
 
Mkuu huo uchumi wako ulisoma wapi? Hivi hata unajua nini maana ya mikopo?

Kwamba kuna mikopo ilizuiliwa kipindi cha jiwe ndio imekua kuachiwa sasa hivi? Okay tukubali unachokisema, kama ilizuiliwa, hiyo aliyokopa jiwe ilitoka wapi Trilioni 36?

Kwa maelezo yako ni kwamba kuna mikopo iliacha kutolewa enzi za Magufuli halafu Magufuli alipotoka tu ikaachiwa automatiki, sio?

Aisee.
Mkuuu acha kumjibu mpuuuz asiejielewa na uchumi wake uchwara
 
Mwigulu mramba asali alie bebwa na mwenyekit NEC acha ujinga www
Namba ndio zinaongea sio ujinga wako
Screenshot_20221211-111632.png
 
Kwan Zambia na Kenya walikosea wapi nasi twaenda hukohuko.
2025 tutawapima wanapanda majukwaani kuomba kura kwaraia au kwa mambuzi. Raia wanauwezo wa kuhojin mambuzi hayawezi kuhoji.
Tukitaka kwenda vizuri nchi hii ni lazima tuimarishe upinzani vinginevyo itakula kwetu wataendelea kuuwana maana wameanza kuropoka wenyewe watu wazuri hawafi maanake waliokufa Marais wetu waliopita walikuwa wabaya jamani amini usiamini damu ya mtu nzito
 
Sawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..

Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..

Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.

Soma hapa [emoji116]
Mpumbavu kwenye Ubora wake
 
Back
Top Bottom