Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Ambao walitengenezwa na yule iblis dhwaalimu
Ndio ujue kwamba mataahira ni wengi sana awamu hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ujue kwamba mataahira ni wengi sana awamu hii
Irani hawana shida wao wanatafuta marafiki wa kuwanao pamoja kwasababu Ulaya na Marekani wana wachukiaKakudanganya Nani? Kwa taarifa yako Nchi ambako Tzn Ina Deni kubwa Ni Iran Sasa Iran wanaweka masharti gani?
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
Huyo ibilisi bado anakubutua tu hata baada ya kufa?Ambao walitengenezwa na yule iblis dhwaalimu
Naona mvaa kobaz unaendelea kutetea imanKama yule andunje wa kongwa and co
Huyo nae ana mimba yake ya chuki ya Mwendazake isiyotaka kukomaa.Sasa nae ana buyu lake la asali analamba tu.Hivi ilikuwaje kipindi cha Jiwe TRA ikitoaga report kuwa makusanyo ni Tril 1.3, 1.4, au 1.6 watu wakawa wanabisha kuwa jamaa anapika Data! ila sasahv wanasema wamepiga zaidi hatusikii zile story za ZItto kuwa wanaendelea kupika Data!!
Huyo ibilisi bado anakubutua tu hata baada ya kufa?
Naona mvaa kobaz unaendelea kutetea iman
Mwambie huyu mvaa kobaz mwezio atwambie hii mikopo anapeleka wapi
Wakati huo kutakutakuwa na vituo vya mafuta kila baada ya hatua tatu na yard za magari hadi sebuleni maana ndipo hizi pesa zinakotakatishwa.Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122[emoji848][emoji3064][emoji2827]
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.
Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.
Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122
Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.
View attachment 2441891
Utapanic sana!Vp yule iblis dhwaalimu aliwahi kukwambia pesa anapeleka wap we bi. Mdogo??
Mwigulu mramba asali alie bebwa na mwenyekit NEC acha ujinga wwwNi kwa sababu mikopo mingi umechukuliwa kwa mda mfupi ikiwemo Ile ambayo ilizuiliwa enzi za Jiwe imekuwa disbursed awamu hii so imekuza Deni kwa haraka..
But natarajia kuanzia next year Deni litaanza kupungua kidogo kidogo kwa Serikali kukopa kidogo na kulipa kingi.
Mkuuu acha kumjibu mpuuuz asiejielewa na uchumi wake uchwaraMkuu huo uchumi wako ulisoma wapi? Hivi hata unajua nini maana ya mikopo?
Kwamba kuna mikopo ilizuiliwa kipindi cha jiwe ndio imekua kuachiwa sasa hivi? Okay tukubali unachokisema, kama ilizuiliwa, hiyo aliyokopa jiwe ilitoka wapi Trilioni 36?
Kwa maelezo yako ni kwamba kuna mikopo iliacha kutolewa enzi za Magufuli halafu Magufuli alipotoka tu ikaachiwa automatiki, sio?
Aisee.
Namba ndio zinaongea sio ujinga wakoMwigulu mramba asali alie bebwa na mwenyekit NEC acha ujinga www
Tukitaka kwenda vizuri nchi hii ni lazima tuimarishe upinzani vinginevyo itakula kwetu wataendelea kuuwana maana wameanza kuropoka wenyewe watu wazuri hawafi maanake waliokufa Marais wetu waliopita walikuwa wabaya jamani amini usiamini damu ya mtu nzitoKwan Zambia na Kenya walikosea wapi nasi twaenda hukohuko.
2025 tutawapima wanapanda majukwaani kuomba kura kwaraia au kwa mambuzi. Raia wanauwezo wa kuhojin mambuzi hayawezi kuhoji.
Mpumbavu kwenye Ubora wakeSawa tuu Wala Hakuna shida Cha msingi madeni yanalipwa..
Good enough ndani ya huo huo mwaka na nusu mapato ya TRA kwa mwezi yamehama kutoka Til.1.3 Hadi Til.2 kwa Mwezi na TRA imekuwa inavunja rekodi ya makusanyo jumla..
Halikadhalika makusanyo jumla ya serikali yangeongezeka pia so Wala Hakuna shida.
Soma hapa [emoji116]