Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Kwa mwaka 1 na miezi 9 Serikali ya Samia imeokoa Trilioni 20

Unaweza kutusadia ni taasisi gani ama kampuni gani ya serikali ambayo inapata faida na kupeleka hela ama gawio serikalini?

TPA sio kampuni ya serikali, ni taasisi inayokusanga pesa kwa niaba ya serikali, TPA haifanyi biashara yoyote.

Kwenye bajeti kuu ya serikali, makusanyo ya TPA, halmashauri nk na taasisi zake zote hua yanatajwa kama mapato yasiyo ya kikodi, non tax revenues.
Sasa unauliza Nini Kama unajua kwamba mapato yasiyo ya kikodi?

Mapato ya TRA ,yasiyo ya kikodi kutoka hizo taasisi na mikopo ndio huwakilisha bajeti 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220614-224601.png
    Screenshot_20220614-224601.png
    53.2 KB · Views: 2
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891
TANZANIA LAZIMA IPIGWE MNADA TU
 
Huwezi kumsikia mdini Zitto akiongelea lolote
 
Hivi ilikuwaje kipindi cha Jiwe TRA ikitoaga report kuwa makusanyo ni Tril 1.3, 1.4, au 1.6 watu wakawa wanabisha kuwa jamaa anapika Data! ila sasahv wanasema wamepiga zaidi hatusikii zile story za ZItto kuwa wanaendelea kupika Data!!
Ndio ujue kwamba mataahira ni wengi sana awamu hii
 
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122[emoji848][emoji3064][emoji2827]
 
Yeye ma wafuasi wake ni tatizo.

Pia yeye ndo sababu deni letu linakuwa sababu alianzisha miradi mikubwa mingi ambayo huwezi izuia kwani itabidi umlipe mkandarasi, hivyo hawa nao wameona wakope wamalize tu
Miradi yenyewe ni SGR na bwawa la umeme ambayo haifiki tl. 10

Mwambieni huyu mamaenu awambie hizi hela anapeleka wapi? Na huku kaweka matozo kila kona?
 
Kwa miaka 5 Magufuli alikopa Trilioni 36, wastani wa Trilioni 7 kwa mwaka.

Magufuli alipofariki mwaka jana mwezi March aliacha Deni la Taifa liko Trilioni 71.

Toka mwaka jana Mwezi Aprili hadi October mwaka huu kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania Deni la Taifa limeongezeka kwa Trillioni 20 na kufikia Trilioni 91.

Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122

Ndugai alikua sahihi, hii nchi ipo siku itapigwa mnada.

View attachment 2441891

Kwa mwendo huu,njia pekee ya kuokoa hii nchi,ni massuprising,kama ilivyokuwa Arab uprising,sasa itokee "south of Sahara" up rising,
Wanazuoni wanasema,"many African countries/ststes,have mafia organizations"hapa kwetu,Mafia organization,have a state,what we have now is state capture,
Idara zote zimeshikwa na cartel,Hawa wanachoangalia ni kuendelea kuwa Madarakani,hawawazi maendeleo,
Ni jinsi gani wataendelea kutawala nchi hii,Idara zote zimeshikwa,Jeshi,polisi,Intelijensia, public offices.Hata Mkuu wa majeshi,akienda kinyume anatulizwa,
Polisi wameachwa waumize raia,ila isiwe kwa makelele sana,Kila mtu ale kwa urefu wa kamba,
Wazee kama Warioba,Butiku,Hawa sio wa kuwategemea,maana hata Hawa wananufaika sana na huu mfumo.
Dawa ni risasi tu zilindime,mama mwenye kulembua macho,aende akalembulie zenj
 
Na tunakopa tena.
Kiufupi mikopo ni mizuri na inasaidia taifa ila baadhi ya mikopp haitakikani kwa wakat huu maana tutajauza baadhi ya rasmali za taifa
Khaaa mwalimu wako alikua na kazi sana
 
Hii ni wastani wa kukopa Trilioni 1.05 kwa mwezi, ama wastani wa kukopa Trilioni 13 kwa mwaka. Kwa miaka 4 atakayokua madarakani hadi 2025 ataacha deni la Trilioni 51 na jumla ya Deni la taifa litakua Trilioni 122[emoji848][emoji3064][emoji2827]
Harafu mikopo mingine unaweza kuwa iliidhinishwa Miaka ya nyuma ikaja kutolewa kipindi hiki ndio maana unakuta mikopo mingi kuliko kilochopangwa kwenye bajeti..

Nchi lazima ikope bila kukopa mtakamuliwa Hadi mkome na ambavyo wabongo wengi hamtaki kulipa kodi..

Mkitaka Serikali isikope lipeni Kodi na tozo
 
Back
Top Bottom