Kwa mwaka 2017 nani aliongoza kwa kutumia lugha zisizo na staha katika JamiiForums ili ajirekebishe mwaka 2018?

Kumbe HR 666 umekuja kwa ID ya masonic 666.Unaipenda sana iyo namba?
 
Jestikilla. "Binti" wa Kinyarwanda huwa anatukana balaa [emoji124][emoji124][emoji124]

Hapa penyewe akija sijui hali yangu itakuwaje [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Msikilizie,yakikuzidi kodi jeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…