Ili uishi kwa amani lazima uwe na vigezo vyako, hakuna anae ishi hivi hiviShida ni hiyo mnayosema aliyesirias halafu mnaweka vigezo. Si mngekuwa mnaandika vigezo pekee, maana kuna walioserious kweli halafu masharti yanawashinda. MUME/MKE HACHAGULIWI KAMA AINA YA NGUO MTUMBANI
Mashart yake mbona ya kiutuuzima tu jaman... Sio wale wanaosema awe mref , mweupe, msafi, na maupuuz mengine.... Uyu yuko vizur.. Dini ni muimu na kipato ni muimu. Utapata mamy mtangulize munguShida ni hiyo mnayosema aliyesirias halafu mnaweka vigezo. Si mngekuwa mnaandika vigezo pekee, maana kuna walioserious kweli halafu masharti yanawashinda. MUME/MKE HACHAGULIWI KAMA AINA YA NGUO MTUMBANI
nimekuuliza swali la msingi maana umeweka vigezo kwahiyo usikimbie maswala ya msingiJaribu kujiheshimu basi
Mungu atakusaidia mmyAsante Mungu anisaidie ktk hili
Hakukosea kutaja hivyo vitu maana hata cc waislam tumeambiwa tumuowe mwanamke kwa mambo manne.........Hapo penye pesa zake ndio pagumu tu mi