Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
Kama bado haujapata mkuu njoo kwangu,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti kisu umeniacha hoi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sijui kwanini roho inasema mleta uzi ni kisu, tatizo umri na kipato[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mim nipo kabanga huku nafundsha kigezo cha dar cna[emoji124]Salaam wandugu nmechoka kuwa lonely na nnaona huu ni muda muafaka wa mm kuwa na familia so natafuta mwanaume alie serious na alie na uhitaji kama wangu
-Nna 28yrs
-Black in colour
-Ni mkristo
-Nimeajiriwa
Sifa za mwanaume
-Awe ni Christian
-Mwenye kipato chake
-Itakua vizuri akiwa anapatika
morogoro au dar es salaam
-Awe kweli yupo seriouse
-Umri kuanzia 30
KARIBUNI!
kweli mkuu me mwenyewe keshanikosa hapo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Shida ni hiyo mnayosema aliyesirias halafu mnaweka vigezo. Si mngekuwa mnaandika vigezo pekee, maana kuna walioserious kweli halafu masharti yanawashinda. MUME/MKE HACHAGULIWI KAMA AINA YA NGUO MTUMBANI
Kila la heri Dada, me kigezo cha dini tu ndo kimeniangusha daaah nimeshakosa mke tayariSalaam wandugu nmechoka kuwa lonely na nnaona huu ni muda muafaka wa mm kuwa na familia so natafuta mwanaume alie serious na alie na uhitaji kama wangu
-Nna 28yrs
-Black in colour
-Ni mkristo
-Nimeajiriwa
Sifa za mwanaume
-Awe ni Christian
-Mwenye kipato chake
-Itakua vizuri akiwa anapatika
morogoro au dar es salaam
-Awe kweli yupo seriouse
-Umri kuanzia 30
KARIBUNI!
Kila raheli dear Rafiki yetu Na mshauri wetu.All the best.Salaam wandugu nmechoka kuwa lonely na nnaona huu ni muda muafaka wa mm kuwa na familia so natafuta mwanaume alie serious na alie na uhitaji kama wangu
-Nna 28yrs
-Black in colour
-Ni mkristo
-Nimeajiriwa
Sifa za mwanaume
-Awe ni Christian
-Mwenye kipato chake
-Itakua vizuri akiwa anapatika
morogoro au dar es salaam
-Awe kweli yupo seriouse
-Umri kuanzia 30
KARIBUNI!