Kwa mwanaume alie na utayari wa kuwa na familia

Mngelijua zamani mama zetu walikua wanaambiwa utaenda kwa Fulani uwe unataka au hutaki, msingekua na haja ya kubisha. Baba zetu nao walikua wakitoka jandoni tu anapewa eneo la kulima nakukabidhiwa mke. Walikua wanakutana wakati mwingine kitu ambacho mwanamke alikikuta ndani ni jamvi la kulalia na majembe, na maisha yalisonga.

Japo kulikua na talaka lakini ni kwakiwango cha chini sana. Dada zanguni kama mlivyosema vigezo ni muhimu sikatai, ila kigezo cha kusema mwanaume lazima awe na kipato siafiki.

NYUMA YA KILA MWANAUME MWENYE MAFANIKIO KUNA MWANAMKE MWENYE HEKIMA

Utajivunia kipi kwa mumeo kudhihirisha wewe ni mwanamke unayejitambua? Anza nae maisha akiwa hana kitu (japo wapo wanaume waliojijenga kwanza) ili atamani kuendelea kukuona.

Ukimkuta tayari ana kitu halafu ukakosea mahali na uchumi ukayumba atakuona huna tofauti na mwanamke (kumbuka kwenye ndoa hakuna mwanamke, ni mke) HATA WANAUME TUNATAMANI SANA KUWA NA MKE MWENYE PESA LAKINI TUNATAKA TUJUE, UCHUMI UKIYUMBA MTATUSAIDIA NJIA ZA KUPAMBANA AU NDIO NYODO ZITAANZA.

By the way, hiyo zamani sikuwepo ila niliona aina ya maisha waliyoishi wanandoa enzi za utoto wangu.
 
Sijui kwanini roho inasema mleta uzi ni kisu, tatizo umri na kipato[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Sijui kwanini roho inasema mleta uzi ni kisu, tatizo umri na kipato[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Eti kisu umeniacha hoi [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mim nipo kabanga huku nafundsha kigezo cha dar cna[emoji124]
 
Yaani kipato (pesa )ndio msingi wa mahusiano
 
Shida ni hiyo mnayosema aliyesirias halafu mnaweka vigezo. Si mngekuwa mnaandika vigezo pekee, maana kuna walioserious kweli halafu masharti yanawashinda. MUME/MKE HACHAGULIWI KAMA AINA YA NGUO MTUMBANI
kweli mkuu me mwenyewe keshanikosa hapo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kila la heri Dada, me kigezo cha dini tu ndo kimeniangusha daaah nimeshakosa mke tayari
 
Isije kuwa unatafuta egemeo aiseii...!
 
Kila raheli dear Rafiki yetu Na mshauri wetu.All the best.
 
Afadhali zamu yetu waluguru na wazaramo.
 
Miaka 30 ana Panga na jembe? Ili mkaanze pamoja? Bora angekutana naye akiwa yeye 15 mwanamume 18, wakaanza pamoja 30, hana hela ya sabuni, ya kujihudumia huyo sio mwanamume ni mzigo nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…