Hatua stahiki zinahitajika hapa kama si mwendelezo wa kujisahau:
Ya Mwigulu, Nape na walamba asali wengine tumeyaona. Kama vile haitoshi tena tunastaajabu ya Waziri Masauni.
Asali mlambe nyie na kukiuka haki zetu juu?
Hivi mnawajibika kwa nani enyi miungu watu?
Ya Mwigulu, Nape na walamba asali wengine tumeyaona. Kama vile haitoshi tena tunastaajabu ya Waziri Masauni.
Asali mlambe nyie na kukiuka haki zetu juu?
Hivi mnawajibika kwa nani enyi miungu watu?