Kwa mwendo huu machawa wa Samia wataendelea kupeta

Kwa mwendo huu machawa wa Samia wataendelea kupeta

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Salama ya upinzani kuchukua dola ilikuwa mikononi mwa maridhiano ambayo yangepelekea uundwaji wa katiba mpya ambayo ingezaa tume huru ya uchaguzi.

Na jambo hili lilikuwa pia linasubiriwa kwa hamu kubwa Sana na sukuma gang ili wajaribu kutupa karata yao kumuondoa Samia na kundi lake. (Ndiyo maana walishangilia sana walipoibuka washindi kwenye wajumbe wa NEC kama mnakumbuka)

Wakati wote huu kundi la ccm-Samia lilikuwa na wasiwasi lilikuwa linapongana na msimamo wa rais Samia aliyeonekana kuamini ktk maridhiano. Na aliwahi kutamka hadharani kuwa anapingwa na wanaccm wenzake.

Kwa mtifuano uliotokea kati ya rais Samia na upinzani ktk sakata la DPW kwa vyovyote vile ccm-Samia wanashangilia kimoyomoyo huku sukuma gang wakilia kilio cha mbwa koko.

Kwasabb mipango na nia ya kuunda katiba mpya ambayo ingeliweka mazingira bora ya kila mtu kupata ushindi ktk chaguzi imeyeyuka rasmi.
 
Sioni uhusiano uliopo kati ya hao Sukuma Gang, upinzani, na chawa wa Samia, na kwasababu hiyo, pia sioni kwanini uwape ushindi hao chawa wa Samia.

Kama unaona chawa wa Samia wanaelekea kushinda, kwanini wanahangaika kutengeneza bodaboda na ku print t shirt? kama sio ili kumsafisha mama yao wanayejua amwchafuka sana kwa issue ya DPW?

Hii ngoma bado mbichi sana, Samia hata kama akiendelea kupata msaada wa kina Kingai, bado ajiandae kwa shughuli kubwa zaidi kuelekea 2025, hawezi kujisafisha kwa huu ujinga aliotufanyia wa kutoa bure bandari zetu milele kwa wajomba zake arabuni.
 
Yaani umetafuta mwanya wa kumtukana marehemu magufuli umekosa umeamua kuandika upumbavu

Huu ni mwanzo
 
Wacha afanye Washauri wanavyotaka, ila ataongoza kwa ugumu sana... amuulize Ruto.

Kuwasaliti wapinzani ni hatari kuliko hata kuwakataa ( kama alivyofanya Magufuli)
 
Sioni uhusiano uliopo kati ya hao Sukuma Gang, upinzani, na chawa wa Samia, na kwasababu hiyo, pia sioni kwanini uwape ushindi hao chawa wa Samia.

Kama unaona chawa wa Samia wanaelekea kushinda, kwanini wanahangaika kutengeneza bodaboda na ku print t shirt? kama sio ili kumsafisha mama yao wanayejua amwchafuka sana kwa issue ya DPW?

Hii ngoma bado mbichi sana, Samia hata kama akiendelea kupata msaada wa kina Kingai, bado ajiandae kwa shughuli kubwa zaidi kuelekea 2025, hawezi kujisafisha kwa huu ujinga aliotufanyia wa kutoa bure bandari zetu milele kwa wajomba zake arabuni.
Hata Coca-Cola, Vodafone, Pepsi wanajitangaza kila uchao, je hawajulikani?
 
Salama ya upinzani kuchukua dola ilikuwa mikononi mwa maridhiano ambayo yangepelekea uundwaji wa katiba mpya ambayo ingezaa tume huru ya uchaguzi.

Na jambo hili lilikuwa pia linasubiriwa kwa hamu kubwa Sana na sukuma gang ili wajaribu kutupa karata yao kumuondoa Samia na kundi lake. (Ndiyo maana walishangilia sana walipoibuka washindi kwenye wajumbe wa NEC kama mnakumbuka)

Wakati wote huu kundi la ccm-Samia lilikuwa na wasiwasi lilikuwa linapongana na msimamo wa rais Samia aliyeonekana kuamini ktk maridhiano. Na aliwahi kutamka hadharani kuwa anapingwa na wanaccm wenzake.

Kwa mtifuano uliotokea kati ya rais Samia na upinzani ktk sakata la DPW kwa vyovyote vile ccm-Samia wanashangilia kimoyomoyo huku sukuma gang wakilia kilio cha mbwa koko.

Kwasabb mipango na nia ya kuunda katiba mpya ambayo ingeliweka mazingira bora ya kila mtu kupata ushindi ktk chaguzi imeyeyuka rasmi.
Kwa akili zako finyu uliamini kabisa Saa 100 angeleta katiba mpya!?!

Hakuna mtu mwenye akili timamu aliyeamini kuwa Saa 100 ataleta katiba mpya
 
Sioni uhusiano uliopo kati ya hao Sukuma Gang, upinzani, na chawa wa Samia, na kwasababu hiyo, pia sioni kwanini uwape ushindi hao chawa wa Samia.

Kama unaona chawa wa Samia wanaelekea kushinda, kwanini wanahangaika kutengeneza bodaboda na ku print t shirt? kama sio ili kumsafisha mama yao wanayejua amwchafuka sana kwa issue ya DPW?

Hii ngoma bado mbichi sana, Samia hata kama akiendelea kupata msaada wa kina Kingai, bado ajiandae kwa shughuli kubwa zaidi kuelekea 2025, hawezi kujisafisha kwa huu ujinga aliotufanyia wa kutoa bure bandari zetu milele kwa wajomba zake arabuni.
Kwa katiba hii kwenda kwenye uchaguzi ninkuhalalisha tu ushindi wa CCM
 
Mapungufu ya Kenya yanatumika kutengeneza Katiba bora Tanzania, kufeli wakenya sio lazima nasi tufeli, usiishi kwa kukariri kama mtoto wa darasa la tatu.
Mkuu unafuatiliaga hoja za huyo mpalestina? Huyo ni mjane kwa waume wa 3! Asikuumize kichwa
 
Kumbe mlikubaliana iwe Hakuna kukosoa ndiyo "Mama" awaletee katiba mpya!
 
Kumbe mlikubaliana iwe Hakuna kukosoa ndiyo "Mama" awaletee katiba mpya!
Mama ndiyo alikubaliana na akili yake hivyo. Ndiyo maana baada ya kukosolewa kasusa
 
Sioni uhusiano uliopo kati ya hao Sukuma Gang, upinzani, na chawa wa Samia, na kwasababu hiyo, pia sioni kwanini uwape ushindi hao chawa wa Samia.

Kama unaona chawa wa Samia wanaelekea kushinda, kwanini wanahangaika kutengeneza bodaboda na ku print t shirt? kama sio ili kumsafisha mama yao wanayejua amwchafuka sana kwa issue ya DPW?

Hii ngoma bado mbichi sana, Samia hata kama akiendelea kupata msaada wa kina Kingai, bado ajiandae kwa shughuli kubwa zaidi kuelekea 2025, hawezi kujisafisha kwa huu ujinga aliotufanyia wa kutoa bure bandari zetu milele kwa wajomba zake arabuni.
Hizi kelele zenu ni humu humu JF, huko mtaani wenye kujua kinachoendelea kwenye mitandao ni wachache sana.
 
Samahani. Tupo kwenye maandalizi wa Mkutano wa kesho pale Temeke!!

Hii hoja yako tuijadili jumatatu
Salama ya upinzani kuchukua dola ilikuwa mikononi mwa maridhiano ambayo yangepelekea uundwaji wa katiba mpya ambayo ingezaa tume huru ya uchaguzi.

Na jambo hili lilikuwa pia linasubiriwa kwa hamu kubwa Sana na sukuma gang ili wajaribu kutupa karata yao kumuondoa Samia na kundi lake. (Ndiyo maana walishangilia sana walipoibuka washindi kwenye wajumbe wa NEC kama mnakumbuka)

Wakati wote huu kundi la ccm-Samia lilikuwa na wasiwasi lilikuwa linapongana na msimamo wa rais Samia aliyeonekana kuamini ktk maridhiano. Na aliwahi kutamka hadharani kuwa anapingwa na wanaccm wenzake.

Kwa mtifuano uliotokea kati ya rais Samia na upinzani ktk sakata la DPW kwa vyovyote vile ccm-Samia wanashangilia kimoyomoyo huku sukuma gang wakilia kilio cha mbwa koko.

Kwasabb mipango na nia ya kuunda katiba mpya ambayo ingeliweka mazingira bora ya kila mtu kupata ushindi ktk chaguzi imeyeyuka rasmi.
 
Samahani. Tupo kwenye maandalizi wa Mkutano wa kesho pale Temeke!!

Hii hoja yako tuijadili jumatatu
Soon mikutano ya hadhara inaenda kuzuliliwa, maana mama ametahayari.
 
Back
Top Bottom