KWA MWENDO HUU: Tutegemee Home Shopping Centre kurudi - kazi (iliyositishwa) iendelee!

KWA MWENDO HUU: Tutegemee Home Shopping Centre kurudi - kazi (iliyositishwa) iendelee!

Upigaji kwa kwenda mbele!! mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! viwanja vya wazi pole yao!! Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi( za kifisadi zilizositishwa na JPM) iendelee!! Tuwe wakweli!! unaweza kutegemea nini kwa riz 1?? Riz 1 umwimbie wimbo wa maslahi mapana ya Taifa atakuona kama unanena kwa lugha!!
Dalili ya mvua ni mawingu. Usishangae ukianza kusikia hadithi za watu kuhamishwa ili kupisha ujenzi wa miji ya kisasa kama ule mpango wa Kigamboni, mafisadi kumegewa mapande ya ardhi za vijiji kwa kisingizio cha uwekezaji.

Malipo ya capacity charge ya mabilioni katika miradi ya umeme wa jua na upepo ya watu binafsi tena mikataba ya muda mrefu wakati stigler gorge ( Rufiji) ikitarajiwa kukamilika hivi punde. Ukwepaji kodi kushamiri , Zanzibar kujengwa kwa kuinyonya Tanganyika nk.
 
Upigaji kwa kwenda mbele!! mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! viwanja vya wazi pole yao!! Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi( za kifisadi zilizositishwa na JPM) iendelee!! Tuwe wakweli!! unaweza kutegemea nini kwa riz 1?? Riz 1 umwimbie wimbo wa maslahi mapana ya Taifa atakuona kama unanena kwa lugha!!
Kuna kiwanja cha wazi kisesa kulikuwa soko nasikia lz1 kabeba anajenga petro station, kina mama walokuwa wanatafta rizk wamefukuzwa
 
Upigaji kwa kwenda mbele!! mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! viwanja vya wazi pole yao!! Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi( za kifisadi zilizositishwa na JPM) iendelee!! Tuwe wakweli!! unaweza kutegemea nini kwa riz 1?? Riz 1 umwimbie wimbo wa maslahi mapana ya Taifa atakuona kama unanena kwa lugha!!
Hayo ni mawazo yako,nakumbuka kulikuwaga na uzushi mitaani kwamba kila mali ni ya riz1.

Upuuzi kama huu huwa unaaminiwa na watu wajinga na wenye akili finyu kama mtoa mada.

Tuwe wakweli kwani ingetokea wewe mtoa mada ndio uko nafasi ya Riz 1 ungetuletea nini cha maana? Rubbish kabisa.
 
Dalili ya mvua ni mawingu. Usishangae ukianza kusikia hadithi za watu kuhamishwa ili kupisha ujenzi wa miji ya kisasa kama ule mpango wa Kigamboni, mafisadi kumegewa mapande ya ardhi za vijiji kwa kisingizio cha uwekezaji, malipo ya capacity charge ya mabilioni katika miradi ya umeme wa jua na upepo ya watu binafsi tena mikataba ya muda mrefu wakati stigler gorge ( Rufiji) ikitarajiwa kukamilika hivi punde. Ukwepaji kodi kushamiri , Zanzibar kujengwa kwa kuinyonya Tanganyika nk.
Sasa kuna shida gani? Kwani miji ya kisasa ina shida? Mbona tayari ubungo stand ya zamani inajengwa ishu kama hiyo?

Mijitu mishamba na maskini wa akili na mali kama wewe mna shida sana.

Haingii akilini miradi ya mashirika yote ilikufa,miji ilikufa hakuna ukuaji na ushenzi kama huo lakini kiazi kama wewe eti unaona ni shida,stupid..

JK alihamisha watu na akawapa fidia na ardhi nyingine,sio yule mpuuzi alivunja nyumba za watu hakuna alichowafidia.

Kwanza sasa Nchi itarudi kwenye ligi za ukuaji wa uchumi kama awali,tulirudi nyuma Sana miaka 6 iliyopita chininya Dhalimu.

Unfortunately huyo Dhalimu hakuna hata kimoja alianzisha akamaliza ,kwanza alishatengwa na Dunia,akaishia kupora pesa lakini saizi pesa kama zote Uchumi unaleta pesa na Mikopo nafuu na ufadhili kama wote.
 
Mafisadi makubwa ya nchi yamerudi kazini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Imekula kwako Mzee,watu walikuwa wanauliza ilikuaje tuliaminishwa enzi za JK kuna ufisadi yet ajira zilikuwepo na Uchumi ulikua unasogea mbele?

Pili Kwa bwana mzalendo kusiko na ufisadi 🤭🤭 uchumi ulianguka ,hakuna hata mradi mmja aliukamilisha,na ajira hakuna ,what whappened?

Mwisho mkoani kwangu mradi wa stand ya Mkoa na hospital ya Wilaya ulitengewa pesa wakala Hadi saizi vimebakia ni magofu,na watu wanajua mitaani ni hakuna kilichofanyika ..

Hakuna Rais alikuwa mwizi na asiye na akili kama Mwendazake.

Tunaomba Samia uturejeshe kwenye uchumi wa JK tuwe na pesa na tukifanya biashara ziuzike sio ushenzi kama wa Mwendazake.
 
Upigaji kwa kwenda mbele!! Mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! Viwanja vya wazi pole yao!...
Mitanzani mingine bwana. Sasa we unapata hasara au faida gani ikirudi? Au Ni wivu tu. Duniani kote viongozi wanastrugle investments ziongezeke vijana wengi wanaomaliza vyuo vikuu wapate ajira bila kujali uwekezaji huo upo je. Au ilikuwa unafurahi vijana kurundikana mtaani bila ajira yoyote serikalini au private sector

We utakuwa mjinga Sana Kama jpm aliyeamini umachinga tu yaani alikuwa anahakikisha kila mtanzania anakuwa machinga.
 
Hakuna cha ufisadi wala ndugu yake ufisadi. . Mateso yale ya miaka 6 ya bwana yule yasirudi kwa gharama yeyote!

Hata bwana yule alijaza ndugu zake na ufisadi ulikuwa mkubwa zaidi pasipo na uwazi na kubanangwa kwa haki za watu!
 
Sasa kuna shida gani? Kwani miji ya kisasa ina shida? Mbona tayari ubungo stand ya zamani inajengwa ishu kama hiyo?

Mijitu mishamba na maskini wa akili na mali kama wewe mna shida sana.

Haingii akilini miradi ya mashirika yote ilikufa,miji ilikufa hakuna ukuaji na ushenzi kama huo lakini kiazi kama wewe eti unaona ni shida,stupid..

JK alihamisha watu na akawapa fidia na ardhi nyingine,sio yule mpuuzi alivunja nyumba za watu hakuna alichowafidia.

Kwanza sasa Nchi itarudi kwenye ligi za ukuaji wa uchumi kama awali,tulirudi nyuma Sana miaka 6 iliyopita chininya Dhalimu.

Unfortunately huyo Dhalimu hakuna hata kimoja alianzisha akamaliza ,kwanza alishatengwa na Dunia,akaishia kupora pesa lakini saizi pesa kama zote Uchumi unaleta pesa na Mikopo nafuu na ufadhili kama wote.
Wewe ni mbumbumbu usiyelewa kitu zaidi ya kushabikia wizi. Mtanzania anayo haki ya kuishi katika ardhi yake, mtu anapoondolewa kutoka mahali anapoishi mfumo wake wa uchumi unavurugika na ni moja ya sababu ya umaskini. Pia uelewe kika mtu anahitaji kipato, kumnyang"anya mtu ardhi anayotumia kupata riziki halafu unataka mtu huyo awe manamba katika shamba la mwekezaji ni uonevu. Hiyo fidia kiduchu anayolipwa mtoto wake ataikuta? Inatosha kupata ardhi nyingine ya ukubwa na thamani kama hiyo aliyopoteza? Inatosha kumuwezesha kusettle?Tanzania haikuumbwa kwa ajili ya wawekezaji toka dunia nzima kuja kuwekeza hapa. Sasa hivi huko Africa kusini , ANC wanajadili kuwanyang'anya wazungu mashamba tena bila fidia ili wawagawie weusi unafikiri wao wajinga mpaka waangalie option hiyo? Zimbabwe walifanya hivyo. Halafu mkikaa mnashangaa machinga kuongezeka wakati sera mbovu za kunyang'anya watu ardhi ndizo zinachangia kuongezeka kwa biashara holela mabarabarani. Unapoondoa watu wengi kutoka mfumo wa uzalishaji maana yake watu hao wengi wao wataingia katika uchuuzi na sekta isiyo rasmi ikiwemo wizi, umalaya nk.
Kuna vijiji wakulima Hawana ardhi ya kulima baada ya ardhi yao kuchukuliwa je hao wapate wapi riziki zao?

Ukijenga hiyo unayoita miji ya kisasa hao maskini utawapa nyumba bure wakae humo? Hiyo ndio namna ya kuondoa maskini katika nchi? Umaskini unapunguzwa kwa mikakati robust ya kunyanyua hali za maskini kupitia program z9a kufanya shughuli zao ziwe na tija zaidi na siyo kuwafukuza.
 
Pigeni kazi wakuu, hakuna mwanasiasa atakuletea maendeleo...hao wote huwa wanajali maslahi yao maana wao wamechagua siasa kuwa ndio kazi zao...
 
Upigaji kwa kwenda mbele!! Mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! Viwanja vya wazi pole yao!!

Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi( za kifisadi zilizositishwa na JPM) iendelee!!

Tuwe wakweli!! Unaweza kutegemea nini kwa riz 1?? Riz 1 umwimbie wimbo wa maslahi mapana ya Taifa atakuona kama unanena kwa lugha!!
Kwani ni lini CCM walikua hawapigi hela???
 
Wewe ni mbumbumbu usiyelewa kitu zaidi ya kushabikia wizi. Mtanzania anayo haki ya kuishi katika ardhi yake, mtu anapoondolewa kutoka mahali anapoishi mfumo wake wa uchumi unavurugika na ni moja ya sababu ya umaskini. Pia uelewe kika mtu anahitaji kipato, kumnyang"anya mtu ardhi anayotumia kupata riziki halafu unataka mtu huyo awe manamba katika shamba la mwekezaji ni uonevu. Hiyo fidia kiduchu anayolipwa mtoto wake ataikuta? Inatosha kupata ardhi nyingine ya ukubwa na thamani kama hiyo aliyopoteza? Inatosha kumuwezesha kusettle?Tanzania haikuumbwa kwa ajili ya wawekezaji toka dunia nzima kuja kuwekeza hapa. Sasa hivi huko Africa kusini , ANC wanajadili kuwanyang'anya wazungu mashamba tena bila fidia ili wawagawie weusi unafikiri wao wajinga mpaka waangalie option hiyo? Zimbabwe walifanya hivyo. Halafu mkikaa mnashangaa machinga kuongezeka wakati sera mbovu za kunyang'anya watu ardhi ndizo zinachangia kuongezeka kwa biashara holela mabarabarani. Unapoondoa watu wengi kutoka mfumo wa uzalishaji maana yake watu hao wengi wao wataingia katika uchuuzi na sekta isiyo rasmi ikiwemo wizi, umalaya nk.
Kuna vijiji wakulima Hawana ardhi ya kulima baada ya ardhi yao kuchukuliwa je hao wapate wapi riziki zao?

Ukijenga hiyo unayoita miji ya kisasa hao maskini utawapa nyumba bure wakae humo? Hiyo ndio namna ya kuondoa maskini katika nchi? Umaskini unapunguzwa kwa mikakati robust ya kunyanyua hali za maskini kupitia program z9a kufanya shughuli zao ziwe na tija zaidi na siyo kuwafukuza.
Mpumbavu ni wewe mwenye akili finyu.Nchi inahitaji maendeleo na maendeleo ya Nchi sio tuu kwa ajili ya mtu mmja bali maslahi makubwa ya kizazi cha sasa na kijacho.

Pili ardhi yote ni mali ya serikali na castodian ni Rais.Sasa haiwezekani tunahitaji kuongeza thamani ya uchumi wa Nchi Kwa ajili ya faida kubwa na ya wengi tukaacha eti Kwa sababu wewe unapategemea hapo.

Kama una uwezo fanya jambo ambalo serikali inalitaka, maslahi ya Nchi ni muhimu kuliko your personal interests.

Hao unasema watajadili kupora ardhi kwa wazungu hawawezi kufanya ushenzi kama huo bila fidia maana tayari washajifunza Zimbabwe kilichowatokea na Hali ilivyo kwa sasa.

Ukifikiwa utapisha Ili kufanya uendelezaji wenye tija,kama una eneo linafaidisha wewe binafsi wakati linaweza faidisha Nchi unadhani utaachiwa? Yatakuwa matumizi mabaya ya rasilimali na akili.

So long as mnapewa fidia na kuwa re located unatakiwa kutulia.Sio tuu inafanya kwa ajili ya wawekezaji bali hata Halmashauri kwa sasa zinapima viwanja kwenye maeneo yenu mnapewa plot kadhaa mengine yote wanachukua unless eneo lako Lina hati.

Na Lukuvi juzi alisema Ili uwe salama unatakiwa kuwa na hati kinyume chake utalia Sana.
 
Waarabu wanagaragara kwenye shamba la bibi wakishirikiana na wazawa mafisadi
 
Back
Top Bottom