KWA MWENDO HUU: Tutegemee Home Shopping Centre kurudi - kazi (iliyositishwa) iendelee!

Ratco bus amerudi tayari.
Dar Lux naye soon anamwaga mzigo.
[emoji1484]
Jamani acheni nchi ifunguliwe asee [emoji23] akija wa kwenu aje aifunge (wanasema)
Ngoja nikaiuhishe leseni ya mabasi.Kitaa kimechosha.
 
Hivi huyu Riz aliwaibia nini? Au ndio ile chuki ya masikini kwa wenye nacho!!
 
Katafute shamba ulime acha longolongo
 
Riziwani alishamuibia nani? Mbona mnamchukia bila sababu?
 
Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Wa siasa ale kwa siasa, wa shamba ale kwa shamba, wa daladala ale kwa daladala.
 

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza punguza jazba
Uchawi upo ila mimi siamini na sijawahi kuona wala kutokea kwangu wala kwenye familia kwani hatuna mda huo

Naona umetoa povu kama lote
Hao wanaoamini uchawi waroge sasa
Kwani hapo nimekosea wapi mpaka ujambe hivyo
Watu na chuki zao ndio nimesema waroge sasa wewe uko upande gani
 
Magufuli aliharibu mno watanzania kwa kuwaaminisha ujinga kuwa yeye hakuwa fisadi.

Katika marais waliofanya ufisadi mkubwa, JPM ndo ameshika namba moja, yeye ndiye anayeongoza list.

Huwezi kunielewa ila aliyekuwa CAG Professor Asad anathibitisha hili ktk ripot zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…