Uchaguzi 2020 Kwa namna Arusha ilivyotaabika, kwa sasa tunahitaji Monoban awe mbunge wa Arusha

Uchaguzi 2020 Kwa namna Arusha ilivyotaabika, kwa sasa tunahitaji Monoban awe mbunge wa Arusha

Huyo Monaban aliyeshindwa kusimamia kiwanda chake hadi akawa analialia kwa naibu waziri ataiweza Arusha?
Acha njaa wewe.
Njaa,njaa!!hoja dhahifu sana,inayotokana na akili dhaifu..wewe ni mdhahifu kama hoja yako ilivyo.
 
Aisee ile pesa ya Monaban since 2015 mpaka sasa bado mnaitafuna tu.

Akiwapa unga wa ugali na pesa kuleni tena ila mwisho wa siku nikumchinjia chini kama kawaida.
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Arusha ina International Airport tayari. KIA.
 
Arusha kuna kero nyingi ndogondogo, ni kuna vitu vingine hata bwana afya angeweza kudili navyo mfano uchafu soko la Kilimbero hasa kipindi cha mvua ni hatari sana kwa afya, kwa kweli miundombinu ni mibovu sana, bado sijazungumzia stend ya daladala ya hapo kilombero, bado sijazungumzia daladala za mapank na visit vifupivifupi yaani ukikaa utadhani umekalia kigoda hasa kwa sisi warefu tunapata shida sana.

Anahitajika kiongozi mwenye utashi wa kuondoa hizi kero ili Arusha iendane na sifa ya kuwa jiji la kitali nashauri wenye mamlaka wangeondoa daladala zote kuukuu pale mjini, hasa mapank na kuruhusu super roof safi na coster safi kufanya kazi ya daladala Arusha, pia wangeondoa mashamba ya migomba na vibanda au nyumba zilichoka mjini kwa kuzingatia taratibu ikiwemo kuwapa wahusika maeneo mengine.
 
Ni hiviiiiiiii watu was Arusha Ni waelewa hawataki kupelekeshwa ndio maana kila wakati wanadai haki . Hilo tu hawawezi kuitaka CCM na subirini muone hata mkimfanyia Lema mizengwe na Chadema yake upinzani kwa tiketi ya chama kingine kitaingia
 
Ni hiviiiiiiii watu was Arusha Ni waelewa hawataki kupelekeshwa ndio maana kila wakati wanadai haki . Hilo tu hawawezi kuitaka CCM na subirini muone hata mkimfanyia Lema mizengwe na Chadema yake upinzani kwa tiketi ya chama kingine kitaingia
Watu wa Arusha wanataka kiongozi mwenye uwezo wa kuwa kisababishi cha maendeleo Arusha..kumbuka wapinzani wetawala Arusha kwa miaka mingi sasa lakini mambo ndio yameharibika kabisa..sekta ya utalii ipo hoi..ile mikutano ya kimataifa iliyokuwa inafanyika Arusha enzi zile sasa imekuwa historia n.k...mji unadumaa kama ule wa kilimanjaro..

Watu Arusha kwa sasa wanataka maendeleo na sio upinzani usiokuwa na tija kwao.
 
Nilijua tu utakuwa nzi wakijani ..alaf kwani iyo KIA haiwatoshi mpka mtake airport yenu binafsi yani ni sawa na kuwa na airport dar alaf nyingine iwepo maili moja does not make sense tumieni iyo ya KIA msituchoshe unafikiri airport ni mapera ukiwa na ham tu unachuma chuma
 
Kipindi hiki chadema wanaumia.sana.vichwa,hawana uhakika wa kupata jimbo lolote
 
Huyo monoban anachezea tu hela zake za mavuno, aachane na siasa hajawahi hata kuwa kiranja shuleni, apambane na kilimo, international airport Arusha ya Nini wakati Kia ipo, lema amesababisha machafuko gani Arusha mbona sisi hatukuwahi kusikia?
 
Kwani kuna mbunge hata mmoja wa CHADEMA aliyeenda BUNGENI kwa ajili ya kukutetea maslahi ya wananchi?? Kama yupo mtaje na sema kafanya nini ??! CHADEMA wote ni maslahi binafsi tu hata CCM wapo wengi tuu.
 
Huyu hapa Man Mvua
tapatalk_1593528776616.jpeg
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Monaban atatugawia mitaji au atawaongezea wateja uwezo wa kipesa ili kuwa na mzunguko mkubwa wa pesa?
 
Hapo vip!!
Kutokana na Arusha kupitia kwenye machafuko ya kisiasa kama maandamano,mauwaji na vurugu zisizokuwa na maslahi yeyote kwa mkoa wa Arusha na wananchi wa Arusha.

Ni wazi kwasasa mkoa huu unahitaji kiongozi atakae ponya madondo na majereha ya kiuchumi yaliyotokana na ghasia za kisiasa.

Huyu mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema,amekuwa ndio chanzo cha vurugu zote zilizotokea katika mkoa wa Arusha..kwasababu ni mtu ambaye aliitafuta ile nafasi kwa maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya watu wa Arusha.

Kwa nini nasema Lema aliitafuta hii nafasi kwa maslahi binafsi...ni nyinyi ni mashahidi...huyu mtu tangia achaguliwe na wanaarusha mpaka sasa hatujawahi kusikia bungeni..akitoa hoja yenye hitaji ya maendeleo katika mkoa huu.
Mfano mrahisi tu ,Arusha ni mkoa ambao kutokana na hadhi yake inahitaji Internation airport..kama ilivyo Dar,mwanza,chato n.k nimeamua kutoa mfano huu kama mfano mdogo kabisa katika mahitaji ya mkoa wa Arusha,na sio lazima angelisemea hili bungeni,kuna mengine mengi.

Mbunge huyu sio mtu sahihi katika jimbo hili,mtu huyu utamuona akiwa mstari wa mbele akigomea jambo fulani bungeni na akiratibu maandamano..Yupo kiarakati zaidi

Arusha kwasasa inahitaji kiongozi mzalendo wa Arusha na anayesimama kwa maslahi wanaarusha.

Kiongozi kama Monoban ni hitaji la Arusha kwa sasa,Arusha inamuhitaji kiongozi mwenye utulivu wa akili,asiye na papara,mwenye hekima na busara katika kufanya maamuzi...mtu mzima fulani,asiyeendeshwa na mihemuko.

Naamini ndani ya CCM kuna viongozi wengi wazuri,nahata kama sio Monoban,mtatuletea mtu mwingine mwenye kuheshimu Arusha na mwenye uwezo wa kuongezea thamani fursa za Arusha.

Arusha poleni kwa mapito
Nilijua baridi imepungua.
waliotumbuliwa ndo walikuwa wanaleta vurugu
 
Haya tumekuelewa kwamba unataka Monaban awe mbunge wa Arusha mjini in (Jiwe's Voice)
Monaban kwa mtazamo wangu, mambo yafuatayo yatamwangusha
1. Number Moja Hamkubali monaban(Sio monaban tu, matajiri wengi hawakubali, Kumbuka mzee alikomand anyang'anywe) Mzee anahitaji watu submissive to the maximum; refer statement zake, mwaka huu atainjinia hata kwenye udiwani.
2. Siasa za Huko Arusha zinahitaji mtu mtata kidogo( Monaban ana siasa za Kidini)
3. Alikuja Ughaibuni last Year kwenye Gospel Summit flan ivi, tulipata kuzungumza naye katika mazungumzo Anaonesha kama yeye binafsi hana nia ( Sasa inawezekana kwa push, na maneno ya watu akapata hamu/tamaa ya kurejea kwenye nia)
 
Ningekushauri huu muda unaotumia kunijibu,ungetumia kujifunza kuandika na kupanga hoja vizuri.
Ila kwasababu,akili yako na ya Lema zinafikiri at the same line sina haja ya kubishana sana na mtu kama wewe.
Pamoja na kauli hizo kutoka kwa viongozi mbalimbali kuhusu kutokupeleka miradi ya maendeleo kwenye majimbo ya upinzani.

Lema ameplay role gani...yakuonyesha anamawazo chanja aliyoyatoa bungeni kwa maslahi ya mkoa wa Arusha...angekuwa anafanyahayo maandamano kutetea hoja zake anazozitoa bungeni zenye maslahi na mkoa huu at least...ni mradi gani aliomba bungeni kwa maslahi ya Arusha ikakataliwa na bunge au na serikali.

Kusema imesemekata majimbo ya upizani wasahau miradi ya maendeleo na kuishia hapo haitosha..sema ni mradi gani ulipendekeza bungeni kwa ajili ya jimbo lako,ikakataliwa.
Umeandika Ujinga
 
Back
Top Bottom